Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kama hutaki kufaHii picha nimejiridhisha kuwa ni PHOTOSHOP, kama kuna mtu anabisha mwambie aliyeileta aweke picha nyingine. Hivi watanzania waishio Belgium wachange kununua Basi jipya la Scania?,mnajua bei yake?,mnajua ubahili wa wabongo wanaokaa ulaya jinsi ilivyo washape kutochangia ovyo vitu vya kijinga?, CDM ipewe basi zuri hivi kwa mgongo wa Lissu usimuone Lissu kwenye picha?,mmezidi mahaba ndo maana mlidanganya eti Lissu atahutubia bunge la marekani.Itafika mahali habari yoyote ya Lissu itakuwa haiaminiki mpaka ailete mwenyewe.
Litapigwa kiberiti Kama.bilcanas ilivyobomolewaHalitaruhusiwa pale bandari hahahaaha
Una uhakika Paskali na hii habari? Ww ni verified Ni bora ujiridhishe. Na hata kama ni kweli, basi alilopewa Lissu kwa aina ya siasa za Magufuli litaruhusiwa kuingia hapa nchini?
Asavali hakutumiwa pesa za matibabu na ufisi ya Bunge, ambazo ni fedha za serikali, maana hawachelewi kusema ndizo zimenunulia hilo basi.
Sijui kama walionunua hilo basi, waliwauliza Chadema serious na critical demands zao ni nini, wakaambiwa ni basi, then wakapewa basi, au watoa zawadi walijiamulia tuu kujitolea zawadi, wakachagua kujitolea basi.
Kuelekea 2020, Chadema inahitaji sana misaada ya hali na mali ili iweze.
P
Hao ni watu binafsi sio chama, muwe mnaelewa vitu rahisiCCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Akili zao Zimejaa Vumbi KakaUtafanya BAWACHA muwe mnadharaulika...huoni kua hiyo picha ni Photoshoot??
Au ndo unajitekenya afu unacheka mwenyewe??
Usiseme bus sema mabus.Jamaa atamuua mzee kwa presha.Bado ngoma ya ICC siielewi itakuwaje.Unaweza shangaa rais wa nchi anakuhukumiwa hukumu hatari na wote mkabaki midomo wazi.Ile mahakama ya ICC majaji wake hawasomeki kabisa.Wanaweza kukukondesha kwa masaa machache tu.Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Watapak Photoshop?Hongereni
Limeshafika au hewa liko mitandaoni? Hivi likifika mtapaki wapi ofisi ya CCM kinondoni au wapi.Maana pale makao makuu ya chadema hamna sehemu hata ya kupaki baiskeli.CCM kinondoni Nawaomba muwaruhusu chadema walipaki hapo kwenu kule kwao hakuna nafasi.Asije Mbowe akasema likapaki kwake akaligeuza dalaldala.
We unajiona una AKILI?Wenye akili wote wamedoubt hiyo picha ila wapuuzi wote wamekata mauono mushangilia. Soma signature yangu hapo chini.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
We mwehu mm sio mlamba makalio ila nakuambieni ukweli kua izo porojo za kuphotoshoot ni utoto wa hali ya juu....ndo tatizo la kutumia simu ukubwani!
Hii?View attachment 1043983
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hahahahahahhaa
Mshamba ni wewe mwenye wivu unaumia chadema imenunua wivu.Acha ushamba ww....be real