Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Rasmi ya pili ya katiba mpya ambayo ingetupa katiba mpya ambayo ndo ingekuwa baba na mama wa maendeleo ya nchi yetu Ila pHD anaona ndege ni muhimu kuliko mifumo thabiti ya nchi.Sema Kikwete alifanya nini? na Aliacha kitu gani ambacho kinapashwa kuendelezwa na kinazuia deployment ya new development ideologies? Please be specific.