Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,641
Wananzengo wanakuita 'Kinyonga', ni kwanini?.Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananzengo wanakuita 'Kinyonga', ni kwanini?.Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
No interviews zangu ni recorded, mambo ya live baada ya interview unaweza jikuta keko inakusubiri.Ukimpata uwe live hapa
Tundu Lisu anaweza kuwa mdogo kiumri ila akakuzidi AKILIIt's true, mimi nita reserves 60 min airtime kwa TL, huyu ni mdogo wangu kiumri na Iliboru nikiwa Form 5 Lissu yuko form 2!, hivyo mahojiano yatakuwa mazuri ya kumsaidia Lissu, kuisaidia Chadema na kulisaidia taifa!.
P
Nabadilika kutokana na upepo, enzi za Ben tulimsifu, JK tukamsifu, JPM tukamsifu, sasa mapambio ni kwa Mama.Wananzengo wanakuita 'Kinyonga', ni kwanini?.
Wewe ni Mwanahabari Bora mwenye uelewa mkubwa, Skills na Knowledge zako, unauwezo 100%kufanya interview hata na Akina Donald Trump, V.Putin, Xi Jinping.Rukhsa kuita watu majina yoyote. Be happy, barikiwa.
P
Ni kweli, Lissu alitoka Ilboru na DIV 1 ya points 7, mimi nilipata Div 4 ya points 31!.Tundu Lisu anaweza kuwa mdogo kiumri ila akakuzidi AKILI
That is a true meaning of life, otherwise utakua ni mwenye makasiriko kila siku. Weka pamba masikioni, piga kazi.Nabadilika kutokana na upepo, sasa mapambio ni kwa Mama.
P
Ya mwamba kinyonga sanaKinyonga. Katika rangi zako...
Mbona yule jasiri aliyezikweia Chato pamoja na ukali wake bado Tsh 1.5 Trillion hazikujulikana zimekwenda wapi?Ajabu, mtendaji mkuu au bosi wa serikali anawaomba wezi wa mali ya umma wampishe, huu udhaifu ni zaidi ya ule wa enzi za JK.
Hapa ndipo penye kiini cha matatizo yetu, wala tusidanganyane na story za mifumo, na kama huyu dhaifu+ ataendelea kutuongoza mpaka 2030, mbwa mwitu watatutafuna mpaka mifupa.
AsanteWewe ni Mwanahabari Bora mwenye uelewa mkubwa, Skills na Knowledge zako,
Mwandishi yeyote wa habari ana uwezo kufanya mahojioano na mtu yoyote!.unauwezo 100%kufanya interview hata na Akina Donald Trump, V.Putin, Xi Jinping.
Sii kweli, kuna waandishi kibao ni wazuri kuliko mimi ila unaweza usiwajue.In fact Kwa hapa Tanzania, hamna Mwanahabari wa kukuzidi katika suala Zima la uandishi wenye uchambuzi, hoja, Uwezo wa kuhoji na aina ya maswali yako
asante, naomba usinivibishe bichwa nikaishia kupasuka!, mimi ni wa kawaida sana ila kwasababu hatuna the very best, sisi waandishi wa habari wa kawaida tuu ndio tunaonekana kama ni wazuri.Nadhani Ukiachilia mbali Elimu yako, pia Exposure imekuongezea uwezo.
Nimfuatilie wa nn huyo lgbtAjabu ni kwamba hauachi kumfuatilia!.
The Big Agenda ni kipindi cha Star TV sio cha Mwananchi.Kuna Inteview niliona Lema alifanya kipindi kinaitwa ''The big agenda'' cha Mwananchi.
Yes huyo ni Mtozi Aloyce Nyanda, he is one of the we have.Nilisikitika sana. Bwana Mayalla hivi jamaa kama huyu aliyekuwa anamhoji na yeye yuko kwenye kundi la waandishi wa habari?
Kwanza mwandishi mwenyewe anaonekana kama chinga aliyeokotwa Kidongochekundu au mpiga debe fulani hivi. Maswali anayouliza nayo hovyo kweli kweli.
Tutaisubiri kwa hamu kubwa hiyo interview ya mwamba kutoka kwa very senior journalist...Kila nikikumbuka lile swali lako konki kwa the late JPM kwamba '' Mheshimiwa rais wewe umeapa kuilinda katiba na sasa umezuia mikutano ya kisiasa nani amekupa mamlaka hayooo???'' Hahaaaaaaa Daaah....ngoja nitafute ile clip kwanza nijikumbushe hahaaaaa....Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Nilijua tuu utakimbilia kwenye hiki kichaka chenu hahaaaaa....Nimfuatilie wa nn huyo lgbt
Kuna Inteview niliona Lema alifanya kipindi kinaitwa ''The big agenda'' cha Mwananchi. Nilisikitika sana. Bwana Mayalla hivi jamaa kama huyu aliyekuwa anamhoji na yeye yuko kwenye kundi la waandishi wa habari? Kwanza mwandishi mwenyewe anaonekana kama chinga aliyeokotwa Kidongochekundu au mpiga debe fulani hivi. Maswali anayouliza nayo hovyo kweli kweli.
Huyo mtu...,Kinyonga. Katika rangi zako...
Akili alizonazo Lisu ni kubwa mno. Wewe endelea kuwasifia ccm, CHAMA ambacho kinawaumiza na kuwatesa wananchiNi kweli, Lissu alitoka Ilboru na DIV 1 ya points 7, mimi nilipata Div 4 ya points 31!.
P
Hizi kanyelamumo sababu ya ule uchafu wa chooni?