Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Ni kweli, angeenda pale Umoja House akahuisha viza yake na akaendelea na libeneke kwasababu yeye ni VIP.

Ni wazi kuwa mazee wamemuita na kikao kizito kimefanyika na imeonekana kwamba yeye apishe tu njia.

"Appointments" kwa Doctor kule ni kuanzia miezi miwili au mitatu ndo waenda kwa "checkup".

Si kila baada ya wiki mbili au tatu.

Hawa wanasiasa wa upinzani na wa CCM walikwishawageuza watanzania kuwa wajinga na "ignorant" na wawatumia kama mtaji wao kisiasa na kisaikolojia.

Narudia tena na tena kusema kwamba Tanzania haina wapinzani makini wa kisiasa.
Tutajie sifa za wapinzani makini ?....
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Hivi nyie machawa mna matatizo ya akili?
 
Acha upotoshaji, Uwepo wa jiwe ulimfanya Lissu awe hatarini kuuawa.

Kutokuwepo kwa jiwe ndio kumemrudisha Lissu Tz.
Huna akili ww.
Narudia uwepo wa Jiwe ulimfanya Lissu a trend.
Kutokuwepo kwa jiwe kumefanya Lissu amedrop.
Kitu kidogo kama hiki unashindwaje kuelewa ww akili fupi!??
 
Inawezekana kabisa mchango wako huu ndio ukawa mzito zaidi katika mada hii kuliko michango mingine yote niliyoisoma hapa.

Natarajia CHADEMA (viongozi) watakusoama vizuri na kukuelewa.

Binafsi, bado nina matumaini kwamba wanajuwa wanachofanya. Kwamba huko jikoni kwao kazi inaendelea kupikwa vyema kabala ya kupakuliwa.

Lakini kama tunayoyaona ndiyo kazi yenyewe, basi tuseme hakuna matumaini huko.
Kaka hiki ulichokiona ndio kimetoka jikoni ndio kipya ndio ujio mpya

Kinachofuata now ni wenyewe Kwa wenyewe kugombana
 
Alionywa toka mwanzo asije kwa gia ya kumponda magufuli. Matokeo yake kajichimbia kaburi. Asahau tu habari ya siasa.
Mbona tunaompoda hilo jambazi lenu katili tupo wengi na bado tutaliponda mpaka ukamilifu wa dahari
 
Huna akili ww.
Narudia uwepo wa Jiwe ulimfanya Lissu a trend.
Kutokuwepo kwa jiwe kumefanya Lissu amedrop.
Kitu kidogo kama hiki unashindwaje kuelewa ww akili fupi!??
Uwepo wa jiwe ilikuwa tishio kwa maisha ya Lissu.
 
  • kama unaona namjibia Lissu basi mfuate Lissu personally ufanye nae interview Kama Clouds TV walivyofanya
  • kutokuikosa Ulaya hata Kwa dakika Moja sio hoja ya kisomi, kusafiri ni jambo la kawaida hata Rais huwa anasafiri, hoja hapa tunaangalia unasafiri Kwa sababu gani?, Umesema ni mtazamo wako basi baki nao huo mtazamo
  • Tundu Lissu angekuwa Muoga/ coward angerudi Tanzania kufanya kampeni? Mbona alivyorudi kwenye Kampeni 2020 aliendelea kukososa serikali iliyo madarakani, eg aliikosoa serikali ya awamu ya 5 Kwa kupotea Watu, aliikosoa serikali ya awamu ya 5 Kwa kuvunja sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kwa kufanya upendeleo kwenye miradi ya maendeleo? Angekuwa Coward asingethubutu kukosoa Serikali ambayo anaituhumu kwakumshambulia
-
-
Umeeleza vizuri ila unamwelewesha chizi
 
Ningewafahamu nisingeuliza.
Moja ya sifa kubwa za mwanasiasa makini ni kupima upepo wa kisiasa na kuwa mwangalifu na kauli zake.

Baada ya hapo zipo sifa nyingi mno ambazo bado wanasiasa wa upinzani wa Tanzania hawana.

Ndo maana mara nyingi hata kama wana hoja lakini ni mtindo wanotumia kuwasilisha hoja hizo ndo huwatia matatani.

Kwa mfano, wafuatilia siasa za Kenya ambao ni majirani zetu?

Wasikilize wanasiasa wa upinzani wakiwa majukwaani husema nini.

Kuna mengi ya kujifunza pale.
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Twende polepole wajameni, mbona hii picha ni ya zamani? Mr Lissu aliapa yuko tayari kufariki kwa niaba ya Watanzania. Akaenda kwao kavua chupi awaonyeshe makovu yake sasa iweje arudi tena? Isitoshe, iweje aende Ubelgiji wakati Muhimbili Mlonganzila wana tawi la surgery la kimataifa? Urongo wa maccm?

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Nasikia wewe ndiyo uliyepewa jukumu la kubeba ile AK 47 lkn ulikuwa umelewa sana ng"ada hivyo ukachemka.
 
Back
Top Bottom