Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.
Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil !
Mbona wewe ndo mbu*3?Kwahiyo umelala umeamka ukiamini kichwa kipo fresh, ukajiona umewaza bonge moja ya thread na hapo ndipo akili yako yote ilipoishia! Yaan kabisa unefikiriii ukaona hiki ndicho cha kuandika JamiiForums, aisee hii nchi ina vijana wa hovyo sana! 🚮
Unaungulia rohoni ukiwa wapi ndugu?Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.
Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Hiyo sms iliyo-screenedshot haina afya kwa Mhe. Rais wetu.
RubbishNi suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.
Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.
Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Umenena. Haya magroup ya wasapu yana mambo sana!! Aliye-screen shot ametusaidia sisi wananchi kujua yaliyo chini ya busati kwa mteule/wateule wa Mh. Rais wetu asiye na Makuu!!!Ni vizuri rais akawajua wamlao.
Wamlao wako nguoni mwake. Hao ndiyo chanzo cha matatizo yote hapa nchini.
Hawana sera wala agenda bali wamewekeza kwenye mifarakano.
Hawa ni wa kula nao sababu moja.
Sms hii moja tuliyoonyeshwa jamvini ipo hivi. Je, ambazo hatuna access nazo zinakuaje??? [emoji57][emoji57]Lazima atafutwe, anadhani rais ni shemeji yake.
Kwa mujibu wa background stories ni kuwa hii kesi ya kina Mbowe ilikuwa catalyzed na Marehemu mtesa wenzake, and wakati wake hakuwa akimuhusisha maza katika mambo mengi hasa yaliyokuwa yamejaa uvunjaji haki which man kunayo mambo ambayo hata mama hayakubali.Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Prophet of doom.Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.
Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Ndugu,huyu sio kijana,ni mtu mzima asiye na mke wala mtoto anayetegemea kuishi kwa utapeli wa "naunganisha na fremasoni".Kwahiyo umelala umeamka ukiamini kichwa kipo fresh, ukajiona umewaza bonge moja ya thread na hapo ndipo akili yako yote ilipoishia! Yaan kabisa unefikiriii ukaona hiki ndicho cha kuandika JamiiForums, aisee hii nchi ina vijana wa hovyo sana! 🚮
Ramli chonganishi japo haijulikani inatokea kambi gani
Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.
Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Mkuu hili si ndio lile ambalo mmemshambulia Zitto lakini. Imekuaje tena.LISSU AELEZA MAMBO SABA (7) ALIYOZUNGUMZA NA RAIS SAMIA
1. Ajenda ilikuwa "hali ya siasa ya nchi yetu." mazungumzo yamechukua takribasi saa moja, na mojawapo ya mambo niliyozungumza nae ni juu ya mwenendo wa kesi ya Mbowe.
🤣Isijulikane vipi kwani nani hajui?
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Uzi huo unawahusu mno hao kina Kijakazi
Wajiandae kisaikolojia - hatudanganyiki!
PumbaNi suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.
Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Usiwaamini wanasiasaNi suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.
Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.
Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!