Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Toka vyama vingi hakuna chaguzi CCM kamshinda Maalim kwa gap ya 70% eti 2020 ndio apate 25%, are we serious?
Funny enough hao hao wakitoa takwimu kuwa kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mnatoka povu
Uko ukiukwaji wa haki za bibadamu hapa Tanzania zaidi ya ule uliokidhiri ba kukubuhu wa polisi kuchinjwa hadharani mchana kweupe kama kuku. Come on giving me the break! Hee!