Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Huyu mwamba alipambana na mkuu wa majeshi huku yeye akiwa na mlinzi mwenye mkuki. Hapo tu inabidi umvulie kofia.

Kuhusu kushinda au kuwa Rais bora, kuna factors nyingi ambazo zinaweza kuwa nje ya uwezo wa Lissu kuzicontrol ila haina mashaka UZALENDO wake kwa nchi hii.

20220926_230416.jpg
 
Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo akubariki mtumishi wa Mungi na Mapenzi yake yatimizwe.

Mungu asiyeshindwa, Mungu mwenye enzi atuletee sisi wanawe wa israel katika Roho Mtumishi wake Tundu Lissu.

Na sote tuseme! AMINA
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
 
Mkuu samahani ,hivi alipokuwa rais wa TLS ulikuwa bado hujazaliwa ? Kama ulikuwepo utaweza nikumbusha alipitia figisu zipi kabla ya uchaguzi kufanyika wa TLS ?
Mimi nachokumbuka tu kwenye kumbu kumbu zangu na wewe unikumbushe kama nimesahau Tundu Lissu hajawahi kushindwa jambo.

Mungu yupo pamoja na huyu mtumishi wake
 
Huyu mwamba alipambana na mkuu wa majeshi huku yeye akiwa na mlinzi mwenye mkuki. Hapo tu inabidi umvulie kofia.

Kuhusu kushinda au kuwa Rais bora, kuna factors nyingi ambazo zinaweza kuwa nje ya uwezo wa Lissu kuzicontrol ila haina mashaka UZALENDO wake kwa nchi hii.

View attachment 2369257
🤣🤣🤣🤣kaka umenikumbusha hilo Dude jamaa katembea nalo Nchi nzima. Awali nilijua ni Bonge la Weapon
 
Huyu mwamba alipambana na mkuu wa majeshi huku yeye akiwa na mlinzi mwenye mkuki. Hapo tu inabidi umvulie kofia.

Kuhusu kushinda au kuwa Rais bora, kuna factors nyingi ambazo zinaweza kuwa nje ya uwezo wa Lissu kuzicontrol ila haina mashaka UZALENDO wake kwa nchi hii.

View attachment 2369257
Wakati anatembea na hili limkuki la nondo mwenzake alikuwa anatembea a Bombs and Nuclear Jammers😅😅
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
DCEA ongezeni Juhudi zenu katika kuhakikisha Matumizi ya Bangi, Mihadarati na Dawa za Kulevya yanapungua kwa Watumiaji wake wengi nchini Tanzania.
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Akija kua rahisi niite mbwa nimekaa pale
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Tundu is a Victor
320231350.jpg
 
Huyu mwamba alipambana na mkuu wa majeshi huku yeye akiwa na mlinzi mwenye mkuki. Hapo tu inabidi umvulie kofia.

Kuhusu kushinda au kuwa Rais bora, kuna factors nyingi ambazo zinaweza kuwa nje ya uwezo wa Lissu kuzicontrol ila haina mashaka UZALENDO wake kwa nchi hii.

View attachment 2369257
Swadakta !
 
Wapi kweny hivyo vitabu wamesema hivo?
Nitakupa referencw ndogo ndogo visa vifuatavyo.

Kitabu cha Samwel wakwanza na wa pili

Daudi akiwa kijana mdogo alikuwa mpinzani wa Utawala wa Mfaulme Saul.

Saul alijua ktk utawala wake kuna mtoto mtukutu na siku z usoni atakuja kuchukua kiti chake.

Daudi alikuwa kijana mkakamavu, asiye na woga hata mbele ya jeshi la Saul na Wafilisti.

Watu wengi walimshangaa sana Daud ule ujasiri kiasi cha kutokuogopa kufa.

Siku moja Saul akapanga njama za kumuua Daudi. Mtoto wake Saul aitwaje Jonathan akiqa ikulu akazinyaka zile taarifa za Intelijensia akamtonya Daud.
Jonathan alimweleza unapaswa kuondoka Nchini kwani Baba yangu ametangaza kukumaliza na vikosi viko tayari kwa kazi hiyo.

Kwa kuwa ilikuwa usiku akaanza safari akaenda kujificha porini. Jonathan akawa anampelekea chakula kwa kificho.

Hatimaye Daud akafanikiwa kuokoa uhai wake.

Na baadae akawa Mfalme wa Dola ya Israel.

Soma kisa cha Mfalme Yeroboam alivyoakimbilia Misri kujificha baada ya kutaka kuuliwa na Mfalme Suleiman baada ya Suleiman kutambua kuwa Yeroboam anakubalika kwenye tawala yake na anaweza kuchukua ufalme. Ukumbuke Yeroboam alikuwa mtumishi mwenye akili na maarifa mengi akiwa chini ya Suleiman. Suleiman hakufanikiwa hatimaye Unabii wa Abia ukatimia kuwa Yeroboam atakuwa mfalme.


Kisa cha Nabii Daniel kwenye ufalme wa Umedi na uajem wa Mfalme Dario(Darius) na Ashatasta baadae.
 
Back
Top Bottom