Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika,, tunapaswa kuwa Wavumilivu...Maadam 2025 haiko mbali, lets wait and see to it hili likotokea!.
Pengine upo sahihi. Kuna mengi amewahi kuyapita in a mysteriously way- na sikuwahi kuamini angevuka.
Kwa hiyo ikulu yetu unaifanya ni sehemu ya majaribio?, unataka tujaribu kuitest sumu kwa kuilamba ili kuionja?. Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!Bora tujaribu na Lisu
Kama mla UROJO amekuwa nani atashindwa?Kiwango chake cha juu labda mwanasheria mkuu wa serikali, uraisi hapana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majaribio makubwa ni yale ya mwaka 2015 na tulifeli vibaya kiasi cha kuharibu misingi ya nchi hadi leo.Kwa hiyo ikulu yetu unaifanya ni sehemu ya majaribio?, unataka tujaribu kuitest sumu kwa kuilamba ili kuionja?. Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
Amini usiamini hata dikiteta naniliu atakuwa ni afadhali.
P
No !, Id like to differ!, japo Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!, Blaza ameisaidia sana nchi kwa kutunyoosha.Majaribio makubwa ni yale ya mwaka 2015 na tulifeli vibaya kiasi cha kuharibu misingi ya nchi hadi leo.
Sometimes katiba, sheria, taratibu na kanuni ni kikwazo, hivyo ni akina sisi tulimshauri Blaza Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! ila pia tuliwaanda watu kisaikolojia Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!Wewe kama wakili huoni ubaya wa nchi ikishaingia kwenye utawala usioheshimu sheria?
Very disappointing,No !, Id like to differ!, japo Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!, Blaza ameisaidia sana nchi kwa kutunyoosha.
Sometimes katiba, sheria, taratibu na kanuni ni kikwazo, hivyo ni akina sisi tulimshauri Blaza Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'! ila pia tuliwaanda watu kisaikolojia Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Now sasa ni wakili kuna vitu nitasaidia kwa kuanza na ibara ya 5 na ibara ya kuna haki zimetolewa na katiba halafu zinapigwa.
P
AmenNa huyu Lissu ndiye Rais atakayeleta mabadiliko yote tuyatakayo, tuzidi kumuombea maisha marefu tu.
Kumbe akili zako hazina akili kumbeNa stress zilimfanya ashindwe kujiamini na kutokufuata COVID protocol akafa.
Akafa manina zake na nchi imekombolewa. Mauwaji ya kiholela hakuna tena zaidi ya mauwaji ya police
The buck stops with him.Mimi ua nashangaa saana ninapo sikia watu wanasema magufuli alitaka kuua tundu Lissu sijui ilikuwa plan yake kumpiga tundu Lissu risasi
Hivi raisi ninyi mnamchukuliaje kabisa
Jaribu kufatilia ata abari za maraisi ambao walikuwa wauwaji wakubwa
Raisi akikusudia kukua ndugu yangu umepotea ule ungelikuwa ni mpango wa magufuli baada ya kushindwa kumuua kwa risasi alikuwa na uwezo wa kutumia wale madocter ambao walikuwa wana mtibiya ili wamfyekelee mbali kabisa
Au kutumia majambazi na wengine
Lakini kwasababu ule ulikuwa sio mpango wa raisi ndo maana uliona vile baada ya kupigwa risasi madui zake walishindwa kumfatilia
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Huyo mshamba kipindi hicho alikuwa mbwinde anachunga mbuziMkuu samahani ,hivi alipokuwa rais wa TLS ulikuwa bado hujazaliwa ? Kama ulikuwepo utaweza nikumbusha alipitia figisu zipi kabla ya uchaguzi kufanyika wa TLS ?
Binafsi kwa mapito aliyopitia,Mungu amfute jasho kwa kumpa uraisNawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.