Tundu Lissu ashiriki ibada ya Jumapili kwenye kanisa la KKKT - Azania Front

uongo utakusaidia nini dogo ?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahiyo Lisu atakuwa anaenda sokoni kununua nyanya ili aonekane?
 
Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican

Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Anayeomba kuhurumiwaanabembeleza mpaka anapiga magoti
 
Kama Magu ni kweli ameondowa Corona, basi atuondolee Ukimwi na Marelia, yaonekana huyu ana umungu mmoja pamoja na Baba ambaye vitu vyote vimeumbwa naye.

..yaani mmepewa lift mnataka kupiga na honi eehhh...Mshukuruni Mungu basi hapo kwa hili, oneni majirani zetu bado COVID-19 inawatesa ati..!!
 
Moderator unaedit sana uzi huu , kama uwepo wa uzi huu unavunja sheria za jf tutaridhika tu kama utauondoa kabisa , huyu bado ni Mgombea Urais , kaa ukilifahamu hilo
 
Hali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera

Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Hapa unamsema mwenyekiti wako sasa mana hadi kapu la sadaka amebeba sana😂😂😂poleni mambo ni mengi mmesahau for 5 years
 
Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican

Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Wewe Bia Yetu usijifiche, sema tu wewe ndiye Pombe mwenyewe. Unajisikia vibaya hata Tundu Lissu akienda ktk ibada zake binafsi. Je! Ulipokuwa unachangisha fedha kanisani za harambee ya ujenzi wa msikiti, tena bila ridhaa ya Waisilamu, mbona tulikumezea tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…