Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kulikuwa na statements zisizo na maonyo zenuw kueleza hatua za kuchukuliwa. Sasa kuna statement yenye onyo inayoelezea hatua zitakazochukuliwaHata kwa COVID-19 kulikuwa na statements nyingi but hazizikusaidia kitu. Mtaumiza sana nafsi zenu but NOTHING will change msimao wa Tz. Wa Tz wahawajawahi kushadidia USHOGA wala Mabebeeu, na inapokuja issue ya USALITI wa Tz hawajawahi kugawanyika. Endeleani kusubiri Meli Airport..
Tutamuombea kwa Mungu atulie aache mapepe.Lissu haepukiki. Ngoja akianza kazi zake za chama na za kijamii. Sijui mtasemaje. Si mmemzuia??
Zile picha za Magufuli kanisani hupigwa kwa kutumia makalio yako!Hali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Hivi ukiwa mwanasiasa hutakiwi kushika misingi ya imani yako ?Siku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Hizo ndio sera zenu mlizopewa na mabeberu kuruhusu utoaji mimba na ushogaOmbi - Utoaji mimba uruhusiwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wanayoipata wazazi wa kijana huyu mbumbumbu
Uliza tukwambieHuna unalojua mkuu bora ukae kimya tu.
Kulikuwa na statements zisizo na maonyo zenuw kueleza hatua za kuchukuliwa. Sasa kuna statement yenye onyo inayoelezea hatua zitakazochukuliwa
Haya ni makalamiko au ni kilio ?Magufuli ni mkatoliki 2015 alikimbia mbio kwenda kwa Malasusa askofu was Dayosisi ya Pwani amuombee wakati yeye ni mkatoliki .Askofu Malasusa ndie askofu pekee kutoka Lutheran aliyemuombea Magufuli na kumpa baraka Lowasa hakuiomba japo ni mlutheri
Malasusa Askofu ndie pekee alihudhuria sherehe ya kuapishwa Magufuli kuwa Raisi baada ya Askofu mkuu wa KKKT Shoo kugoma kuhudhuria uwanja wa Taifa siku ya kuapishwa Magufuli
Magufuli ni mkatoliki 2015 alikimbia mbio kwenda kwa Malasusa askofu wa Dayosisi ya Pwani amuombee kabla kwenda kwa kwa kardinali Pengo wakati yeye ni mkatoliki .Askofu Malasusa ndie askofu pekee kutoka Lutheran aliyemuombea Magufuli na kumpa baraka Lowasa hakuiomba japo ni mlutheriSiku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Lisu kaenda Moshi angeenda kanisa LA askofu Shoo LA Kilimanjaro .Dar Askofu ni Malasusa chadema mnayemporomooshea matusi ya nguoni na Policarp Pengo kardinali mnayemtukanaa unafiki wenu Dar hauna nafasiHaya ni makalamiko au ni kilio ?
Akikujibu nishtue πππZile picha za Magufuli kanisani hupigwa kwa kutumia makalio yako!
Mbona Gwajima alimtukana pengo na wewe juzi ulienda nae kwa pengo???Lisu kaenda Moshi angeenda kanisa LA askofu Shoo LA Kilimanjaro .Dar Askofu ni Malasusa chadema mnayemporomooshea matusi ya nguoni na Policarp Pengo kardinali mnayemtukanaa unafiki wenu Dar hauna nafasi
Kutothamini uhai,utu na haki ndio usaliti was kiwango Cha juu zaidi kinachoweza kufanywa na binadamu.Hali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Kumgekuwa na jukwaa la wajinga, hapo pangekufaa sana. Hapa wewe ni misfit.Hata akienda kusafisha Choo gerezani kikubwa msaliti wa Nchi Tanzania hana nafasi
Kwa kuona umuhimu wa walutheri Lissu Ndo mana leo ameenda kusali Azania Front huku yeye akiwa ni mkatolikiMagufuli ni mkatoliki 2015 alikimbia mbio kwenda kwa Malasusa askofu wa Dayosisi ya Pwani amuombee kabla kwenda kwa kwa kardinali Pengo wakati yeye ni mkatoliki .Askofu Malasusa ndie askofu pekee kutoka Lutheran aliyemuombea Magufuli na kumpa baraka Lowasa hakuiomba japo ni mlutheri
Malasusa Askofu ndie pekee alihudhuria sherehe ya kuapishwa Magufuli kuwa Raisi baada ya Askofu mkuu wa KKKT Shoo kugoma kuhudhuria uwanja wa Taifa siku ya kuapishwa Magufuli anyway kama Askofu Malasusa hakuweko kwenye hiyo ibada Lisu imekula kwake Askofu Malasusa hakuwepo aliyemuweka Magufuli madarakani kwa niaba ya walutheri wa Dar
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Na utapanic sana hadi oktoba 28 lazima hizo pichu uvae kichwaniHapana Magufuli....umefurahi ss we kibinti?Jinga sn
Mkuu huna ujualoUliza tukwambie