Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Akiki za maccm wanazijua wenyewe!!Jamaa anasema hizo nyomi ni za 2015.
Kweli chama dora akili hazimo kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiki za maccm wanazijua wenyewe!!Jamaa anasema hizo nyomi ni za 2015.
Kweli chama dora akili hazimo kabisa.
Namuomba YEHODAYA ajitokeze tena na akane kuwa hayo si kweli aliyaandika humu Jamii Forums, namsingizia tu. Uzuri wa hii mitandao ni kwamba huwezi kufuta ulicho-post, unaweza kujidanganya umefuta lakini huko mawinguni maandishi yako yatabaki tu upende usipende. Si hivyo tu waliokuwa Jamii Forums wakati huo, wote walisoma yote aliyoyaandika huyo YEHODAYAAisee kumbe ni Yeye. Wasiojilikana kumbe wanajuliakana
At least Anaadmit nyomi linazidi Kila kukicha..... Sasa ni kazi ya wapambe kumueleza ukweli.Jamaa anasema hizo nyomi ni za 2015.
Kweli chama dora akili hazimo kabisa.
Zuio la mikutano 5 yrs vipi Ni asset au liability kwenuPicha zenu za gizani za 2015 mnazochakachua sasa tumeshazizoea
Na sauti same edit?,Picha zenu za gizani za 2015 mnazochakachua sasa tumeshazizoea
Wala rambirambi na kuzulumu wakulima korosho zao mwisho OctoberPicha zenu za gizani za 2015 mnazochakachua sasa tumeshazizoea
Labda Rais wa kwako na mama yako, nani amruhusu mtu anayefunuliwa mtaro aingie Ikulu.
Ndio hilo nyomi linamuunga mkono!Lia au upasuke kabisa,iko hivyo!Endeleeni kumdanganya Lussu. EU wenye akili wamesha kubali ya ishe. Lissu is a losing horse and curse to this nation "Tanzania" Someone needs to be out of his/her mind to support him.
Ni hapa hapa alipouliwa comrade Alfonse Mawazo kwa sbb ya misimamo yake. R.I.P ndugu yetu. Mkuu wa kaya anaihofia sana hii sehemu hata juzi alihutubia akiwa kwenye gari tena barabarani. Kiufupi Katoro ni Benghazi ya TzKama upinzani wakitaka mwamko wa maandamano nchi nzima, hapo katoro ndio sehemu ya kuanzia mji mdogo lakini unaamsha sana... Mji uliojaa matukio ya kila namna.
===
Hawa watu sio waongeaji sana japo wanavitendo hatari nakumbuka miaka ya nyuma walishawahi kubomoa kituo cha polisi.. Yaani wanaume wanabomoa na kuchoma magari yale yanayokamatagwa na askari wakati huo askari wanarusha mabomu ya machozi, cha ajabu wanawake walikuwa wanawaletea wanaume maji ya kunawa ili waendelee na uharibifu..chanzo cha vurugu hizi ni kwamba polisi wamemshikilia mama mmoja aliyekuwa anadaiwa mchawi.
=
=
.
Tukumbuke miaka ya nyuma sakata la waislamu na wakirsto kuchinjana kisa walalamikiana suala la kuchinja mifugo machinjioni lilianzia hapo.
Waislamu walichoma bible na wakristo walichoma Quran hadharani.. Tukio lilipelekea mchungaji kuchinjwa na waislamu huku wakristo wakimalizia hasira zao kwa kubomoa maduka ya waislamu.
.
Hapo ni mpakani mwa wilaya ya chato na geita vijijini hapo nyuma ikiwa mpakani mwa kagera na mwanza..
.
Kiufupi katoro ni mji wa kuogopa sana tena sana tu.
.
Way back kwa Mara ya kwanza nilihudhuria mkutano wa chadema 2009 uchaguzi wa marudio Hapo katoro jimboni busanda. ndio Mara ya kwanza nilimuona Tundu Lissu alikuwa kavaa t.shirt ya chadema na kofia zile za miti huku kashika tablet Mkononi.Nakumbuka Finiasi magesa mgombea wa Chadema alishinda lakini akamuuzia ubunge bi Lolensia bukwimba wa CCM.
=
.
Siku moja nitarudi huko.
Msalimie lissu mleta mada mwambie finiasi magesa alitulaza nje kisa kufuatilia matokeo yake.
..
Hongera katoro hongera Lissu.
Sikutegemea kama Lissu atapata hilo nyomi Geita nyumbani kabisa😁😁!Lissu atawatoa roho kampeni hizi!Huwezi kulinganisha mikutano ya mpayujaji Lissu na ya Rais JPM, wala Makamu Samia, wala PM Majaliwa, huu ndio ukweli mchungu kwa cdm na wale mnaomchukia JPM na Serikali yake.
Magu alijua miaka mitano haitaisha?Zuio la mikutano 5 yrs vipi Ni asset au liability kwenu
Thus alikuwa bize kupambana na Mbowe badala ya shida za watz Hadi Hana Cha kuwaambia watzMagu alijua miaka mitano haitaisha?
Haki ya kukutana ni haki ya kikatiba,mliinajisi katiba kwa kuzuia vyama vya siasa kutotekeleza haki yao ya msingi!Hilo sio suala la kujivunia badala yake mnatakiwa mumkee mvunjaji wa katiba!Baada ya uchaguzi 28/10/2020 wembe ni ule ule hakuna nafasi ya ule upuuzi wa kuendeleza mikutano ya hadhara ya kisiasa isiyo na tija yeyote. Kaa ukijua hilo.
Lissu aliwahadaa akina nani,Lini na wapi?Mungu kaokoa maisha ya Lissu kuonesha ukuu wake!Hila za binadamu zimegonga mwamba na Lissu yupo imara na mwenye furaha!Mungu kamfundisha Lissu kuona kionjo cha madhila ya wale aliokuwa anawashawishi kupambana na vyombo vya dola na wakadhurika na kupoteza maisha. Msmidanganye Lissu mwambine ukweli ili apone. Ziko damu bado zinamlilia za wale alio wahadaa tena bado hazija nyamaza, ukweli mchungu huu.
Hii haijawahi kutokeaSikutegemea kama Lissu atapata hilo nyomi Geita nyumbani kabisa😁😁!Lissu atawatoa roho kampeni hizi!
Lissu The GreatestWakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Geita Mjini, leo Katoro muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza na kusikiliza sera za kuwakombia.
Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!
Video: Katoro Geita
View attachment 1578469
View attachment 1578469
View attachment 1578537View attachment 1578539View attachment 1578540View attachment 1578541View attachment 1578542View attachment 1578543View attachment 1578544
Duh kweli sasa sifa CDM, nawaza sijui mkuu anafikiria nini kuvamiwa hivi uvunguni mwake.Chadema hii sasa sifa! Khaaa!!!
Hehehe roho mbaya yake imemponza na Mbowe bado anadunda.Thus alikuwa bize kupambana na Mbowe badala ya shida za watz Hadi Hana Cha kuwaambia watz
Mbwa baba ako mama ako na mmeo ku.ma wewe.Eti huyu Mbwa ndiyo awe Rais big no kwa namna yoyote ile hawezi kuingia Ikulu.View attachment 1578601
Man of historyLissu The Greatest