Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atua Katoro - Geita kwa kishindo

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atua Katoro - Geita kwa kishindo

Aisee kumbe ni Yeye. Wasiojilikana kumbe wanajuliakana
Namuomba YEHODAYA ajitokeze tena na akane kuwa hayo si kweli aliyaandika humu Jamii Forums, namsingizia tu. Uzuri wa hii mitandao ni kwamba huwezi kufuta ulicho-post, unaweza kujidanganya umefuta lakini huko mawinguni maandishi yako yatabaki tu upende usipende. Si hivyo tu waliokuwa Jamii Forums wakati huo, wote walisoma yote aliyoyaandika huyo YEHODAYA
 
Endeleeni kumdanganya Lussu. EU wenye akili wamesha kubali ya ishe. Lissu is a losing horse and curse to this nation "Tanzania" Someone needs to be out of his/her mind to support him.
Ndio hilo nyomi linamuunga mkono!Lia au upasuke kabisa,iko hivyo!
 
Kama upinzani wakitaka mwamko wa maandamano nchi nzima, hapo katoro ndio sehemu ya kuanzia mji mdogo lakini unaamsha sana... Mji uliojaa matukio ya kila namna.
===
Hawa watu sio waongeaji sana japo wanavitendo hatari nakumbuka miaka ya nyuma walishawahi kubomoa kituo cha polisi.. Yaani wanaume wanabomoa na kuchoma magari yale yanayokamatagwa na askari wakati huo askari wanarusha mabomu ya machozi, cha ajabu wanawake walikuwa wanawaletea wanaume maji ya kunawa ili waendelee na uharibifu..chanzo cha vurugu hizi ni kwamba polisi wamemshikilia mama mmoja aliyekuwa anadaiwa mchawi.
=
=
.
Tukumbuke miaka ya nyuma sakata la waislamu na wakirsto kuchinjana kisa walalamikiana suala la kuchinja mifugo machinjioni lilianzia hapo.
Waislamu walichoma bible na wakristo walichoma Quran hadharani.. Tukio lilipelekea mchungaji kuchinjwa na waislamu huku wakristo wakimalizia hasira zao kwa kubomoa maduka ya waislamu.
.
Hapo ni mpakani mwa wilaya ya chato na geita vijijini hapo nyuma ikiwa mpakani mwa kagera na mwanza..
.
Kiufupi katoro ni mji wa kuogopa sana tena sana tu.
.
Way back kwa Mara ya kwanza nilihudhuria mkutano wa chadema 2009 uchaguzi wa marudio Hapo katoro jimboni busanda. ndio Mara ya kwanza nilimuona Tundu Lissu alikuwa kavaa t.shirt ya chadema na kofia zile za miti huku kashika tablet Mkononi.Nakumbuka Finiasi magesa mgombea wa Chadema alishinda lakini akamuuzia ubunge bi Lolensia bukwimba wa CCM.
=
.
Siku moja nitarudi huko.
Msalimie lissu mleta mada mwambie finiasi magesa alitulaza nje kisa kufuatilia matokeo yake.
..
Hongera katoro hongera Lissu.
Ni hapa hapa alipouliwa comrade Alfonse Mawazo kwa sbb ya misimamo yake. R.I.P ndugu yetu. Mkuu wa kaya anaihofia sana hii sehemu hata juzi alihutubia akiwa kwenye gari tena barabarani. Kiufupi Katoro ni Benghazi ya Tz
 
Baada ya uchaguzi 28/10/2020 wembe ni ule ule hakuna nafasi ya ule upuuzi wa kuendeleza mikutano ya hadhara ya kisiasa isiyo na tija yeyote. Kaa ukijua hilo.
Haki ya kukutana ni haki ya kikatiba,mliinajisi katiba kwa kuzuia vyama vya siasa kutotekeleza haki yao ya msingi!Hilo sio suala la kujivunia badala yake mnatakiwa mumkee mvunjaji wa katiba!
Pamoja na kufanya siasa wenyewe miaka 5,bado watu wanaunga mkono upinzani!Hilo hamkutegemea kwani mlitegemea upinzani mmeufuta!
 
Mungu kamfundisha Lissu kuona kionjo cha madhila ya wale aliokuwa anawashawishi kupambana na vyombo vya dola na wakadhurika na kupoteza maisha. Msmidanganye Lissu mwambine ukweli ili apone. Ziko damu bado zinamlilia za wale alio wahadaa tena bado hazija nyamaza, ukweli mchungu huu.
Lissu aliwahadaa akina nani,Lini na wapi?Mungu kaokoa maisha ya Lissu kuonesha ukuu wake!Hila za binadamu zimegonga mwamba na Lissu yupo imara na mwenye furaha!
Hilo kwa sisi tunaounga mkono upinzani linatutosha na mioyo yetu ni mieupe kabisaa!
 
Wakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Geita Mjini, leo Katoro muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza na kusikiliza sera za kuwakombia.

Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!

Video: Katoro Geita

View attachment 1578469
Lissu The Greatest
 
Back
Top Bottom