WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Ushindwe na ulegee CHADEMA siyo Lisu wala Mbowe,CHADEMA ni watu wenye mapenzi mema na nchi yao.Chadema imekwisha na imeanguka kama ilivyoanguka CUF iliyokuwa ya maalim seif nadhan Tz wale wa upinzani ambao lengo na nia yao ni kuindosha ccm madarakan yafaa kubadili mrengo wa chama kikuu cha upinzani, chadema hakuna tena kitu kwisha habari yao
Kasalimia Watanzania wote pamoja na ndugu zake kule Ikungi.Kwanza Toka amerudi Cha maana kipi kafanya? Naona Chadema haijapata impacts yeyete chanya ya Kisiasa.
Achana na hao wajinga kama walishindwa kumwua kwa risasi wanafikiri watamua kwa fitina?
- Kwani kusafiri Kwa Tundu Lissu, ndio kusema upinzani umeisha nchini?
- HIVI UNAJUA MBOWE alikuwa nje ya Tanzania kuanzia Kwa takriban miezi kadhaa kuanzia mwaka 2020 mwishoni hadi 2021
- Mtu asisafiri? Kusafiri ni kosa?
Endeleeni kula raha na ccm yenu hakuna aliyewakataza pumbavu zenu.Tuliwambia gia ya Chadema walioanza nayo ya kumtukana Magufuli ilikuwa lazima wafeli tu, Magufuli anaongelewa vibaya jamii forums tu lakini ukienda mtaani na mikoani ukiongea vibaya juu ya Magufuli,watu wanakutizama tu.Mpaka Sasahivi watanganyika bado wanaitaji mtu kariba ya Magufuli mkali asiye cheka na kima.Chadema walikuwa wanasema aliwazuia kufanya mikutano lakini wanawafuasi wengi mtaani,Samia amewarusu wamefanya mikutano mitatu tu,wameona mapokeo ya watu siyo yale ya 2015 ya enzi za kina Slaa ambapo watu walikuwa wanatamani kulala uwanjani kusubiria mikutano,ambaya zaidi wakaanza kushindana na marehemu Magufuli hapo ndipo walipochemka kabisa, Sasahivi watu wanataka kusikia unasaidiaje mwananchi kutoka kwenye maisha haya ya mfumuko wa bei, mchele kg kutoka 1200-4000,uduma za jamii zimerudi nyuma, watoto wameanza kukalia mawe mambo ambayo tulikuwa tumeanza kuyasahau, wakati kuna tozo na mikopo kibao.Chadema inabidi wajipange kuongelea masuala/matatizo ya jamii sio Magufuli,mbaya wao alikuwa ccm nasio Magufuli.
Mnadhani na sisi tuna akili ndogo na uelewa mdogo kama ninyi? Hatuishi kwa kutetea mtu. Tunaishi kwa kuutetea ukweli.Unapata tabu sana kumtetea Lisu!
Magu huyu huyu mwizi na muuaji,Aisee dunia ina mambo.Mkuu, hapa Tanzania na Africa yote hii, ukimponda Magufuli unaonekana kichaatu.
Watajifunza mengi taratibu mpaka akilizitakapo warudia.
Hataivyo sio kwamba hawajui Magu hachafushiki pumbavu,sema wanajitoa akilitu makusudi tu.
Hakuna mtu alie wahi kushindana na ukweli akashinda.
Magu alikuwa mkweli kwelikweli.
Huyo laana hakuwa mkweli hata mmoja kama mnadanganywa ni hiari yako.Wanao kudanganya kwamba hakuwa mkweli ndio haoo wanarudi kuendelea na maisha yao.
Subiri Miga akirudi uende ukapigwe na jua air port kumpokea, alafu akiondoka hakuagi.
Ukweli hupambana wenyewe, nawewe kama hujitoi akili kipumbavu then unaujua ukweli.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Chezea ndevu chezea ndevu usichezee dolaWaswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
=====
View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Unataka aende muhimbili hospital mumtie upupuNilikuja na uzi humu Tundu Lissu kwa tabu atakaa wiki mbili baadae atadai kurudi kuonana na daktari, ukweli ni kwamba anazugazuga tu tayari ameshatengeneza maisha ya ulaya na hataacha kw sababu ya siasa za Tz, watanzania yafaa kujipanga kwa mwelekeo mwengine wa upinzani sio Chadema hii Tundu lissu na Mbowe
Yule dada mwenye shati jeupeWaswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
=====
View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Tunamsubiria hata jiwe kurudi uzimuni ...alichemusha kutuacha wanyonge yatimaKumuona daktari wapi wewe, huyo kachemsha kaamua kurudi kwa aibu
Uliishawahi kujiuliza chanzo Cha yeye kukimbilia nje ya nchi?,je asingeshambuliwa na kulazimika kukimbilia nje ya nchi,hari ingekuwaje leo?amechemka nini?aliyeapnga kumuua,ndie alikufa,Lisu Bado yupo.Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
=====
View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Akili ndogo shida sana mbona mnahangaika na vitu visivyo wahangaisha?Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.
Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.
Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.
=====
View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Kwani Magufuli kapondwa wapi ?labda ardhi ndiyo inayomponda ,aliona raha kutuulia ndugu zetu ,alifikiri atakuwa Jiwe milele,hatokufa, wrong thoughtAlionywa toka mwanzo asije kwa gia ya kumponda magufuli. Matokeo yake kajichimbia kaburi. Asahau tu habari ya siasa.
Mtapata taabu sana na Chadema badala ya kuandika Yafanyayo na Chama chenu mnahangaika na Chadema poleniSera za makovu ya risasi vs sera za mbolea, miradi, elimu, afya na n.k kurudi lilikuwa jambo la muda tu
USSR
Hakuna cha raha ni shida tupu kiEndeleeni kula raha na ccm yenu hakuna aliyewakataza pumbavu zenu.
Endeleeni kula raha na ccm yenu hakuna aliyewakataza pumbavu zenu,kilo ya mchele kutoka 1200-4000,unga kutoka 700-2000, petroleum lita kutoka 1500-3200, ufisadi wa kutisha kwenye miradi ya Serikali,hakuna mtu anayeweza kufurahia maisha hayo labda uwe fisadi tu,tulidhani Chadema wanakuja na agenda hizo wananchi tuwaunge mkono,gafura tumekuja kwenye mikutano tunasia agenda ni Magufuli,ni kupambana na marehemu,hapo nikaona Chadema haijajipanga na Chadema ikishindwa kutumia furusa wakati huu wasahau 2030.