Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Atakuja na ataendelea kusafiri nje ya nchi, kama wewe hausafiri hiyo haizuii wengine kusafiri. Umaarufu wake ndiyo unasababisha safari zake ku-make headlines, watu husafiri kila uchwao na si lazima kila safari ziwe publicized kwani safari nyingine na za kibinafsi hata kama anayesafuri ni public figure. Hivi akisafiri nje Mbowe pia mtaianzishia threads za kwa nini Mbowe amesafiri nje ya nchi?
Hao ni kama walikula kiapo mbele ya Jiwe kuwa lazima wataisema vibaya cdm na viongozi wao daima.
 
Kumchinja kobe huwa hukufanywi kwa papara, timing ndiyo suluhisho.
Matokeo ya timing mujarabu ndiyo hiyo zoba kazikwa huko porini alikotikea Chato.
Pia timing nyingine ndiyo hii ya mama Samia kukubali kutokomeza dhuruma za ccm kwa wana cdm.

Kawakataa wana ccm wenye mawazo ya kidikiteta mchana kweupe.
 
Kumchinja kobe huwa hukufanywi kwa papara, timing ndiyo suluhisho.
Matokeo ya timing mujarabu ndiyo hiyo zoba kazikwa huko porini alikotikea Chato.
Kufa kwa Magufuli ndio ccm wataruhusu uchaguzi huru bila wizi wala kutegemea dola kulazimisha ushindi?
 
Duuh,hajarejea tena?dj kampa vtisho anataka alambe asali pekeyake.
 
Ilibidi afe ili mambo muhimu kwa mustakabali wa taifa yakae sawa na kweli we're on the right track.
Duh! Kweli watu tunatofautiana, yani wewe unaona sasa hivi tunaenda sawa tena kwenye mambo muhimu ya kitaifa?

Isije ukawa ni katika wale mliyoambiwa mtupishe wale stupid gang.
 
Back
Top Bottom