Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Wenye haki ya kuweka pingamizi ngazi ya Urais na Makamu ni hawa wadau watatu yaani Mkurugenzi wa Uchaguzi, Msajili wa Vyama Vya Siasa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Mp fcUnaongozwa na hisia zaidi, ndio maana unajenga hoja za kutetea uovu kwa kisingizio kuwa hata wengine wangefanya kama ww. Udhaifu wako usihamishie kwa wengine.
Kwa Lisu suluhu ya Jambo lolote ni vurugu tu.
Kama ile ya Marekani au?!Na tutahakikisha CCM hairudi madarakani kwa nguvu ya umma.
Kwa boksi la kura imetosha.Kama ile ya Marekani au?!
Huyu jamaa ni tatizo, siyo muungwana kabisa. Anahamsisha vurugu
===========
Tundu Lissu amewataka wanachama wasishangilie sana kwani wanatarajia mapingamizi hivyo wasubiri kesho mpaka saa kumi kuona hali itavyokuwa.
Tundu Lissu: Sio wao peke yako wanaojua kuandika mapingamizi na sisi tunajua hivyo usiku huu nitaangalia kitu gani tunacho ambacho tunaweza tukafanya ambacho sheria za uchaguzi zinaturuhusu, na sisi tunaweza tukaweka mapingamizi.
Kama kuna mtu anafikiria sisi tutakuwa wajibu mashtaka tu, wafikirie mara mbili. Mwisho nawaombeni, kesho ni siku muhimu kuliko leo. Kwa sisi tusiokuwa na serikali, mapolisi, tusiokuwa na watu wa kutulinda, tunahitaji nguvu ya umma, tunahitaji wingi wenu.
Nawaombeni sana mhamasishane mji huu na miji ya jirani na yeyote anayeweza kuwa Dodoma awe Dodoma ili kesho tuwe wengi zaidi tuone mpaka kufikia saa kumi jioni itakuwaje.
Mkuu Trump anauchaguzi tarehe 3 November 2020 hivi nae anatumia government machinery kujinufaisha yeye binafsi na chama chake? Mkuu usidhani sisi wote ni utopolo Kama ninyi na Magu wenu,pleaseHata ingelikuwa mpinzani ndiye mwenye dola still tangelikuwa haya haya tu.
Uniteue kuwa judge kisha nije nikujudge vibaya, probability ni 0.0008
Huyo ana mawazo mengi sana kwa sasa maana hajui nini kinamtokea,Tuna viongozi wengi waliogombea wamenyimwa fomu za uteuzi kwa hila za ccm. Please @tundulisu hili ni suala la kuanza nalo haraka iwezekanavyo nchi nzima!!