Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?

Mashine ipo taya


Maana yake yuko tayari kwa lolote
Mbowe na drama zake tumeisha mjua vyema. Akienda huku tunaye tunaye.
 
Msikuze mambo , sikiliza maneno ya lissu akiwa cloud TV, alisema nini na kama ndivyo kuna shida gani yeye kuvaa bullet proof
 
Kwa sasa ndiye mwanasiasa ghali sana, ndiye anayevuma zaidi. Mshindo wake ni mkuu, ni kitisho kwa vyama vyote, anzia hapo chadema mpaka ccm, ndiyo habari kuu kipindi hiki
 
Lissu ni jemedari mkuu, huyu kwa kweli ndiye anayefaa kuwa Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama. Ni mwanasiasa Nguli kuwahi kutokea Tanzania tangu Nyerere aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania
 
Kwa hali ilivyo hata wananchi wanapaswa kuvaa bullet proof
 
Mbona hajafunika kichwa
 
Amepanda boda boda hivyo ni vazi la kawaida tu.Kama ni masasi yalishindwa wakati ule akiwa kwenye ile ndinga lake lililochakazwa,au wewe umekuwa ukitazama kila afanyalo?
 
Ccm na tiss yao wamechanganyikiwa kuliko Hata chawa wa mbowe

Sikukuu za mwaka huu ni chungu kwa mama Abdul na genge lake
 
Sidhani kama hiyo bullet proof inaweza kumsaidia kama sehemu nyingine ziko wazi!
Nadhani hapo anatuma ujumbe fulani kwa mahasimu wake!
 
Hukumbuki alipigwa risasi? Kuna ubaya gani mtu alieumwa na nyoka kushtuka ujani umgusapo
 
Kina bashe wasomali leo wapo mjengoni kisa tu wapo mboga mboga. Ulisemalo n jambo nyeti sana kwa maslahi ya nchi yetu pendwa tanganyika
 
Anatuma ujumbe mkubwa, kutumia gari lenye matobo ya risasi na bullet proof vest.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…