Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kama Magufuli aliweza kuwa Rais unadhani kuna Mtanzania atashindwa ?Sawa tu..apunguze tu mihemuko..
Utawala unahitaji utendaji zaidi..vitendi..kuliko maneno
Sawa kabisa mpeni kwanza mdude uenyekitiHivi kama Magufuli aliweza kuwa Rais unadhani kuna Mtanzania atashindwa ?
Kukashifu makundi mengine bila sababu za msingi ni unyumbu wenyewe. Mtu mwenye akili timamu hushambulia hoja na si watu.Rais wa manyumbu pale ufipani labda
Labda awe Rais wa CHANETA madada wenzakeNawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Na stress zilimfanya ashindwe kujiamini na kutokufuata COVID protocol akafa.Lisu akirudi kwa jinsi alivyokuwa na vibe, ni lazima CCM wapore tena uchaguzi, na matumizi makubwa tena ya vyombo vya dola yakae hadharani. Lisu ana nyota kali sana ya mvuto.
Zile kampeni za 2020 zilimuacha Magufuli na msongo wa mawazo, hakutegemea kama Lisu angeweza kupata uungwaji mkono wa kiwango kile. Na sababu hiyo ilibidi apore uchaguzi maana alijua matokeo halali yangemuacha na fedheha yeye na ccm yake.
Kichaa asiyekuwa na akiliHivi kama Magufuli aliweza kuwa Rais unadhani kuna Mtanzania atashindwa ?
Hilo kweli bwanaSawa tu..apunguze tu mihemuko..
Utawala unahitaji utendaji zaidi..vitendi..kuliko maneno
-hebu taja miongoni mwa kauli za Lissu za kuwagawa watanzaniaTundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
-Jenga hoja? kwani Lissu anacheza Netball hadi awe rais wa chanet? mbona na ww wa hovyoLabda awe Rais wa CHANETA madada wenzake