akipumzika Rais wetu Magufuli mnafurika humu kutunga uongoView attachment 1587510
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .
Wachawi hawaruhusiwi
Uswahilini sana kwake tatizoJumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Ameitwa na Mambosasa!View attachment 1587510
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .
Ameitwa na Mambosasa!
Anazeeka vibayaSirro anaogopa Haki, Uhuru na Maendeleo ya watu
Atakwisha nani?
Boss mpya mjini mkuuDah, Lissu kweli ni kichwa ngumu aisee...yaani ametakiwa na AiJiiPii kuripoti kituo cha Polisi mkoani Kilimanjaro na kachimbwa biti zito. Halafu yeye Lissu anatia zake timu kwake Dar es Salaam [emoji23]
Huu mtanange wa mwaka huu ni mtamu usipime...upele umempata mkunaji.
Hiyo ni timu yake ya kampeni ?View attachment 1587510
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .
Mlisema JK sio mkali, kaingia JPM mnalialia kama vitoto vidogo. Na wewe Bagamoyo acha hizo unafahamu ukweli kwa nini hauwezi kuusimamia? Au kwa sababu miradi ya Kivukoni imeota mbawa?
Kishakata pumzi hananuwezo wakushindana na mzee baba JPMView attachment 1587510
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .
Hii mimaandishi yako inaudhi sna.Taifa la wajinga wa Saccos.
Jumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Chama Changu Cha Mapinduzi hawaamini kinachotokea. Upepo sio mzuri, dalili ni mbaya kabisa. Haikutarajiwa hata kidogo
Ndio ukome.Hii mimaandishi yako inaudhi sna.