5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,275
- 2,410
Lissu si mwanasiasa tena wa siasa za Tanzania, hafai huyu jamaa kesha kabisa na hao wenzake watachomoka mmoja mmoja kurudi zao CanadaKwani uchaguzi unaanza kesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu si mwanasiasa tena wa siasa za Tanzania, hafai huyu jamaa kesha kabisa na hao wenzake watachomoka mmoja mmoja kurudi zao CanadaKwani uchaguzi unaanza kesho
Source: Comrade Mohammed Kawaida[emoji1787][emoji1787].
Chadema ishaanguka kitambo sana, Lissu hawezi tena kuishi Tanzania ni kama vile waafrica waliochomoka kwenda ulaya na kusahau kwao sasa ameramba ya ulaya Tz atakuja kwa kuzugazuga tuWatu wana akili za kwenye makalio. Lissu maisha yake amesafiri mara nyingi sana hata kabla ya kushambuliwa na maharamia. Kwani alisema anarudi Tz na hata safiri tena nje ya nchi? Acheni muwasho juzi tu ilikuwa Valentine's day hamjakunwa vizuri?
Kizingu ndiyo takataka gani hiyo?Kama imekuuma chomoa chifu sio yako hiyo....Kiswahili cha nini wakati sheria na mikataba yote bungeni imeandikwa kwa Kizingu?
Nilikuja na uzi humu Tundu Lissu kwa tabu atakaa wiki mbili baadae atadai kurudi kuonana na daktari, ukweli ni kwamba anazugazuga tu tayari ameshatengeneza maisha ya ulaya na hataacha kw sababu ya siasa za Tz, watanzania yafaa kujipanga kwa mwelekeo mwengine wa upinzani sio Chadema hii Tundu lissu na MboweSasa km anaenda kumwona daktari wake shida iko wapi. Watanzania wengine mna roho za kichawi
Unajua kwa nini amesafiri? Kwa maana Lissu alisema anatakiwa bado kuchekiwa afya yake na majerahaKiko wapi sasa? Mikwara yote ile kiko wapi?
Sasa wewe unajua karudi kwa sababu gani mpaka useme kachemsha?Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
View attachment 2519055
Aisee uliona wapi nasifia kupokea au kusindikiza mtu ? Tafuta comment yangu hata moja ambayo nasifia hivyo vitu Petty kama utaiona....Acha kuwa sungura kwani kumsindikiza kuna tofauti na kumpokea??? [emoji23][emoji23][emoji23] Eti ushamba na kupoteza muda kwahiyo mlipompokea mlikuwa washamba na mlipoteza muda??? Kweli nyie wazee Wa kubadili gia angani AKA Nyumbuzzzzz[emoji16][emoji16]
Chadema imekwisha lazima tuongee ukweli, mimi naichukia ccm lakini sioni upinzani wa chadema tena kama ilivyokuwa hapo kabla, Lissu hataweza kuish Tz kujua shida za Watanzania, ataongelea shida za Wtz kwenye Youtube, yake yanamuendea, Akija kwa uchaguzi ukiisha atarudi zake ulaya it is nonsense kwa siasa za Tz. Tanzania kunahitaji upinzani wa kupambana kama alivyokuwa maalim seif au zaidi ya hapo.Kusafiri kosa kisheria?
Nilikuja na uzi humu Tundu Lissu kwa tabu atakaa wiki mbili baadae atadai kurudi kuonana na daktari, ukweli ni kwamba anazugazuga tu tayari ameshatengeneza maisha ya ulaya na hataacha kw sababu ya siasa za Tz, watanzania yafaa kujipanga kwa mwelekeo mwengine wa upinzani sio Chadema hii Tundu lissu na Mbowe
We elewahivyo tu.Sasa wewe unajua karudi kwa sababu gani mpaka useme kachemsha?
HapanaKwahiyo akiwa president itakuwa hivyo hivyo?
Chadema imekwisha lazima tuongee ukweli, mimi naichukia ccm lakini sioni upinzani wa chadema tena kama ilivyokuwa hapo kabla, Lissu hataweza kuish Tz kujua shida za Watanzania, ataongelea shida za Wtz kwenye Youtube, yake yanamuendea, Akija kwa uchaguzi ukiisha atarudi zake ulaya it is nonsense kwa siasa za Tz. Tanzania kunahitaji upinzani wa kupambana kama alivyokuwa maalim seif au zaidi ya hapo.
Hawa ndio Propagandists wa CCM wanaowategemea..... imagine!Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
View attachment 2519055
Jibu swali, uliloulizwaWe elewahivyo tu.
Kwani wakati anakuja sislisema anakuja kwa sababu gani,mbona anaondoka kimyakimya.