Ili iweje ,soma historia ,viongozi wapigania uhuru waliishi katika kuongoza vuguvugu hizo kwa miaka mingapi.
Lisu ni mmojawapo anepigania UHURU wa nchi hii kutoka kwa mkoloni mweusi anaetuhenyesha tokea waunganishe vyama. nani hakuwa TANU au ASP ? Kama si wewe basi babako nae kama sie basi mamako nae kama sie basi Raisi wako.
Tena nawasihi sana vyama vya Upinzani msijaribu kubadilibadili Wenyeviti wa Vyama hilo ni kosa kubwa sana,hadi pale mmefika kwenye lengo lenu,hapo mnaweza kufanya mabadiliko na kuwapisha vijana,wengine mtakuwa WaZee wa Chama.