PENTAKINYE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 817
- 827
DA yaani hata kwaakili za mtoto mdogo wa miaka miwili hawezi kukubali kuongozwa na mtu kama lissu never bora tukae bial kiongoziMnaliwazana lkn ukweli mnaujua kuwa sasa mjiandae kutupisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DA yaani hata kwaakili za mtoto mdogo wa miaka miwili hawezi kukubali kuongozwa na mtu kama lissu never bora tukae bial kiongoziMnaliwazana lkn ukweli mnaujua kuwa sasa mjiandae kutupisha
Hakuna nchi ya hatari kwa usalama na maendeleo ya nchi yoyote duniani kama ubelgiji hasa pale Brussels!..Kunani Ubelgiji?
Dogo acha ubishi utaumia, mi Niko hapa ubelgiji ni mabasi 21 yanakuja bongo, kunywa sumu basiCDM mkia wa mbuzi - uamuzi wa kutengeneza photoshop na kusambaza mitandaoni
Kutoka kutembelea chopa hadi youtong chama mufilisi tayari, nbowe hela zote anamalizia kwenye kesi zakujitakia
Ingizeni hata milioni 10 lakini watanzania tunalipenda hilo 1 la chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
niende moshi kufanya nini sasaUnakaribishwa na wewe upande hatuna ubaguzi kama makaburu weusi
Kwanini mkuu?Hakuna nchi ya hatari kwa usalama na maendeleo ya nchi yoyote duniani kama ubelgiji hasa pale Brussels!..
Kwa sasa naona wameanza kupagawa maana kila wakizima moto ndio unazidi kulipukaWewe ndiye mpumbavu kabisa kwani kuna mbwembwe gani hapo? Nyie hata kwenda kuzindua mashimo ya choo cha shule ya msingi mikamera kaibao.
Sent using Jamii Forums mobile app
mtaishia kutuangalia tu kwa mbaaalliiii tunavyoongoza nchi nyie mtaendelea kupiga tu keleleeeee mitaani sisi tunapeta tuuuWatanzania tunaipenda sana Chadema hata mfanyeje nyie makaburu wa CCM hatuwataki
Bandarini haitoki hii!! Hata ikiwekwa kwa ndege uwanjani haitoki!!
Na ikitoka basi upande wa pili kutakuwa kuna bonge la sinema
Afe nani kwa matoi hayo - CCM iko level nyingine - acha LIssu aendelee kula mikataba ya kuuza nchi
Mwisho wenu umefikamtaishia kutuangalia tu kwa mbaaalliiii tunavyoongoza nchi nyie mtaendelea kupiga tu keleleeeee mitaani sisi tunapeta tuuu