Siku hizi hasikiki kusema Makonda anahusika na tukio lake.
Alikuwa analia viongozi wa CCM hawakwenda kumuona Nairobi, Halima Mdee anauguliwa hata hajaenda kumuona mgonjwa. Unaweza kudhani ana misimamo, kumbe ni miksa roho ya kikatili.
Asante kwa taarifa, sijui umeinyakia wapi maana haijatokea Ufipa, ingeletwa na yule mtoa taarifa wao.Taarifa kwa wadau wote kesho asubuhi kwenye kipindi Cha Good morning Cha wasafi FM Kuanzia saa 11 asubuhi Hadi saa 2 asubuhi, atakuwa akihojiwa na kituo hicho. Tutarajie siasa za hoja, na sio za kujipendekeza kwa yoyote. Huenda akatoa ufafanuzi wa maridhiano, miswaada ya Sheria za uchaguzi, ruzuku ya 2.7b nk
Tunaomba frequency ya wasafi fmTaarifa kwa wadau wote kesho asubuhi kwenye kipindi Cha Good morning Cha wasafi FM Kuanzia saa 11 asubuhi Hadi saa 2 asubuhi, atakuwa akihojiwa na kituo hicho.
Tutarajie siasa za hoja, na sio za kujipendekeza kwa yoyote. Huenda akatoa ufafanuzi wa maridhiano, miswaada ya Sheria za uchaguzi, ruzuku ya 2.7b nk
Ushahidi huu hapaTaarifa kwa wadau wote kesho asubuhi kwenye kipindi Cha Good morning Cha wasafi FM Kuanzia saa 11 asubuhi Hadi saa 2 asubuhi, atakuwa akihojiwa na kituo hicho.
Tutarajie siasa za hoja, na sio za kujipendekeza kwa yoyote. Huenda akatoa ufafanuzi wa maridhiano, miswaada ya Sheria za uchaguzi, ruzuku ya 2.7b nk
Tunatarajia mitambo ya Wasafi fm haitahujumiwaAsante kwa taarifa, sijui umeinyakia wapi maana haijatokea Ufipa, ingeletwa na yule mtoa taarifa wao.
Hii sio ya kukosa, haswa ile segment ya msumari wa moto.
P
Japo Uko nje ya mada lakini hoja hii ukiitoa Tarime na Bulyankulu sidhani kama utaelewekaAliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.
Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu
Mkoa ganiTunaomba frequency ya wasafi fm
Wewe ni mwendawazimuAliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.
Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu
DahAsante kwa taarifa, sijui umeinyakia wapi maana haijatokea Ufipa, ingeletwa na yule mtoa taarifa wao.
Hii sio ya kukosa, haswa ile segment ya msumari wa moto.
P
Kaka Acha nyagi Ndugu yanguAsante kwa taarifa, sijui umeinyakia wapi maana haijatokea Ufipa, ingeletwa na yule mtoa taarifa wao.
Hii sio ya kukosa, haswa ile segment ya msumari wa moto.
P
Yaani niache kazi zangu mda huo nisikilize mtu analilia tumbo lake.
Hii comment ya kipuuzi naona unairudia kila mahaliAliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.
Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu
Lissu atoe msaada kwa watu waliosababishiwa umasikini na wapumbavu wa ccm.Aliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.
Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu
Ubongo uliojaa mataputapu hauwezi kumsikiliza na kumwelewa Lissu na hii ni athari ya kunywa chang'aa.Yaani niache kazi zangu mda huo nisikilize mtu analilia tumbo lake.