Ccm mnatabu kweli makoñda alipofika Kilimanjaro akasema anataka kwenda kulala Kwa Mbowe haya nawewe unataka ukalale Kwa Lissu?Aliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.
Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm mnatabu kweli makoñda alipofika Kilimanjaro akasema anataka kwenda kulala Kwa Mbowe haya nawewe unataka ukalale Kwa Lissu?Aliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.
Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu
Ahsante tutamfatiliaTaarifa kwa wadau wote kesho asubuhi kwenye kipindi Cha Good morning Cha wasafi FM Kuanzia saa 11 asubuhi Hadi saa 2 asubuhi, atakuwa akihojiwa na kituo hicho.
Tutarajie siasa za hoja, na sio za kujipendekeza kwa yoyote. Huenda akatoa ufafanuzi wa maridhiano, miswaada ya Sheria za uchaguzi, ruzuku ya 2.7b nk
Wewe bado mtoto kanyonye kwanza chipukizi MchichaAliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.
Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ccm mnatabu kweli makoñda alipofika Kilimanjaro akasema anataka kwenda kulala Kwa Mbowe haya nawewe unataka ukalale Kwa Lissu?
Ungemchunia tu.Anatumia dawa zake bado.Hii comment ya kipuuzi naona unairudia kila mahali
Tukuulize ulitaka asaidie nini na wewe umeshasaidia nini na video zako ziko wapi
Kupitia taaluma ya sheria unajua Lisu amesaidia wangapi mpaka sasa
Unajua umaarufu wake ulianzia wapi
Kuwa specific kwa ulitaka asidie nini
Eti kazi..unafikiri kuwa na kazi mchezoYaani niache kazi zangu mda huo nisikilize mtu analilia tumbo lake.
Mkuu huyu Mpumbavu ...akiona TANAPA inavuma hajuwi imepita wapiHii comment ya kipuuzi naona unairudia kila mahali
Tukuulize ulitaka asaidie nini na wewe umeshasaidia nini na video zako ziko wapi
Kupitia taaluma ya sheria unajua Lisu amesaidia wangapi mpaka sasa
Unajua umaarufu wake ulianzia wapi
Kuwa specific kwa ulitaka asidie nini
Itabidi waazime MITAMBOKwa Mara ya kwanza Wasafi inaenda kuzidiwa na wasikilizaji
KILA GOTI....LITAPIGWA
Kabisa yaaniItabidi waazime MITAMBO
Usiondoke JFMtatupa update wengine hatutaweza kuwa hewani.
Ahsante tutamfatilia
Wasafi Ndio kwa Akina Sam Sasali?🐼
Ok huyu Hando alikuwa pale kwa Cocoo Majizo, nimemkumbukaHapana, ni ya kina Hando aliyeshangaa Makonda kushangaa utekaji. TCRA lazima wasumbue kesho maana Lisu akiingia kwenye vyombo vya habari ni hatari kubwa kwa ccm. Na ccm hawako tayari tena cdm ipate nguvu iliyokuwa nayo mpaka 2015.
Lissu atoe msaada kwa watu waliosababishiwa umasikini na wapumbavu wa ccm.
Keshabeba zake posho za maandamano