Tundu Lissu atawashangaza wafuasi wake, hawataamini

Tundu Lissu atawashangaza wafuasi wake, hawataamini

Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.

Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.

Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!

Huu ndiyo uzuri wa platform hii ya JF...

Kila mtu ANA UHURU WA KUTOA MAWAZO yake bila kujali ni utumbo au nyama safi ya steki...

Ofcoz, haya ni mawazo yako. We respect them...
 
Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.

Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.

Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Chief, your wishes won't be granted.

Si vibaya kuishi katika nadharia ili uzidi kuishi katika matumaini. Natambua huielewi CDM kwa undani, wala kabisa huwezi kutambua "internal strengths" zake.

Aidha, huwezi kutambua "its opportunities as opposed to its threats" Huwezi kujua sababu zilizopelekea kutaniko la Rais SSH na Tundu Lissu huko "Bruxelles".
 
Achana nahiyo mi naswali lamsingi!! miaka ya zamani vijakazi walikuwa mali yamtu... waliliwa na mabosi mbayambovu!! Sikuhizi vp hamliwi?
Natanguliza shukran
 
Muda utasema, lkn kilichomfunga Mbowe pamoja na mengine ni Uwenyekiti wake na kwamba Mbowe pia alimlilia Magufuli hilo ni kosa lake pia kubwa, wakati wengine walishangilia!
Kwani mbowe kashafungwa mbona unakuwa na wazimu kama mwanamke aliepandwa na nyege?
 
Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.

Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.

Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Kweli ww ni Kijakazi .. pumba tupu!
 
Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.

Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.

Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Maccm bana akili hamnaga
 
Ni suala la muda tu na muda umekaribia, huwezi kuishi kwa Uongo maisha yote, uongo ni mzigo na mgumu sana kuutetea siku zote. Tundu Lisu na Samia ni wamoja kufungwa kwa Mbowe kuna mengi zaidi.

Jitayarisheni kisaikolojia, ni kama unaishi na Mtu unayemuamini maisha yote kama Mzazi au Mke halafu unakuja kugundua kwamba kumbe Mke wako siku zote amekuwa akikudanganya na yote ulioyaamini kumbe uongo na kwamba alikuwa anakutumia kama ngazi tu kwa self interest zake.

Tundu Lissu atawa shock, jiandaeni Mbowe kafungwa kwa mengi sana, kikulacho kinguoni mwenu, pure evil!
Ndio mana mbowe kashashtuka, Zitto alipoenda kumuona jela ni Mbowe mwenyewe alimuambia Zitto amuombee msamaha kwa Rais lakini Tundulisu akakataa msamaha akasema aendelee kubaki jela
 
Back
Top Bottom