Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Nchi hii imezoea maigizo sasa amekuja asiyejua maigizo ila ukweli sheria na kanuni zake.
Hao NEC wanaomzuia watajiju kwani hawajatoa ni kanuni ipi ya sgeria za nec ambayo Lissu hakuifuata.
Kwa mujibu wa sheria za Nec kwa suala la mlalamikaji ni kwa maandishi na anaelalamikiwa anatakiwa kujibu ndani ya saa 48 kwa maandishi kabla ya hatua nyingine.
Hayo hayajafanyika mleleta tu usanii wa siku za kale.
Sasa dunia italazimishwa kujiingiza rasmi katika uchaguzi wa Tanzania.
Suala hili lisipoangaliwa kwa umakini TZ inaingia kwenye vurugu za uchaguzi za mapema zisizotokana na utangazaji wa matokeo.
 
Lissu anachinja dume la ngombe bila kulifunga kamba japo anamalizia kukata koromeo, linapoelekea kukata roho hawezi kukwepa kujeruhiwa na mateke yake.
Kinukisheni sasa acheni vitisho mbuzi
 
Tundu Antipas Lissu.. piga spana baba
 
Umeisoma lakini maelezo yake? Au unaandika tu?
 
Wazanzibariiiiiiiiiiiiiiiiiiieeeeeeeeee eeeeeeeee eeeee... amkeni amkeni huu ndio mwaka wa mapambanooo
 
SSA Lissu mbona anakuwa mzembe.akapeleke malalamiko NEC kuhusu JPM na majaliwa kuvunja hizo kanuni. Kama aliyofanya kwenye pingamizi .
Napenda afanye hivyo jumatatu. Asilalamike anakoswa Sifa ya kuwa rais saasa
Amefanya hivyo, zaid ya siku 10 zilizopita, tume ikapiga kimya
 
Lissu angekuwepo tangu zamani nchi hii mkoloni asingegusa , ama kama angegusa basi kiukweli hii nchi ingepata uhuru tangu 1930
 
Hapo ndio anaingia kwenye kumi na nane,akiendelea na kampeni wanamtoa kabisa, jeuri haina faida yeyote tena unae mfanyia jeuri ndio ana ubavu zaidi yako. Hivi jina likikatwa kwenye list ya wagombea atafanya nini?
Mataga mna tabu,msidhani Kama akitolewa uchaguzi utakuwepo,mchakato utaanza upyaaaaaaaaa!
Ndo mtazidi kumpa umaarufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…