Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025

Kwani joshua mutale (mb) nae anaongea lini au bado wako location kutengeneza igizo lingine
 
Sasa huo u-veteran unasaidia nini kama haumuwezeshi muhusika kuwashawishi Wananchi wamchague? Pengine wewe ndo huelewi dhana ya POSITIVE DISCRIMINATION.

Mtu yeyote anayelitakia mema taifa hili, atatamani kuwepo na upinzani imara, na huo upinzani imara unahitaji uwe na watu wenye haiba kama ya Tundu Lissu.

Chadema ikisuasua, watakaoathirika ni walalahoi. CCM sababu haitakuwa tena na cha kuhofia, haitahitaji wapiga debe kama wewe, bali watagawana vyeo kwa kuzingatia ukwasi, undugu na urafiki. Nyinyi wengine labda itakoee zali la mtende kuota jangwani.

Tunaweza kuitetea CCM , ila tusiombee mabaya vyama vinavyokosoa mwenendo wa uendeshaji wa taifa letu.
 
Lissu akiwa mwenyekiti Kuna mawili:-

1. Nchi kuingia kwenye machafuko, maana anafahamika jinsi anavopenda Shari

2. Chadema Kua na mwenyekiti hewa, Endapo akitimkia ubelgiji Kama kawaida yake (Kuhofia maisha yake).
..ni maoni yako, lakini taasisi sio mtu mmoja, lissu akiwa makamu alikuwa anaongoza vikao akiwa nje, shida ilikuwa nn?
 
Alikuwa mmoja wa wanasheria wa chama wakati ukomo unaondolewa. Sasa hivi anamlalamikia maamuzi yaliyofanyika chini yake. Ni sawa na kutengeneza tatizo halafu ujinadi kuwa unaenda kulitatua
..kwani kubadilisha kitu ni dhambi? Katiba zinabadilishwa tu mkuu
 
Hata wewe akili zako zinakutosha kuosha vinyeo vya vizee vya kizungu
 
..uko sahihi, chadema hii ya sasa hata operesheni mikoani hakuna, ni kwa kushitukiza tu.Lissu aamshe chama mikoani na kutia matumaini mapya
 
TAL ni mwanaharakati! Anachosema vifanyike kwenye chama ,hakuna vikao ndani ya chama?
Chama kisipofanya,atalaumu nani na atakifanyia nini?
 
Tunaanza Upyaaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…