Akipata 10% nitafuteKila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Iyo 10% ndo atapata magufuli. Hatoamini mwaka huu. Atajua kuwa hajuiAkipata 10% nitafute
Hahaha! Mkuu hauko serous. Namuongelea Lisu siyo Hashimu Rungwe.Akipata 10% nitafute
Naona unataka kuwafanya kina fulani waanze kuandaa madawa ya kuokoa jahaziKila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Unayo ijua wewe na wenzakoDunia ya wp hiyo!!?
Aliyekutafsiria kilichoandikwa hapo kakudanganya, tafuta mwingine akusomee na kukutafsiria labda utaelewaKila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Utafutwe wapi wakati huo wewe utakuwa umeshazimia tayari?Akipata 10% nitafute
Maumivu daima uanza Poole pooleAliyekutafsiria kilichoandikwa hapo kakudanganya, tafuta mwingine akusomee na kukutafsiria labda utaelewa
Nenda Kenya tu hapo kawaulize uone wanamuitaje Magufuli. Anaitwa impulsive atheist ruler".nini..Afrika nzima hii hakuna Rais mfano wa Magufuli,
Lkn si imeandikwa na media za dunia nyingine hiyo? Kwani ni Channel ten hao?Aliyekutafsiria kilichoandikwa hapo kakudanganya, tafuta mwingine akusomee na kukutafsiria labda utaelewa
Nimekuambia tafuta mtu akutafsirie kilichoandikwa hapo, hiyo lugha si rafiki na weweLkn si imeandikwa na media za dunia nyingine hiyo? Kwani ni Channel ten hao?
Kweli mkuu. Huku unaweza kukuta hata kuna waziri wake anamponda kinyamaSasa Magu anadhani anapendwa kwa kusifiwa na wanafiki Ila huku ndo anatakiwa apime kama anapendwa au hapendwi
Ndo hapo sasa!Kweli mkuu. Huku unaweza kukuta hata kuna waziri wake anamponda kinyama
Wanaompinga Lissu kama wewe na mkeo ni negligibleDunia? Basi Mimi, mke wangu na watoto tutakuwa tunaishi Mars.
he rose from amongst the dead.Kila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Ala kumbe sio dunia nzima.Wanaompinga kama wewe na mkeo ni negligible