Tundu Lissu atakuwepo kwenye good Morning ya Wasafi FM kesho asubuhi

Ahsante tutamfatilia

Wasafi Ndio kwa Akina Sam Sasali?🐼
 
Ungemchunia tu.Anatumia dawa zake bado.
 
Mkuu huyu Mpumbavu ...akiona TANAPA inavuma hajuwi imepita wapi


Merci mingi Lissu ...people and land
 
Hapana, ni ya kina Hando aliyeshangaa Makonda kushangaa utekaji. TCRA lazima wasumbue kesho maana Lisu akiingia kwenye vyombo vya habari ni hatari kubwa kwa ccm. Na ccm hawako tayari tena cdm ipate nguvu iliyokuwa nayo mpaka 2015.
Ok huyu Hando alikuwa pale kwa Cocoo Majizo, nimemkumbuka

Kesho nitamfuatilia kupitia Channel 444 StarTimes king'amuzi 😄
 
Kutoka kufanya maandamano na Mikutano ya hadhara hadi kufanya press conference uchwara redioni HUU NI UJINGA KABISA.Makonda ndo hàbari ya Mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…