Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atua Katoro - Geita kwa kishindo

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atua Katoro - Geita kwa kishindo

Namuomba YEHODAYA ajitokeze tena na akane kuwa hayo si kweli aliyaandika humu Jamii Forums, namsingizia tu. Uzuri wa hii mitandao ni kwamba huwezi kufuta ulicho-post, unaweza kujidanganya umefuta lakini huko mawinguni maandishi yako yatabaki tu upende usipende. Si hivyo tu waliokuwa Jamii Forums wakati huo, wote walisoma yote aliyoyaandika huyo YEHODAYA
[/QOUTE\]


Yehodaya jukwaa la Siasa Kuna ugonjwa hua unamsumbua. ..fistula si fistula
Autism si autism...msamehe tu
 
Wakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Geita Mjini, leo Katoro muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza na kusikiliza sera za kuwakombia.

Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!

Video: Katoro Geita

View attachment 1578469


"Polepole" ataelewa polepole tu.🤣
 
Mimi swali langu la msingi ni hili:-

• Wapinzani watahakikishaje kuwa kuna Tume huru ya uchaguzi?

Utamzuiaje CCM kuiba kura?
Wanaoiba si CCM kama chama, ni viongozi wanaofahamika kwa majina na sura. Kila mhusika atawajibika kama yeye na hujuma aliofanya kuharibu uchaguzi. Kama ni msimamizi, kama ni polisi, kama mwana CCM...wote watawajibika kama wao na si vyombo wanavyoviwakilisha.
 
A dreamer be the one  A winner be the one  A fighter be the one.jpg
 
Wakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Geita Mjini, leo Katoro muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza na kusikiliza sera za kuwakombia.

Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!

Video: Katoro Geita

View attachment 1578469
 
Hizi ndo nyomi halali No wanafunzi no malori no wasanii
ccm wameumia sana na hili nyomi hawakutegemea
 
Kama upinzani wakitaka mwamko wa maandamano nchi nzima, hapo katoro ndio sehemu ya kuanzia mji mdogo lakini unaamsha sana... Mji uliojaa matukio ya kila namna.
===
Hawa watu sio waongeaji sana japo wanavitendo hatari nakumbuka miaka ya nyuma walishawahi kubomoa kituo cha polisi.. Yaani wanaume wanabomoa na kuchoma magari yale yanayokamatagwa na askari wakati huo askari wanarusha mabomu ya machozi, cha ajabu wanawake walikuwa wanawaletea wanaume maji ya kunawa ili waendelee na uharibifu..chanzo cha vurugu hizi ni kwamba polisi wamemshikilia mama mmoja aliyekuwa anadaiwa mchawi.
=
=
.
Tukumbuke miaka ya nyuma sakata la waislamu na wakirsto kuchinjana kisa walalamikiana suala la kuchinja mifugo machinjioni lilianzia hapo.
Waislamu walichoma bible na wakristo walichoma Quran hadharani.. Tukio lilipelekea mchungaji kuchinjwa na waislamu huku wakristo wakimalizia hasira zao kwa kubomoa maduka ya waislamu.
.
Hapo ni mpakani mwa wilaya ya chato na geita vijijini hapo nyuma ikiwa mpakani mwa kagera na mwanza..
.
Kiufupi katoro ni mji wa kuogopa sana tena sana tu.
.
Way back kwa Mara ya kwanza nilihudhuria mkutano wa chadema 2009 uchaguzi wa marudio Hapo katoro jimboni busanda. ndio Mara ya kwanza nilimuona Tundu Lissu alikuwa kavaa t.shirt ya chadema na kofia zile za miti huku kashika tablet Mkononi.Nakumbuka Finiasi magesa mgombea wa Chadema alishinda lakini akamuuzia ubunge bi Lolensia bukwimba wa CCM.
=
.
Siku moja nitarudi huko.
Msalimie lissu mleta mada mwambie finiasi magesa alitulaza nje kisa kufuatilia matokeo yake.
..
Hongera katoro hongera Lissu.
Asilimia 99 ya uliyopost hapa ni vurugu tu,

Chadema Wana alergy ya amani,
 
Wakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Geita Mjini, leo Katoro muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza na kusikiliza sera za kuwakombia.

Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!

Video: Katoro Geita

View attachment 1578469
Mbona amekimbia chato?
 
Aisee kura zitapigwa then zitahesabiwa. Pale kwenye majumuisho ndio huwa wanaingiza za kwao. Sisi tutakuwa nazo za kwetu. Aisee tukishinda watatutangaza tu. Wapende wasipende.
Tusubiri tuone, si mara moja katika chaguzi kumekuwa na malalamiko makubwa ya kuibiwa kura au kutokuwepo kwa usimamizi wa haki.
 
That was fake news acheni kujidanganya, ukweli upo field mzee. Nadhani unaweza ona nguvu aliyonayo ingawa huwezi kiri mdomoni.
Iringa leo vipi? Mshauri ni Lissu uchaguzi ndio umeshaisha hivyo. Ajiandale kurudi kumliwaza yuke senator wa UsA rais wa jumuiya ya machoko duniani.
 
EU ya Lumumba chini ya pole pole

Hapana ya mabalozi wa nchi 15 za UE. Hapo sijamtaja wa Italy na Northern Ireland, kumbuka hilo, ndio ni muhimu, Lissu are you aware of this?!!! Umelikoroga usipo linywa utakoga tu, that much I'm sure of it.
 
Iringa leo vipi? Mshauri ni Lissu uchaguzi ndio umeshaisha hivyo. Ajiandale kurudi kumliwaza yuke senator wa UsA rais wa jumuiya ya machoko duniani.
CCM miaka yote mnajazaga viwanja Iringa tokea 2010 ila mmeambulia nini huko? Hapo tunajua mmejaza watu from all corners na wengi wanakuja kuangalia wasanii na promo huwa kubwa kwa hilo nawapongeza but wachache huja kusikiliza sera.

Ila imagine Lissu alitua hapo no Mbowe no Mdee no one else ila yeye tu na kina Bananga afu kajaza nyomi kila kituo mkoani hapo ssa jiulize angekua na timu ya promo pana ikiwa na hamasa ya wasanii kma Kiba na Mondi upepo ungekuwaje?

Kabla hujapima ukubwa wa mkutano linganisha investment ya CCM na Lissu kwenye kampeni. Then piga hesabu nani ka break even kuliko mwenzie?
 
Sikutegemea kama Lissu atapata hilo nyomi Geita nyumbani kabisa😁😁!Lissu atawatoa roho kampeni hizi!

Hivyo hivyo usifanye makosa tena kutotegemea kuwa Lissu atapata kura chini ya 5% hapo 28 okt 2020. Mwambieni ukweli Lissu ajiandae kisokologia. Na washauri yule rais seneta kule marikani aje angalau hapo jirani Kenya siku ile ya matokeo kutangazwa, itasaidia kupunguza majanga huko cdm.
 
Hapana ya mabalozi wa nchi 15 za UE. Hapo sijamtaja wa Italy na Northern Ireland, kumbuka hilo, ndio ni muhimu, Lissu are you aware of this?!!! Umelikoroga usipo linywa utakoga tu, that much I'm sure of it.
Toka vyama vingi hakuna chaguzi CCM kamshinda Maalim kwa gap ya 70% eti 2020 ndio apate 25%, are we serious?

Funny enough hao hao wakitoa takwimu kuwa kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mnatoka povu
 
CCM miaka yote mnajazaga viwanja Iringa tokea 2010 ila mmeambulia nini huko? Hapo tunajua mmejaza watu from all corners na wengi wanakuja kuangalia wasanii na promo huwa kubwa kwa hilo nawapongeza but wachache huja kusikiliza sera.

Ila imagine Lissu alitua hapo no Mbowe no Mdee no one else ila yeye tu na kina Bananga afu kajaza nyomi kila kituo mkoani hapo ssa jiulize angekua na timu ya promo pana ikiwa na hamasa ya wasanii kma Kiba na Mondi upepo ungekuwaje?

Kabla hujapima ukubwa wa mkutano linganisha investment ya CCM na Lissu kwenye kampeni. Then piga hesabu nani ka break even kuliko mwenzie?

Si safari hii mkuu wangu, si safari hii na rudia. Lissu nyomi yake ni ya tuwanja twa mtaani tu open spaces. Hapo Iringa walio nje na njiani kuekejea sehemu ya tukio ni mara 2 ya walio ndani ya uwanja. Hapo unapata ujumbe gani bwashee?
 
Hivyo hivyo usifanye makosa tena kutotegemea kuwa Lissu atapata kura chini ya 5% hapo 28 okt 2020. Mwambieni ukweli Lissu ajiandae kisokologia. Na washauri yule rais seneta kule marikani aje angalau hapo jirani Kenya siku ile ya matokeo kutangazwa, itasaidia kupunguza majanga huko cdm.
Kura yangu asubuhi na mapema kabisa kwa Lissu!Ukiteseka ni juu yako!
 
Kama upinzani wakitaka mwamko wa maandamano nchi nzima, hapo katoro ndio sehemu ya kuanzia mji mdogo lakini unaamsha sana... Mji uliojaa matukio ya kila namna.
===
Hawa watu sio waongeaji sana japo wanavitendo hatari nakumbuka miaka ya nyuma walishawahi kubomoa kituo cha polisi.. Yaani wanaume wanabomoa na kuchoma magari yale yanayokamatagwa na askari wakati huo askari wanarusha mabomu ya machozi, cha ajabu wanawake walikuwa wanawaletea wanaume maji ya kunawa ili waendelee na uharibifu..chanzo cha vurugu hizi ni kwamba polisi wamemshikilia mama mmoja aliyekuwa anadaiwa mchawi.
=
=
.
Tukumbuke miaka ya nyuma sakata la waislamu na wakirsto kuchinjana kisa walalamikiana suala la kuchinja mifugo machinjioni lilianzia hapo.
Waislamu walichoma bible na wakristo walichoma Quran hadharani.. Tukio lilipelekea mchungaji kuchinjwa na waislamu huku wakristo wakimalizia hasira zao kwa kubomoa maduka ya waislamu.
.
Hapo ni mpakani mwa wilaya ya chato na geita vijijini hapo nyuma ikiwa mpakani mwa kagera na mwanza..
.
Kiufupi katoro ni mji wa kuogopa sana tena sana tu.
.
Way back kwa Mara ya kwanza nilihudhuria mkutano wa chadema 2009 uchaguzi wa marudio Hapo katoro jimboni busanda. ndio Mara ya kwanza nilimuona Tundu Lissu alikuwa kavaa t.shirt ya chadema na kofia zile za miti huku kashika tablet Mkononi.Nakumbuka Finiasi magesa mgombea wa Chadema alishinda lakini akamuuzia ubunge bi Lolensia bukwimba wa CCM.
=
.
Siku moja nitarudi huko.
Msalimie lissu mleta mada mwambie finiasi magesa alitulaza nje kisa kufuatilia matokeo yake.
..
Hongera katoro hongera Lissu.
karibu katoro mkuu
 
Back
Top Bottom