Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
uongo utakusaidia nini dogo ?Wewe ndio mjinga sasa!
Hakuna aliesema corona imemuogopa Magu! Ila kwa jinsi alivyoishughulikia bila kuleta taharuki kwa watu ndio kinafanya hao wachungaji unaoona wamepiga picha na Lisu wamkubali sana JPM.
Hao mimi nawafahamu sana. Hasa sehemu kama dar viongozi wa dini wakimuona Lisu anavyopayuka kuhusu corona wanamuona mbumbumbu tu
Maswali ya kijinga hayana nafasi humuMbona huyo mzungu pua yake kubwa kama ya roba?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahiyo Lisu atakuwa anaenda sokoni kununua nyanya ili aonekane?Mmeshaambiwa Lissu atafanya shughuli za kijamii, sasa hapo ndio mtafurahi, ameshaanza kazi za kijamii... sijui kama nyie vichwa maji mnaelewa maana ya hiyo statement, yaani Lissu atakuwa anajichanganya sokoni, kanisani, popote pale watu wanamcheki tu, zege halilali hilo.
Huyo ni mpiga picha wa kanisa?ulitaka hata mpiga picha wa kanisa awe Issa Michuzi ?
Anayeomba kuhurumiwaanabembeleza mpaka anapiga magotiHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Uongo upi ndugu?uongo utakusaidia nini dogo ?
Kama Magu ni kweli ameondowa Corona, basi atuondolee Ukimwi na Marelia, yaonekana huyu ana umungu mmoja pamoja na Baba ambaye vitu vyote vimeumbwa naye.
Wengine tutampa lisssu...Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Hapo angekuwa jpm angeshaagiza askari wakamate Mara moja..[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1590062
Hapa unamsema mwenyekiti wako sasa mana hadi kapu la sadaka amebeba sana😂😂😂poleni mambo ni mengi mmesahau for 5 yearsHali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Safi sana Lissu!Siku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Ujumbe ulimhusu Moderator tuAnzisha forum yako
ulitaka hata mpiga picha wa kanisa awe Issa Michuzi ?
Huyo ni mpiga picha wa kanisa?
This is too shallow from you..!!
Anayehangaika ni yule msaliti wa Nchi anayekabiliwa na laana
Wewe Bia Yetu usijifiche, sema tu wewe ndiye Pombe mwenyewe. Unajisikia vibaya hata Tundu Lissu akienda ktk ibada zake binafsi. Je! Ulipokuwa unachangisha fedha kanisani za harambee ya ujenzi wa msikiti, tena bila ridhaa ya Waisilamu, mbona tulikumezea tu?Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania