Umewahi kuingia moyoni kwa Mchungaji Mzinga ukajua kwamba anamkubali jiwe? hujui kitu sisi tulioko kwenye hizo taasisi ndio tunajua watu wanaigiza tu kwa maslahi yao kama unamkubali jiwe kikwel niwwHiyo haitamsaidia!
Kama hao kina Mzinga wanamkubali sana Magu kwa jinsi alivyoihandle corona bila kufunga makanisa.
Siku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Huna unalojua mkuu bora ukae kimya tu.Umewahi kuingia moyoni kwa Mchungaji Mzinga ukajua kwamba anamkubali jiwe? hujui kitu sisi tulioko kwenye hizo taasisi ndio tunajua watu wanaigiza tu kwa maslahi yao kama unamkubali jiwe kikwel niww
Hapana Magufuli....umefurahi ss we kibinti?Jinga snKwahiyo wana Muunga mkono Lisu?
Yes!! Vipi unateseka??My Goodness namuona my former pastor Charles Mzinga na Chidiel Lwiza hapo,
Meko yupo gereji..pace maker inagoma kutoa ushirikiano..Hali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Huo ni uwongo mnalishwa na lissu
Huyo lissu ndio alikuwa analipwa mabilion na Mabeberu ili kuwatetea bungeni waibe madini yetu
Wewe ni kilaza wa nchi. Hakuna msaliti wa nchi TanzaniaMimi Sio msaliti wa Nchi kama mgombea wa chadema
Haha kwa vatican ndo wapiiiii?Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
nakulifungia kabisa...wanatamani kuteka kanisa
Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Umenikumbusha walk to work kule Uganda. Chadema waitumie hii ndani ya siku 7 za Mahela na ccm.Huyu TAL amefungiwa kufanya kampeni lakini hii ni kampeni " fulani " hivi!
Magufuli ni mkatoliki 2015 alikimbia mbio kwenda kwa Malasusa askofu was Dayosisi ya Pwani amuombee wakati yeye ni mkatoliki .Askofu Malasusa ndie askofu pekee kutoka Lutheran aliyemuombea Magufuli na kumpa baraka Lowasa hakuiomba japo ni mlutheriSiku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam