Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Chadema imekwisha na imeanguka kama ilivyoanguka CUF iliyokuwa ya maalim seif nadhan Tz wale wa upinzani ambao lengo na nia yao ni kuindosha ccm madarakan yafaa kubadili mrengo wa chama kikuu cha upinzani, chadema hakuna tena kitu kwisha habari yao
Ushindwe na ulegee CHADEMA siyo Lisu wala Mbowe,CHADEMA ni watu wenye mapenzi mema na nchi yao.
 
  • Kwani kusafiri Kwa Tundu Lissu, ndio kusema upinzani umeisha nchini?
  • HIVI UNAJUA MBOWE alikuwa nje ya Tanzania kuanzia Kwa takriban miezi kadhaa kuanzia mwaka 2020 mwishoni hadi 2021
  • Mtu asisafiri? Kusafiri ni kosa?
Achana na hao wajinga kama walishindwa kumwua kwa risasi wanafikiri watamua kwa fitina?
 
Tuliwambia gia ya Chadema walioanza nayo ya kumtukana Magufuli ilikuwa lazima wafeli tu, Magufuli anaongelewa vibaya jamii forums tu lakini ukienda mtaani na mikoani ukiongea vibaya juu ya Magufuli,watu wanakutizama tu.Mpaka Sasahivi watanganyika bado wanaitaji mtu kariba ya Magufuli mkali asiye cheka na kima.Chadema walikuwa wanasema aliwazuia kufanya mikutano lakini wanawafuasi wengi mtaani,Samia amewarusu wamefanya mikutano mitatu tu,wameona mapokeo ya watu siyo yale ya 2015 ya enzi za kina Slaa ambapo watu walikuwa wanatamani kulala uwanjani kusubiria mikutano,ambaya zaidi wakaanza kushindana na marehemu Magufuli hapo ndipo walipochemka kabisa, Sasahivi watu wanataka kusikia unasaidiaje mwananchi kutoka kwenye maisha haya ya mfumuko wa bei, mchele kg kutoka 1200-4000,uduma za jamii zimerudi nyuma, watoto wameanza kukalia mawe mambo ambayo tulikuwa tumeanza kuyasahau, wakati kuna tozo na mikopo kibao.Chadema inabidi wajipange kuongelea masuala/matatizo ya jamii sio Magufuli,mbaya wao alikuwa ccm nasio Magufuli.
Endeleeni kula raha na ccm yenu hakuna aliyewakataza pumbavu zenu.
 
Unapata tabu sana kumtetea Lisu!
Mnadhani na sisi tuna akili ndogo na uelewa mdogo kama ninyi? Hatuishi kwa kutetea mtu. Tunaishi kwa kuutetea ukweli.

Watu wajinga, waliopungukiwa maarifa ndiyo huwa wanaishi kwa uzushi, hadaa, na hoja za kijinga kama mleta mada.

Sisi wengine, huwezi kumaliza zaidi ya miezi miwili kusafiri nje ya Tanzania. Ina maana sisi sote huwa tunaondoka kwa sababu tumeshindwa siasa?

Na hizi ndege zote zinazotua nchini mwetu huwa zinaondoka na walioshindwa siasa, na zinaleta walioshindwa siasa kwenye nchi nyingine?

Ujinga ni mzigo mzito sana. Wajinga mna taabu sana.
 
Mkuu, hapa Tanzania na Africa yote hii, ukimponda Magufuli unaonekana kichaatu.

Watajifunza mengi taratibu mpaka akilizitakapo warudia.

Hataivyo sio kwamba hawajui Magu hachafushiki pumbavu,sema wanajitoa akilitu makusudi tu.
Hakuna mtu alie wahi kushindana na ukweli akashinda.

Magu alikuwa mkweli kwelikweli.
Magu huyu huyu mwizi na muuaji,Aisee dunia ina mambo.
 
Wanao kudanganya kwamba hakuwa mkweli ndio haoo wanarudi kuendelea na maisha yao.

Subiri Miga akirudi uende ukapigwe na jua air port kumpokea, alafu akiondoka hakuagi.

Ukweli hupambana wenyewe, nawewe kama hujitoi akili kipumbavu then unaujua ukweli.
Huyo laana hakuwa mkweli hata mmoja kama mnadanganywa ni hiari yako.

Mnafiki, asiyekuwa ni mwenye Kujali matatizo yanayowafika wananchi wake,mla rambi rambi za tetemeko, muuaji, na kila ovu alilifanya kiongozi huyo.

Amewaibia sana huyo mpuuzi halafu mnakuja huku kudanganyana.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.

Daaaah umeiaibika maana mwanzo ulivyoleta habari kishabiki sana.
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Chezea ndevu chezea ndevu usichezee dola

Hhhhhhhhhh
 
Nilikuja na uzi humu Tundu Lissu kwa tabu atakaa wiki mbili baadae atadai kurudi kuonana na daktari, ukweli ni kwamba anazugazuga tu tayari ameshatengeneza maisha ya ulaya na hataacha kw sababu ya siasa za Tz, watanzania yafaa kujipanga kwa mwelekeo mwengine wa upinzani sio Chadema hii Tundu lissu na Mbowe
Unataka aende muhimbili hospital mumtie upupu
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Yule dada mwenye shati jeupe
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Uliishawahi kujiuliza chanzo Cha yeye kukimbilia nje ya nchi?,je asingeshambuliwa na kulazimika kukimbilia nje ya nchi,hari ingekuwaje leo?amechemka nini?aliyeapnga kumuua,ndie alikufa,Lisu Bado yupo.
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Akili ndogo shida sana mbona mnahangaika na vitu visivyo wahangaisha?
 
Alionywa toka mwanzo asije kwa gia ya kumponda magufuli. Matokeo yake kajichimbia kaburi. Asahau tu habari ya siasa.
Kwani Magufuli kapondwa wapi ?labda ardhi ndiyo inayomponda ,aliona raha kutuulia ndugu zetu ,alifikiri atakuwa Jiwe milele,hatokufa, wrong thought
 
Sera za makovu ya risasi vs sera za mbolea, miradi, elimu, afya na n.k kurudi lilikuwa jambo la muda tu

USSR
Mtapata taabu sana na Chadema badala ya kuandika Yafanyayo na Chama chenu mnahangaika na Chadema poleni
 
Endeleeni kula raha na ccm yenu hakuna aliyewakataza pumbavu zenu.
Hakuna cha raha ni shida tupu ki
Endeleeni kula raha na ccm yenu hakuna aliyewakataza pumbavu zenu,kilo ya mchele kutoka 1200-4000,unga kutoka 700-2000, petroleum lita kutoka 1500-3200, ufisadi wa kutisha kwenye miradi ya Serikali,hakuna mtu anayeweza kufurahia maisha hayo labda uwe fisadi tu,tulidhani Chadema wanakuja na agenda hizo wananchi tuwaunge mkono,gafura tumekuja kwenye mikutano tunasia agenda ni Magufuli,ni kupambana na marehemu,hapo nikaona Chadema haijajipanga na Chadema ikishindwa kutumia furusa wakati huu wasahau 2030.
 
Back
Top Bottom