Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atabiriwa ushindi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020

Kwahiyo wewe unapima kina cha maji kwenye mitandao? Usiseme hukuambiwa siku ikifika.
 
October nyeusi inakuja kwa magufuli. Mwambie ajiandae
Simwambii maana simjui ila kama unadhani uchaguzi wa Rais wa nchi hii ni kama ubishi wa Simba na Yanga kijiweni basi aisee na wewe jiandae kisaikolojia.
 
Simwambii maana simjui ila kama unadhani uchaguzi wa Rais wa nchi hii ni kama ubishi wa Simba na Yanga kijiweni basi aisee, jiandae kisaikolojia.
Nikushauri ndugu yangu. Jiandae wewe. Amini amini nakwambia. Tundu Antipas Lissu ndo Raisi wako kuanzia October 2020. Mark my words. Hakuna wa kuzuia nguvu ya Mungu. Duniani na Mbinguni!!!
 
Nikushauri ndugu yangu. Jiandae wewe. Amini amini nakwambia. Tundu Antipas Lissu ndo Raisi wako kuanzia October 2020. Mark my words. Hakuna wa kuzuia nguvu ya Mungu. Duniani na Mbinguni!!!
Mimi sichezagi hizo ligi za ubishi wa kijiweni. Mungu unamwingiza vipi kwenye siasa zenu za vumbi hizi. Acha usije ukakufuru bure.
 
Hata hao walikuwa wanamsifia magufuli mwanzo hivi sasa wamemchoka.
 
Tofauti kubwa baina ya wafuasi wa CHADEMA na CCM ni sehemu moja tu. Wengi wa CHADEMA wanaishi katika ulimwengu wa kudhania, ulimwengu wa wanasema hivi au vile, ulimwengu wa kubuni, ulimwengu wa kufikirika: Wengi wa CCM wanaishi katika ulimwengu wa halisia, ulimwengu wa kutenda, ulimwengu unaoishi, ulimwengu wa tushasema hivi au vile n.k

Ulimwengu wa CHADEMA unaishi ndani ya akili zao, Ulimwengu wa CCM unaishi kwenye Mfumo wa Jua la Mwenyezi Mungu. CHADEMA wanaota, huku CCM wanatekeleza.

Na unaonekana umesharidhika, ulivyosikia kwa kuambiwa na kila kona ya nchi ya Dunia kuwa Lisu atashinda🤣🤣. Haya! Tusubiri tuone, pengine wao ndio wapiga kura kwa mujibu wa katiba ya Tanzania.

Na Hiyo ndio tofauti.
 
Aliyekutafsiria kilichoandikwa hapo kakudanganya, tafuta mwingine akusomee na kukutafsiria labda utaelewa

Vanguard Africa Foundation inasomwa dunia nzima kwa lugha ya kigeni.

Hivyo ni sahihi maana kuna ukame wa habari ktk Kiingereza na hawa Vanguard wanaziba ombwe na kusaidia kufahamisha ulimwengu kinachoendelea sasa kutaka kumuondoa Magufuli kupitia sanduku la kura.

Labda wale wa mtaa wa Lumumba nao waanzishe platform kwa Kiingereza kukataa matumaini yanayoaminiwa sasa na dunia kuwa kimbunga kitang'oa utawala huu wa CCM .
 
Lissu ndio habari ya dunia sasa!
Kama magu ni Africa, Lissu ni dunia...nani zaidi?
Mtakunywa sumu mwaka huu.
 

Humu watu wanatumia fake ID unajuwaje kama ni wafuasi wake au watanzania wasio na vyama ambao ni wapiga kura wengi kuliko hata hao wafia chama
 
Hata Lowassa naye alitabiriwa hivyo hivyo na hao jamaa; au umesahau?

Mbona unalinganisha watu wasiolinganishika Lowasa alikuwa hawezi kuongea jukwani na Lisu ndo huyo unamfahamu akiwa jukwaani. Na watanzania huwa hawatabiriki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…