Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Sasa km anaenda kumwona daktari wake shida iko wapi. Watanzania wengine mna roho za kichawi
Mkuu mleta mada ni kati ya walishindwa kutimiza ahadi yakumuondolea haki yake ya kuishi mh Lissu
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Takataka
 
Alionywa toka mwanzo asije kwa gia ya kumponda magufuli. Matokeo yake kajichimbia kaburi. Asahau tu habari ya siasa.
Jiwe alilisababishia taifa hasara nyingi sana
 
Tundu Lissu ameondoka nchini huku maandalizi ya kumpokea Godbless Lema yakizidi kupamba moto.

Kwani nini Lissu amemkimbia Lema? wajuzi wa mambo tuambizane
 
Tundu Lissu ameondoka nchini huku maandalizi ya kumpokea Godbless Lema yakizidi kupamba moto.

Kwani nini Lissu amemkimbia Lema? wajuzi wa mambo tuambizane
Hii mijadala ya lizu inamkuza wakati si lolote

USSR
 
Tundu Lissu ameondoka nchini huku maandalizi ya kumpokea Godbless Lema yakizidi kupamba moto.

Kwani nini Lissu amemkimbia Lema? wajuzi wa mambo tuambizane
baada ya,wiki mbili atakuwepo.

halafu sioni mantiki hapa.
sasa lisu na lema waliondoka pamoja nchini?
walikua nchi moja.
kwanini lema hakuja siku lisu anakuja.

mfurahishe mumeo akufundishe akili ujue unaandika nini
 
Tundu Lissu ameondoka nchini huku maandalizi ya kumpokea Godbless Lema yakizidi kupamba moto.

Kwani nini Lissu amemkimbia Lema? wajuzi wa mambo tuambizane
Sio kila kitu ni siasa ! Yaani Lissu aache kwenda kumuona Dr wake kwasababu ya kumpokea Lema Je tunajua anatatizo gani kiafya au tunataka usahabiki wetu. Tatizo watu wengi hatujali maisha ya hawa wanasiasa tunapenda ndama zao tu kama movies. Mtu unaye mjali kama ndugu usingeweza kusema hivi
 
Tundu Lissu ameondoka nchini huku maandalizi ya kumpokea Godbless Lema yakizidi kupamba moto.

Kwani nini Lissu amemkimbia Lema? wajuzi wa mambo tuambizane
Gari lake mmemrudishia nyie wasiojulikana?
 
Back
Top Bottom