Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Hata kuandika neno "barua" tu hujui, hiyo akili ya kujibu hoja za lissu utaitoa wapi, ninyi ndio bendera fata upepo!
 
Huyu Lissu ni balaa yeye kapumuzika na Kampeni lakini tume na polisi wanamfanyia kampeni Mimi nilisema wamuache huu muda ni mfupi au tuseme ni mzimu wake unawasumbua kila muda mumutajetaje?
 
Dar Mpya TV wamekula bando langu.Ila kwa kweli anajua kujenga hoja.
-Wamepeleleka malalamiko tume tangu 21 Sept lakini hajajibiwa.
-Kuna maadii ya vyama na maadili ya wagombea
-Yupo chini ya ulinzi wa askari kwa maana hiyo yupo jirani mno na serikali na angeweza kuletewa barua na ikamfikia bila kikwazo
-Polisi wametoa wito bila kutaja kosa
Nina wasiwasi ndani ya tume na ndani ya serikali kuna watu hawapo synchronised na matakwa yanayotakiwa.Kwa nini wanampa mwanya hivi??
I wish kama angetii tu na akautumia huo muda kujipanga na kusikiliza mikutano yake ya nyuma.
 
Ameambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!
Atamkumbuka Mungu Mara ngapi? Na wakati Mungu mwenyewe yu pamoja naye kila siku?
 
Umeisoma lakini maelezo yake? Au unaandika tu?
What’s new zaidi ya yale yale Magufuli sijui anafanya mikutano bila ya ratiba, Majaliwa nae anatumia magari ya serikali (waziri mkuu lazima alindwe) mara sijui uwanja wa chato.

Magufuli ni ‘incumbent’ president majukumu yake yataendelea huko USA Trump anapotoa stimulus packages za kupunguza athari za kiuchumi anatoa hongo au anafanya kazi yake tu.

Lissu is full of himself eti yeye kila mtu anamuangalia, off course because you seek that attention for the wrong reasons kwa kuvunja sheria na kuongea maneno ya shari. Lakini sio kwamba tishio kwenye sanduku la kura au sijui maamuzi ya NEC kwa sababu Magufuli anachukua mapumziko.

Nadhani ata yeye mwenyewe Lissu ameshanusa CDM wameanza kumchoka kesho kwenye icho kikao chao wasipomdhibiti adhabu itakayofuata iwe ya CDM yote this guy is a loose canon wakicheka nae ata wa-cost wengi huko CDM.
 
Angesusa si ccm wangeendelea na kujichagua?? Umesahau yaliyojiri wkt wa serikali za mitaa
 
Lisu, Kanyaga hapo hapo. Hata China tulikuwa nao sawa kiuchumi hadi miaka ya 1940+, chini ya utawala wa rais Chiang Khai Sheck na serikali ya Kuomintang. Lakini wananchi walipambania Uhuru wa haki na maendeleo hadi kufikia kuiweka madarakani serikali ya Mao Tse Tung, na kufanya maendeleo yakue kwa kasi China.

Now, we need a new government and new strategies of governance.

Why always CCM????

Tubadilike Watanzania, sio kila siku CCM. Unakuta walevi mtaani wamechachamaa CCM mbele kwa mbele huku wakiwa na shida tupu za maisha.

Changes cames by struggle.
 
Mataga mna tabu sana,ukisoma maelezo yake vizuri,huwezi kuandika ujinga Kama huu
Nasema yawezekana si mwenzetu...kama ni mwenzetu tujiulize je familia yake anaijengea mazingira ya kuipenda Tanzania na watanzania? Ama anataka kuitumia Tanzania kwa maslahi yake binafsi? Jiulize kama anatekeleza kwa ufasaha wajibu huo wa kizalendo kuwandaa familia yake kuwa raia wanaoipenda nchi hii liwe jua iwe mvua! Ukifanikawa kupata majibu rudi jukwaani tuendelee na majadala.
Umeandika nini Sasa?
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Vua miwani ya mbao na utumie macho yako uliyopewa na Rabuka mwingi wa rehema kusoma nilichoandika. Na hapo swali lako litapata majibu.
 
"...wamenisimamisha kipindi Magufuli akiwa Gereji...." Mh. Tundu Antipasi Lissu.
Hapa ndipo huwa najiuliza akili za huyu mheshimiwa huwa zinakwama wapi, yaani bila "personal attack" hawezi kuelezea jambo na jamii ikaelewa? Tuliosoma NLP (Neuro-linguistic Programming) tunajua kuwa kichwani mwa Lissu kuna shida au ya kuzaliwa au ya kimalezi tu,... macho uona kile mtu anachokiwaza..
 
Lissu ndie mgombea urais kupitia chadema pia ni Kaimu/Mwenyekiti.Hivyo anavyoongea anaongea kama yeye pia kwa niaba ya Chama.
Anapambana na aliyeshika mpini. Busara ilikuwa ni chama chake kitoe tamko siyo yeye binafsi.
 
Siyo kosa lako.

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Changes cames by struggle.
Crazy Benghazi hooligans had the same thinking, when they decided to torpedo the Libyan nation's boat. However, let us all be clear right here that the crazyness of that nature will be nipped at its bud then everything will be uprooted!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…