stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
yote tutayaweka kwenye sanduka la kura wala usijihangaishe kutukana watu maana ndo mnachojuaga! safari hii mtajipungia wenyewe kwenye kampeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
Ni muhimu sanaKwenye chaguzi nyingi za miaka ya huko nyuma chama chetu (CCM) kimekuwa kikitangazwa kushinda hata katika maeneo na nafasi ambazo wapinzani wameshinda.
Figisu hii tumekuwa tukiifanikisha zaidi hususani pale tofauti ya kura inapokuwa ndogo...
yote tutayaweka kwenye sanduka la kura wala usijihangaishe kutukana watu maana ndo mnachojuaga! safari hii mtajipungia wenyewe kwenye kampeni
Sasa wamesema wao au nyie munaomsapot.Kila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Ukiwa mjinga na ukaambiwa kweli cdhan kama ni matuc
Endelea kujitekenyaAkipata 10% nitafute
aya tumekuskia
Akipata 10% nitafute
Labda kama tume ni ya wapinzaniOctober nyeusi inakuja kwa magufuli. Mwambie ajiandae
Wewe unazijua dunia ngapi.Tundu Lissu ana exposure kubwa duniani kuliko jamaa yenu.Dunia ya wp hiyo!!?
Sidhani kama anaweza kufikisha 10% , mbona nyingi mno/Iyo 10% ndo atapata magufuli. Hatoamini mwaka huu. Atajua kuwa hajui
What a reply..[emoji23][emoji23]Hahaha! Mkuu hauko serous. Namuongelea Lisu siyo Hashimu Rungwe.
Kwani nyie Kenyatta mnamuitaje? Tambua hayo majina hayazuiliki Mimi namwita TL msaliti wewe unamwuita JPM jiwe bado Mimi na wewe tuna majina yetu mitaani japo hatuyajuiNenda Kenya tu hapo kawaulize uone wanamuitaje Magufuli. Anaitwa impulsive atheist ruler".
Nenda Kenya tu hapo kawaulize uone wanamuitaje Magufuli. Anaitwa impulsive atheist ruler".
Mimi sichezagi hizo ligi za ubishi wa kijiweni. Mungu unamwingiza vipi kwenye siasa zenu za vumbi hizi. Acha usije ukakufuru bure.