Tundu Lissu atakuwepo kwenye good Morning ya Wasafi FM kesho asubuhi

Tundu Lissu atakuwepo kwenye good Morning ya Wasafi FM kesho asubuhi

Taarifa kwa wadau wote kesho asubuhi kwenye kipindi Cha Good morning Cha wasafi FM Kuanzia saa 11 asubuhi Hadi saa 2 asubuhi, atakuwa akihojiwa na kituo hicho.

Tutarajie siasa za hoja, na sio za kujipendekeza kwa yoyote. Huenda akatoa ufafanuzi wa maridhiano, miswaada ya Sheria za uchaguzi, ruzuku ya 2.7b nk
Alikuwepo kwenye jogging na akapuuzwa hana jipya!
 
Wastage of time.

Hakuna impact itakayotokana na mahojiano hayo.

Makonda Kule anawaambia 'my time is now'
 
Kaona fedha ya ruzuku inapigwa..kaamua kuja kuwahadaa na interview.
 
Aliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.

Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu


Hata Elimu na kujitoa kuwa tayari kufa kwa maslahi ya wa Tanzania ni sadaka, unafiki, umbea na uzandiki ndo umewajaa
 
Issue sasa hivi ni maandamano tu, hizi ndio siasa za kueleweka vizuri kwa watawala.

Siasa za kuulizwa na kujibu zina utamu wa big G.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Taarifa kwa wadau wote kesho asubuhi kwenye kipindi Cha Good morning Cha wasafi FM Kuanzia saa 11 asubuhi Hadi saa 2 asubuhi, atakuwa akihojiwa na kituo hicho.

Tutarajie siasa za hoja, na sio za kujipendekeza kwa yoyote. Huenda akatoa ufafanuzi wa maridhiano, miswaada ya Sheria za uchaguzi, ruzuku ya 2.7b nk
Nini kimetokea nimejaribu kupata access nimeshindwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa kwa wadau wote kesho asubuhi kwenye kipindi Cha Good morning Cha wasafi FM Kuanzia saa 11 asubuhi Hadi saa 2 asubuhi, atakuwa akihojiwa na kituo hicho.

Tutarajie siasa za hoja, na sio za kujipendekeza kwa yoyote. Huenda akatoa ufafanuzi wa maridhiano, miswaada ya Sheria za uchaguzi, ruzuku ya 2.7b nk
Bila kusahau mitusi, Kashfa na umimi
 
Taarifa kwa wadau wote kesho asubuhi kwenye kipindi Cha Good morning Cha wasafi FM Kuanzia saa 11 asubuhi Hadi saa 2 asubuhi, atakuwa akihojiwa na kituo hicho.

Tutarajie siasa za hoja, na sio za kujipendekeza kwa yoyote. Huenda akatoa ufafanuzi wa maridhiano, miswaada ya Sheria za uchaguzi, ruzuku ya 2.7b nk
Itapendeza aongelee zaidi suala la umeme, Maji na kupanda kwa bei za bidhaa za viwandani. Hali siyo nzuri.

Mambo ya Ruzuku na maridhiano yanajulikana kwa kila mtu kuwa CDM walitapeliwa tu CCM hakukuwa na nia ya maridhiano.
 
Back
Top Bottom