Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Kanywe maji glass moja utulize hasira
hakuna mtu anabambikiwa kesi nyie wahuni lazima mkae ndani tuu hivi kama huyo kiongozi wenu anafanya uhuni hazarani huku anakesi kwanini asinyimwe zamana uhuni tu huo

In God we trust
 
Wachana na nguvu ya umma

In God we trust
Mfano scenario niliosema ikawa kweli mara CDM nao wanapitisha harambee watu wanachanga hela zinanunua magari kama hayo sita itakua hatari sana
 
HII scania ni original kwa kweli! Humo ndani Huenda fuluuu Wi-Fi. Tutakimbizwa hapa na Maoist ya hatareee. Machadema yatatamba Sana. yataisukuma hiii hadi noma Mikoani kote. Nawaza itakavyoenda Mikoani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Miji shughuli zitasimama kushangilia bado hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii picha nimejiridhisha kuwa ni PHOTOSHOP, kama kuna mtu anabisha mwambie aliyeileta aweke picha nyingine. Hivi watanzania waishio Belgium wachange kununua Basi jipya la Scania?,mnajua bei yake?,mnajua ubahili wa wabongo wanaokaa ulaya jinsi ilivyo washape kutochangia ovyo vitu vya kijinga?, CDM ipewe basi zuri hivi kwa mgongo wa Lissu usimuone Lissu kwenye picha?,mmezidi mahaba ndo maana mlidanganya eti Lissu atahutubia bunge la marekani.Itafika mahali habari yoyote ya Lissu itakuwa haiaminiki mpaka ailete mwenyewe.
 
Acha kucheza na Photoshop mara moja.

View attachment 1043894
Hahahahahah aliyesema BAVICHA NI nyumb*******Hakika aliona mbali sana.Ukisoma comment zao huko juu hupati shida kujua hawa watu wana shida vichwani.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Hii ni PHOTOSHOP zoom hayo maandishi ndo utaona maandishi yanavyopishana na Scale ya size ya vioo vya madirisha halafu yamebandikwa.Zoom vizuri na LOGO ya CHADEMA ndo utaelewa vizuri.Sielewi wanadanganya kwa faida gani.
 
Ccm wamezoea kusombwa na canter, fuso, mbaula, jeifongo, trekta + jero jero Sasa ndinga kama hii wivu na jasho hadi mfereji wa Suez vinawahusu
 
Nijuavyo mabasi haya yatakuwa mengi, kila mkoa na lake plus makao makuu,maana karibu kila Mtanzania mpenda demokrasia atachangia wa ndani na nje. Hawa Mafioso lazima wakione Cha moto
 
Yaani wanajitekenya halafu wanacheka wenyewe, duh.
 
Si walisema ataenda kuonana na Papa hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…