Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Upuuzi huu. THAT WILL NEVER HAPPEN. IKITOKEA MIMI NTAENDA KUOMBA URAIA UKRAINE.
 
Ameshakuwa raia wa ubelgiji, haruhusiwi kugombea huku, ndio maana analia Kila siku katiba ibadilishwe ili imruhusu kugombea, anataka ale vya huku na bya ubelgiji.

Na hayo mavyuma, hataweza mikiki mikiki ya uraisi, yatamtoboa mwili yatokeze nje
Hivi kuna watu bado wanaongea lugha hizi za kejeli. Wenzako wametokomea wapi?
 
Ubishi upi sasa toa mifano.

Lissu na Mwigulu au Lissu na Jpm nani mbishi tena ubishi unaoliingiza taifa gizani.
Ni kwa sababu tu hajawahi kuwa katika nafasi kama za hao wengine, ila jamaa ana mihemuko na mpenda ligi.
 
Na huyu Lissu ndiye Rais atakayeleta mabadiliko yote tuyatakayo, tuzidi kumuombea maisha marefu tu.
Ilianza kwa Slaa kuwa ni chaguo la Mungu ikaja kwa Lowassa na sasa bado ipo kwa Lissu, naye atasahaulika na kuja chaguo lengine la Mungu.
 
Kuna comments ukisoma inabid kwanza ucheke
 
Mi namuona ni Waziri muhimu ajaye ktk wizara muhimu atakayesaidia sana Nchi kupiga hatua.

Ajaye baada ya sa100 ni............, Muda ukifika ntamtaja.

Ameeeen
Waziri muhimu wa nini? Labda wampe katiba na sheria
 
Waziri muhimu wa nini? Labda wampe katiba na sheria
Yes.

Lakini unafikiri bitozo anaweza kumpa nafasi mtu anayemzidi akili au kupambanua mambo? Kwenye huo utawala sitashangaa yeye ndo mwenye akili kushinda wote, sasa hao wengine sijui itakuwaje? Tumwache tu awe mtalii, ndo mambo anayoyaweza hayo. Ila 2025 Lifanyike jambo tu, hata akiingia kunguru sawa tu
 
Mkuu samahani ,hivi alipokuwa rais wa TLS ulikuwa bado hujazaliwa ? Kama ulikuwepo utaweza nikumbusha alipitia figisu zipi kabla ya uchaguzi kufanyika wa TLS ?
Sasa TLS ndio Urais wa nchi? Huo si sawa tu na Urais wa Bao au masubwi? Juu yake si Kuna serikali? Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongoza , Huwezi ukampa mtu uongozi Aliyejaa mihemuko,uropokaji na jazba
 
Mandela alipitia mapito mengi kutoka kwa makaburu lakini baadae alikuja kuwa rais
 
Sasa TLS ndio Urais wa nchi? Huo si sawa tu na Urais wa Bao au masubwi? Juu yake si Kuna serikali? Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongoza , Huwezi ukampa mtu uongozi Aliyejaa mihemuko,uropokaji na jazba
Kama huyu wa sasa hivi kaweza, hata panya Road anaweza pia.

Endeleeni kukopa hela za vyoo tu, manake huko ndo mna ufanisi
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Hata wewe technically unaweza kuwa Rais kama unakidhi vigezo vya kikatiba. Ila uRais wa Tanzania siyo kitu cha kupania sana, Mungu akisema ndiyo kweli utapata.

Hakuna watu waliukaribia uRais kama Lowassa au Maalim Seif kwa Zenj, lakini mpaka leo Lowassa anausoma kwenye magazeti tu na Maalim amekufa akiungalia Ikulu kwa mbali.
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Akiwa Rais huyu buana.... watanzania wote watakuwa mashoga!
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Si kwa Tanzania hii ambayo raia hata matatizo yao hawayajui na hata wakiyajua unasikia tu wanalalamika mbona mbowe hajasema kitu mbona zitto kakaa kimya.
Ila mimi kama mimi Malema wa S.A na Tundu Lissu hawa ni watu wanaofaa kuendelea kuwa wakosoa serikali na kuinyoosha ila sio wao kuwa maraisi. Wakiwa maraisi itakuwa balaa kwa hulka yao
 
20220819_123731.jpg
 
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
Magufuli alikuwa na busara za uongozi?

Ni kiongozi gani anaeweza kuwambia wananchi wake kama jimbo halina mbunge wa ccm hapeleki maendeleo au ndio unaona kama nikiongozi bora huyo kwako.

Nikiongozi gani anaetukana wananchi wake?

Nikiongozi gani anaeona mauaji,utekaji, na kila aina ya ubaya unaofanywa asikemee na kuchukua hatua? Huyo nikiongozi bora kwako?


Magufuli hakuna alichokifanya labda wizi na kujifanya Mungu mtu. Mpka akakufuru ati akachaguliwe kuwa kiomgozi wa malaika. Laana ya Mungu iwe juu yake.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule,
Mkuu Luka, naunga mkono hoja, kuhusu yote uliyoeleza, sasa kama kulijitojeza mtu mwenye tabia kama hizo na akawa rais wa JMT, then why not Lissu?.

Ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
P
 
Back
Top Bottom