Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025

Lissu akiwa mwenyekiti Kuna mawili:-

1. Nchi kuingia kwenye machafuko, maana anafahamika jinsi anavopenda Shari

2. Chadema Kua na mwenyekiti hewa, Endapo akitimkia ubelgiji Kama kawaida yake (Kuhofia maisha yake).
JF tuna slogan ya kuheshimu mawazo ya kila mtu, lakini yapo ya kijinga pia ila hayo tunayasikiliza tuu, hayatufikirishi bali tunayapuuza kama haya.
 
Miaka yote hii yeye alikuwa mmoja wa hao wenye chama. Leo anawalaumu hao hao waliohakikisha anafika alipofika sasa. Nyalandu alilalamika kuchezewa faulu lakini akapuuzwa. Wakina Lwakatare waliondolewa kinamna, yeye akiwa mshiriki.
Badala ya kulalama, anatakiwa aiambie Kamati Kuu ya chama chake namna ya kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa haki na uwazi.

Amandla....
 
Tunapowaambia CCM tunataka uchaguzi huru na wa haki, basi na CDM ihakikishe chaguzi zake zinakuwa huru na haki, tutapozungumzia ukomo wa uongozi na kufuata Sheria na katiba basi na Sisi CDM tuwe mfano.

CCM sio chama rafiki Kwa Watanzania bali CCM ni kikundi cha watu wanaotumia chama na siasa kuwaslave Watanzania na kujinufaisha na familia zao kupitia rasirimali na nguvu za watanzania.

Watanzania wanahitaji utawala na system mpya zitakazosimamia rasirimali na Mali za watanzania Kwa maslahi ya Watanzania.
Njia mbaadala wa kuitoa CCM ni kupitia chama na watu wenye msimamo migumu isiyoyumbishwa ili waweze kuisimamia Nia ya dhati ya Watanzania kuendeleza nchi yao.

Ni ngumu sana Watanzania kuitoa CCM kwa CDM ya Mbowe ambayo ilishatekwaa kitambo na wahuni walewale walio nyuma ya CCM wakiwa na lengo moja tu lakuwaslave Watanzania.
 
Mtuakikuita mpu...vu hajakosea. Wakati watu wanalaani hayo wewe unayapigia chapuo!
 
analalamika chadema ni mali binafsi ya badhi ya viongozi nqŵadhani anamnanga mbowe hapo
Kazi kulalama na kudai Chadema ni mali binafsi. YEYE alikuwa Makamu Mwenyekiti alifanya nini?Kulaumu na blame game ni rahisi sana kwa watu wasio na maono na ufumbuzi.Kila hotuba ni kulalamika tu.
 

Hizo hukumu ndio hatuzitaki na hawa mnaowapa hizi hukumu kila siku wataonekana washindi na upande mwingine mtadhidi kuumiza watu na mwisho wake itaback fire na kuwarudia wahusika hao hao tunaowasifia.

Kuua na kuumiza watu bila sababu za msingi ni kuja kuuingiza nchi kwenye machafuko tu maana watu hawa hawa wakichoka na kutafuta njia yakujilinda hugeuka kuwa hatari na kuiingiza nchi kwenye machafuko.
 
Mtuakikuita mpu...vu hajakosea. Wakati watu wanalaani hayo wewe unayapigia chapuo!
Sijayapigia chapuo,
Ila nmeongea uhalisia uliopo
Hata nisipoyasema, sote twajua yapo

Ni vema tukapeana tahadhari,
maana siasa Ni mchezo mchafu sana
 
Amesema atawapa Katiba Mpya au? 😂😂😂😂
 
Sahii kabisa mkuu
 
LISU NJAAAAAA ili kuna wajinga awajamuelewa uyo jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…