Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Inawezekana lakini kwa mapito tuliyopitia kama Taifa kuanzia 2015 to 2021 yamenifundisha kitu, kwamba watu wenye misimamo mikali na wenye akili zilizopitiliza hawafai kuwa na mamlakaa ya juu kabisa, wanafaa kuwa watendaji wakuu chini ya watu wengine ili wawashikie breki
 
Lisu akirudi kwa jinsi alivyokuwa na vibe, ni lazima CCM wapore tena uchaguzi. Lisu ana nyota kali sana ya mvuto.
Mkuu Tindo, with due respect, do you believe Lissu alishinda uchaguzi halafu NEC wakampora?. Kura zote hadi za urais @1 zimehesabiwa vituoni na matokeo kubandikwa ubaoni huku kila wakala akisaini matokeo!, wazi huo umefanyikaje?.

Jee unajua kwamba kwenye urais wa Tanzania kuna kura ambazo ni determinant ya nani anakuwa rais wa Tanzania?.
Je unajua JPM aliibukia wapi hadi kugombea urais wa JMT?.
Kwa kukusaidia tuu, the determinant votes za mtu atakayekuwa rais wa Tanzania ni kura za Kanda ya Ziwa, baada ya the deep state kumfix EL, walijua akikatwa atahama chama na ataingia ikulu!, ili kumzuia asiingie ikulu ilibidi atafutwe mgombea Msukuma atakaye uzika ndipo jina la JPM likaibuliwa wakati huo hata JPM mwenyewe hajui!. Angalia tarehe ya bandiko hili na uzisome sababu za kwanini ni Magufuli Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Yaani mgombea Msukuma ashindane na Mnyaturu halafu Mnyaturu amshinde Msukuma, kisha kura za Mnyaturu zikaibiwa akapewa Msukuma!. Haitakuja itokee!.
Zile kampeni za 2020 zilimuacha Magufuli na msongo wa mawazo, hakutegemea kama Lisu angeweza kupata uungwaji mkono wa kiwango kile. Na sababu hiyo ilibidi apore uchaguzi maana alijua matokeo halali yangemuacha na fedheha yeye na ccm yake.
Duh...!.
Haya bana!.
P
 
Hizi ni pumba andamizi.kukiwa na katiba mpya inayofuatwa na tume huru ya uchaguzi.TL atakua rais.polisi na mahakama wasipotumika na ccm,nani wa kumzuia TL ikulu???.usikariri
Kwenye kura za urais, the determinant of victory is not the vote cast, but the vote count!. Hivyo anayeamua nani ashinde uchaguzi sio mpiga kura wala sio idadi ya kura za ndio, bali ni mhesabuji kura!.
P
 
Jamaa mwongo Huyu,
Wapi kwenye vitabu vitakatifu pameandikwa lisu atakuwa rais wa tz
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Ukiona unaota sana ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chizi
 
Mkuu@Tindo, with due respect, do you believe Lissu alishinda uchaguzi halafu NEC wakampora?. Kura zote hadi za urais @1 zimehesabiwa vituoni na matokeo kubandikwa ubaoni huku kila wakala akisaini matokeo!, wazi huo umefanyikaje?.

Jee unajua kwamba kwenye urais wa Tanzania kuna kura ambazo ni determinant ya nani anakuwa rais wa Tanzania?.
Je unajua JPM aliibukia wapi hadi kugombea urais wa JMT?.
Kwa kukusaidia tuu, the determinant votes za mtu atakayekuwa rais wa Tanzania ni kura za Kanda ya Ziwa, baada ya the deep state kumfix EL, walijua akikatwa atahama chama na ataingia ikulu!, ili kumzuia asiingie ikulu ilibidi atafutwe mgombea Msukuma atakaye uzika ndipo jina la JPM likaibuliwa wakati huo hata JPM mwenyewe hajui!. Angalia tarehe ya bandiko hili na uzisome sababu za kwanini ni Magufuli Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Yaani mgombea Msukuma ashindane na Mnyaturu halafu Mnyaturu amshinde Msukuma, kisha kura za Mnyaturu zikaibiwa akapewa Msukuma!. Haitakuja itokee!.

Duh...!.
Haya bana!.
P

Sio lazima Lisu awe alishinda uchaguzi, bali matokeo yaliyotangazwa hayakuwa sahihi. Hata kama liko gap, sio lililotangazwa. Na kilichofanyika kwenye uchaguzi ule tulikiona kwa macho yetu. Isitoshe hata idadi ya wapiga kura ilikuwa ni ya kupika ili kumpa magufuli kura azitakazo.

Ukitaka kujua kuwa hakukuwa na uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, ingia kwenye tovuti ya NEC kama hata wamethubutu kuweka matokeo ya uchaguzi ule.
 
Sio lazima Lisu awe alishinda uchaguzi, bali matokeo yaliyotangazwa hayakuwa sahihi. Hata kama liko gap, sio lililotangazwa. Na kilichofanyika kwenye uchaguzi ule tulikiona kwa macho yetu. Isitoshe hata idadi ya wapiga kura ilikuwa ni ya kupika ili kumpa magufuli kura azitakazo.

Ukitaka kujua kuwa hakukuwa na uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, ingia kwenye tovuti ya NEC kama hata wamethubutu kuweka matokeo ya uchaguzi ule.
Hivi kweli una ubongo?
 
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
Wewe mtoto wa Igamba hutaki urahisi? Wewe jamaa Ni mpga ngonjera asie na Meno ila ulimi anao!!
 

Tundu Lissu ana uelewa mkubwa sana wa mambo mengi kwenye nchi yetu, anasoma sana, ni vizuri kwa mtu wa ngazi ya urais kuwa na uelewa mkubwa wa historia ya nchi yake kama alivyo Lissu.

Kuhusu urais, sidhani. Namuona anafaa sana kwenye nafasi ya uwaziri mkuu. Kama Magufuli, alikuwa anafaa kwa nafasi ya uwaziri mkuu.

Urais unamfaa mtu mwenye utulivu, anayefikiria sana kabla ya kutenda.
 
Mkuu technically, kwanza hongera sana kwa bandiko hili very powerful la kitu kinachoitwa mind suggestibility, naunga mkono hoja, kwa hoja kuwa mtu yoyote aliyetimiza sifa na vigezo vya kuwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, anaweza kuwa rais wa Tanzania, na sifa hizo na vigezo vyote Tundu Lissu anavyo hivyo ni kweli anaweza kuja kuwa rais wa nchi hii yetu ya Tanzania na ule uchaguzi wa 2015 ni mimi ndie nilimshauri Lissu Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Sikujua kwamba ushauri ule ungekuja kumponza, hadi kupata zile pyu pyu Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Ila kwa nchi yetu Tanzania na kwa siasa zetu za kiTanzania, ili mtu kuweza kuwa rais wa nchi hii ni lazima awe CCM, kwa Tanzania, urais una haki miliki, haki miliki ya urais wa JMT ni kwa chama cha Mapinduzi CCM pekee. Haki miliki hiyo ilitolewa kwa CCM na muasisi wa taifa hili, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, pale aliposema "Mtu yoyote anaweza kuwa rais wa Tanzania, ila rais bora ni kutoka CCM". Balozi Karume: ‘CCM pekee iwe inasimamisha mgombea urais Zanzibar’

Wewe katika bandiko hili umetumia definitive statement kuwa Tundu Lissu atakuwa rais wa nchi hii as if you are very sure!. Kwa vile Tundu Lissu yuko opposition, na its very unfortunately Tanzania hatuna any serious opposition wa kuiondoa CCM madarakani hivyo Lissu kupitia opposition kamwe hawezi kuja kuwa rais wa nchi hii unless ahamie CCM, ateuliwe na CCM kugombea urais, mgombea urais wa CCM ndiye rais wa Tanzania!.

Walipambana vipi?, wakashindwa vipi?, inamaana Tundu Lissu aliwashinda Mkapa, Kikwete na Magufuli, please share with us alishindana na hao wote watatu kwenye nini na Tundu Lissu ndio akawashinda?.

Duu!..., hii kali!, ila naomba nisikubeze maana kuna kauli nyingine ambazo mimi naziita "kauli umba", zina nguvu ya kuumba kwa...

Hili kwa kweli naitunza, ila hujasema how?. Ila kwa uzoefu wangu wa kura za urais, sisi sio kama Kenya ambapo matokeo yanaweza kuhojiwa, sisi matokeo yakitangwa ni final and conclusive, hivyo kama determinant ya ushindi kwa chaguzi zetu ni matokeo ya kura za ndio zilizopigwa na wapiga kura, yaani vote cast then its posible mgombea yeyote mwenye kura nyingi ndie mshindi, hivyo uchaguzi wa 2025 Lissu akigombea na Samia, na Lissu akapata kura nyingi, anatangazwa mshindi na kweli Tundu Lissu anakuwa rais wa nchi hii ya JMT.

But ivery unfortunately the determinant of victory in our elections is not the vote cast but the vote count!, nikimaanisha the determinant ya nani anashinda uchaguzi, sio kura zilizopigwa bali ni kura zilizohesabiwa, hivyo mwamuzi wa nani ni mshindi ako mpiga kura bali mwesabu kura!.
Maadam 2025 haiko mbali, lets wait and see to it hili likotokea!.
Wish you all the best kwenye kauli umba yako hii!.
P

Wakati mwingine njia za Mungu hazichunguziki. Uwe unaombea viongoz Wa nchi pengine utaliona hili
 
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa

Sifa zote hizo na Magu alikuwa nazo. Hili nalo uliangalie
 
Sio lazima Lisu awe alishinda uchaguzi, bali matokeo yaliyotangazwa hayakuwa sahihi. Hata kama liko gap, sio lililotangazwa. Na kilichofanyika kwenye uchaguzi ule tulikiona kwa macho yetu. Isitoshe hata idadi ya wapiga kura ilikuwa ni ya kupika ili kumpa magufuli kura azitakazo.

Ukitaka kujua kuwa hakukuwa na uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, ingia kwenye tovuti ya NEC kama hata wamethubutu kuweka matokeo ya uchaguzi ule.
Mkuu Tindo , hili nakubaliana nalo na ndio maana karma imetimiza wajibu wake, ila akina sisi wasoma trends, matokeo ya uchaguzi wa 2020 tuliyaona kitambo toka ile ile 2014 na tukawaandaa Watanzania kuyapokea na Elections 2015 - Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo, Vunja Kambi, Jisalimishe! na Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! na Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? humo nilisema
Wanabodi.

Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa 2020, utakuwa sio uchaguzi bali utakuwa ni igizo tuu la uchaguzi, sasa badala ya kufanya igizo la uchaguzi , si ni bora tumwache tu Magufuli aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?, na badala yake hizo fedha za uchaguzi zikaelekezwa kwenye maendeleo ?

Kwa maoni yangu, 2020 hakutakuwa na uchaguzi wa rais 2020, kutakuwa tuu na igizo la uchaguzi, na kwenye ubunge na udiwani , kwa udikiteta huu, sijui kama kuna mpinzani atatoka!, uchaguzi wa 2020 itakuwa ni uchaguzi wa CCM only and only CCM!. Uchaguzi mwingine wa rais na uchaguzi wa vyama vingi ni uchaguzi wa 2025 only if ...(Mungu hatafanya yake hapa katikati)

Hayo ni maswali tu nimeanza kujiuliza aloud.

Je, wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?

Paskali
Na tukijiandaa kwa uchaguzi wa 2020, niliendelea kuwaandaa Watanzania kwa kitakachotokea uchaguzi wa 2020,
  1. In 2015 Election, Tanzania had A Choice To Choose From. Jee Kwa 2020, Do We Still Have A Choice?
  2. Uchaguzi 2020 - Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!
  3. Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
  4. Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?
  5. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Kwa hiyo kwenye matokeo ya 2020, there were no any surprises at all, matokeo hayo were expected
P.
 
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
Wewe ni mpuuzi kabisa tena ni mpuuzi hivyo tuu sina maneno zaidi kukuita mpuuzi
 
Back
Top Bottom