Yupo wasafi FM muda huu kuwauliza kwanini wamekataa ghafla interview yakeAmeingia mitini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo wasafi FM muda huu kuwauliza kwanini wamekataa ghafla interview yakeAmeingia mitini
yeye mwenyewe anahitaji msaada😂😂Aliyewahi kumuona Tundu Lisu akitoa msaada popote aweke video hapa.
Kuna watu hapa duniani wao ni kuombatu
Hahahaha Hando atoe majibu kwanini wamekata gafla interview yake ?😂😂😂😂😂😂Yupo wasafi FM muda huu kuwauliza kwanini wamekataa ghafla interview yake
Hapana, ni ya kina Hando aliyeshangaa Makonda kushangaa utekaji. TCRA lazima wasumbue kesho maana Lisu akiingia kwenye vyombo vya habari ni hatari kubwa kwa ccm. Na ccm hawako tayari tena cdm ipate nguvu iliyokuwa nayo mpaka 2015.
Yani kwa kifupi, Kavamia Wasafi!Yupo wasafi FM muda huu kuwauliza kwanini wamekataa ghafla interview yake
Ni kama uende kwenye nyumba ya ibada kisha ushangae shetani asipotajwa. Mbona juzi Kinana mkutano mzima ilikuwa ni kuishambulia cdm, huku muhalifu Makonda akilitaja jina la Mbowe Kila aendapo?
kwenye mahojiano asipomtaja Magufuli mniite domo zege.