Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025

Kumbuka hata hao veteran politician, walianza wakiwa hawana influence ktk jamii, hivo ni jambo jema kuwapa nafasi watu wapya.
Politics starts at grassroots, unatakiwa uwe maarufu huko kwanza kabla ya kwenda national.

CDM viti maalum wake inateua, wakati CCM ni nafasi za kugombea.

Sasa kama unateua hakikisha unaweka watu ambao wameshakomaa au kama ni kuchanganya wamawalimu bungeni.

Siasa ni rahisi sana Tanzania
 
Uchaguzi huu,lazima usimamiwe na Vyombo vya usalama,ili kulinda raia na Mali zao!
TAL kuwa mpole!
 
TLS ilipoteza uelekeo kwa kuchaguliwa kuwa Rais!
Sasa hasara ile anataka kuipeleka chadema!
Tuondolee upuuzi wako wa kukariri unajua alihudumu kwa muda gani kabla Magufuli hajatuma watu kumpiga risasi. Jaribu kuficha ujinga wako kwa kutaka kujadili mambo yanayokuzidi upeo wako wa utambuzi.
 
Yani Magufuli alivyotaka kuongezewa muda FAM na genge lake walipiga kelele sana, ila Yeye FAM hataki pawe na ukomo wa madaraka kwenye chama.

Hii ni demokrasia gani? Demokrasia inaanzia kwa vyama vya upinzani kuonyesha mfano. CHADEMA inapoteza muelekeo, sijui kama wakitangaza maandamano tena kama kuna watu wenye akili zao watatokea.

Ni vizuri kama Watanzania tumeyajua haya ndani ya muda huu. Tushajua sasa FAM na genge lake sio watu wa kuwaamini tena, siku hizi hata akina MMM na Bonge wa Mayai wamepoteza mvuto kwa haraka sana.
 
Kama mchangiaji wa jukwaa la siasa embu kuwa.

Sina shida kuambiwa nimeandika ujinga hata kama hakuna justification ya kejeli.

Huko kujifanya unawajua watu ni kujitangaza ni mtu wa hovyo.
Wewe na maccm wenzako ndiyo watu wa hovyo unafikiri kumshambulia Lissu ndiyo mnamsaidia Sultan Mbowe kushinda ?
 
All the best on your wishful thinking.

Uhalisia bado kwa uongozi wa juu hata ndani ya CDM, let alone being a president (daah) I can imagine hasa kwa nchi yenye civil services mbovu kama ya Tanzania.
 
Akili kubwa huyu Chiba
 
Magufuli alitaka kuongezewa muda wapi, sana sana wapiga zumari wote wakutaka aongezewe muda hawakurudi bungeni.

Acheni hii tabia ya kujiongopea wenyewe na kuishi kwa kuamini uongo wenu.

Lini Magufuli kawai kusema alikuwa na mpango wa kuvunja katiba zaidi ya hadithi tu.

Usijiongopee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…