Tutajie sifa za wapinzani makini ?....Ni kweli, angeenda pale Umoja House akahuisha viza yake na akaendelea na libeneke kwasababu yeye ni VIP.
Ni wazi kuwa mazee wamemuita na kikao kizito kimefanyika na imeonekana kwamba yeye apishe tu njia.
"Appointments" kwa Doctor kule ni kuanzia miezi miwili au mitatu ndo waenda kwa "checkup".
Si kila baada ya wiki mbili au tatu.
Hawa wanasiasa wa upinzani na wa CCM walikwishawageuza watanzania kuwa wajinga na "ignorant" na wawatumia kama mtaji wao kisiasa na kisaikolojia.
Narudia tena na tena kusema kwamba Tanzania haina wapinzani makini wa kisiasa.
Weye wataka kusema hufahamu wapinzani makini?Tutajie sifa za wapinzani makini ?....
Hivi nyie machawa mna matatizo ya akili?Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
=====
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Ningewafahamu nisingeuliza.Weye wataka kusema hufahamu wapinzani makini?
Au wanasiasa makini?
Kwani huwaoni au kuwasikia?
Huna akili ww.Acha upotoshaji, Uwepo wa jiwe ulimfanya Lissu awe hatarini kuuawa.
Kutokuwepo kwa jiwe ndio kumemrudisha Lissu Tz.
Kaka hiki ulichokiona ndio kimetoka jikoni ndio kipya ndio ujio mpyaInawezekana kabisa mchango wako huu ndio ukawa mzito zaidi katika mada hii kuliko michango mingine yote niliyoisoma hapa.
Natarajia CHADEMA (viongozi) watakusoama vizuri na kukuelewa.
Binafsi, bado nina matumaini kwamba wanajuwa wanachofanya. Kwamba huko jikoni kwao kazi inaendelea kupikwa vyema kabala ya kupakuliwa.
Lakini kama tunayoyaona ndiyo kazi yenyewe, basi tuseme hakuna matumaini huko.
Mbona tunaompoda hilo jambazi lenu katili tupo wengi na bado tutaliponda mpaka ukamilifu wa dahariAlionywa toka mwanzo asije kwa gia ya kumponda magufuli. Matokeo yake kajichimbia kaburi. Asahau tu habari ya siasa.
Uwepo wa jiwe ilikuwa tishio kwa maisha ya Lissu.Huna akili ww.
Narudia uwepo wa Jiwe ulimfanya Lissu a trend.
Kutokuwepo kwa jiwe kumefanya Lissu amedrop.
Kitu kidogo kama hiki unashindwaje kuelewa ww akili fupi!??
Hiyo hoja mimi siijui na ni out of topicUwepo wa jiwe ilikuwa tishio kwa maisha ya Lissu.
Umeeleza vizuri ila unamwelewesha chizi-
- kama unaona namjibia Lissu basi mfuate Lissu personally ufanye nae interview Kama Clouds TV walivyofanya
- kutokuikosa Ulaya hata Kwa dakika Moja sio hoja ya kisomi, kusafiri ni jambo la kawaida hata Rais huwa anasafiri, hoja hapa tunaangalia unasafiri Kwa sababu gani?, Umesema ni mtazamo wako basi baki nao huo mtazamo
- Tundu Lissu angekuwa Muoga/ coward angerudi Tanzania kufanya kampeni? Mbona alivyorudi kwenye Kampeni 2020 aliendelea kukososa serikali iliyo madarakani, eg aliikosoa serikali ya awamu ya 5 Kwa kupotea Watu, aliikosoa serikali ya awamu ya 5 Kwa kuvunja sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kwa kufanya upendeleo kwenye miradi ya maendeleo? Angekuwa Coward asingethubutu kukosoa Serikali ambayo anaituhumu kwakumshambulia
-
Moja ya sifa kubwa za mwanasiasa makini ni kupima upepo wa kisiasa na kuwa mwangalifu na kauli zake.Ningewafahamu nisingeuliza.
😆😆Umeeleza vizuri ila unamwelewesha chizi
Twende polepole wajameni, mbona hii picha ni ya zamani? Mr Lissu aliapa yuko tayari kufariki kwa niaba ya Watanzania. Akaenda kwao kavua chupi awaonyeshe makovu yake sasa iweje arudi tena? Isitoshe, iweje aende Ubelgiji wakati Muhimbili Mlonganzila wana tawi la surgery la kimataifa? Urongo wa maccm?Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
=====
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Hakuna kosa, ni haki yake Kikataba. Tungekuwa na tumehuru angesindikizwa na cherekochereko na hoihoi.Kusafiri kosa kisheria?
Shame gani SAS mkuu cvhbr katupasha tuNaona unamfuatilia TL zaidi ya unavyo fuatilia familia yako . Shame
Jiwe na trending ya Lissu havina uhusiano.Hiyo hoja mimi siijui na ni out of topic
ninachozungumzia ni trending ya Lissu
Una akili nzito kama ugali.Jiwe na trending ya Lissu havina uhusiano.
Nasikia wewe ndiyo uliyepewa jukumu la kubeba ile AK 47 lkn ulikuwa umelewa sana ng"ada hivyo ukachemka.Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
=====
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Wachana na hilo sukuma gangKusafiri kosa kisheria?
Nasikia siku hizi unaishia pale kyagata tuSera za makovu ya risasi vs sera za mbolea, miradi, elimu, afya na n.k kurudi lilikuwa jambo la muda tu
USSR