Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Ngoja niisave dp kwenye WhatsApp yangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Siku ri afande rikikukamata halafu wakapekua simu yako kwenye Whatsapp ujue utaozea jela.....!
Hili basi linaweza kuleta taharuki na sintofahamu kubwa sana litakapoingia nchini.....kutakuwa na sababau za kihunihuni tu za kulizuia lisiingizwe Tanzania.....aidha kwa kubambikwa KODI au kudaiwa halina UBORA na TBS...wewe subiri tu.....hii nji kwa sasa inaongozwa na vichaa waliojitoa ufahamu.....!
 
Thamani ya maneno yaliyoandikwa ubavuni mwa basi hilo ni kubwa sana kuliko basi lenyewe!

Yaliyomo kwenye maneno hayo inatakiwa yawafikie wananchi haraka sana!
 

Wao wao! Naona malaiƙa mkuu na wafuasi wakilegea kama mlenda.
 
Ingawa picha inaonekana kama vile ya ku edit ila kwa mfano ikawa kweli hili basi litakadiriwa kodi kubwa zaidi ya bei yake pale bandarini hatimae litapigwa mnada hahahaah
 
Wachana na nguvu ya umma
Ingawa picha inaonekana kama vile ya ku edit ila kwa mfano ikawa kweli hili basi litakadiriwa kodi kubwa zaidi ya bei yake pale bandarini hatimae litapigwa mnada hahahaah

In God we trust
 
Tayari wewe ushapata huo ujumbe anza kuueneza sasa maana wakati ni huu
Thamani ya maneno yaliyoandikwa ubavuni mwa basi hilo ni kubwa sana kuliko basi lenyewe!

Yaliyomo kwenye maneno hayo inatakiwa yawafikie wananchi haraka sana!

In God we trust
 
Hiyo bill TRA watakayoagizwa toka juu walichaji hilo basi sasa............
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…