Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Mkuu sijajua umeandika ukiwa na mtizamo gani. Binafsi nazungumza kwenye spiritual angle. Ulichokiandika NDICHO KILICHOPO.
Huko aliko ni namna ya yeye kuendelea kusukwa. Hajafa Hajawa Rais wa Tanzania.
 
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
Nakuombea Uhai. Hautokufa hujashuhudia Tundu Lissu kuwa Rais wa hii nchi.
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Sahau
 

Ndio maana nakuambia 2020 haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Uchafu ule imekuwa hata ni aibu kuuweka kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi.
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Acha kuota ndoto za mchana Rais Samia Suluhu 2025 hana mpinzani kwa maendeleo anayoyafanya sasaivi watanzania tuna imani nae
 

Tundu Lissu ana uelewa mkubwa sana wa mambo mengi kwenye nchi yetu, anasoma sana, ni vizuri kwa mtu wa ngazi ya urais kuwa na uelewa mkubwa wa historia ya nchi yake kama alivyo Lissu.

Kuhusu urais, sidhani. Namuona anafaa sana kwenye nafasi ya uwaziri mkuu. Kama Magufuli, alikuwa anafaa kwa nafasi ya uwaziri mkuu.

Urais unamfaa mtu mwenye utulivu, anayefikiria sana kabla ya kutenda.
Toka aliposema tutashitakiwa MIGA na hatukushitakiwa, tangu siku hiyo nikamdharau kabisa.
 
Tatizo ni Kajamaa kanafiki sana, labda awe raisi wa yanga
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
vizuri
 
Itapendeza sana, Lissu ni akili kubwa kuwahi ku grace taifa hili.
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Huu uzi umeamsha watu huko wanalala na viatu
 
Back
Top Bottom