Pre GE2025 Tundu Lissu: BAWACHA kama mnataka fursa za uongozi Bungeni au Udiwani mchagueni Celestine Malley-Simba

Pre GE2025 Tundu Lissu: BAWACHA kama mnataka fursa za uongozi Bungeni au Udiwani mchagueni Celestine Malley-Simba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kashamuharibia zamani. Kwa sababu haiwezekani wote wawe wa dini moja
Small minded people can never think beyond their religious segregation.

Ndio maana tunazipiga vita hizi dini za Waarabu na wakoloni
 
..kuna kitu Freeman Mbowe na timu yake wamekikosa, au wamekosea, na kupelekea " "hali ya hewa" ndani ya Chadema kuchafuka kiasi hiki.
Makosa yamefanyika pande zote. Ila nahisi Mbowe anacheza chess. Kwa yeye kugombea, kumewalizimisha watu wachague upande kwa wazi. Asingefanya hivyo kuna ambao wangejifanya wana msupport. Aidha, mapungufu ya Lissu yanaonekana. Kampeni za namna hii ni za kimarekani. Nadhani washauri wa Lissu wamemwambia atumie kila silaha aliyokuwa nayo, hata ikibidi kumchafua Mbowe kwa kudhani kuwa itamfanya anya nyue mikono. Ndio imetufikisha hapa.

Mwaka 2030 sio mbali. Safari hiyo Lissu atapimwa kwa mafanikio au failures zake. Hatakuwa na wa kumsingizia.

Amandla...
 
..ukiacha suala la kuharibika kwa mahusiano baina ya Mbowe na watu wake wa karibu, kitu gani kingine kimepelekea hali hii?
Kwani mkuu huoni walioandamana kumuunga mkono Mbowe wakati akichukua form, watu walishachagua upande kwahio kama walichagua acha na wengine wachague. Umejiuliza kama Lissu akishinda ataweza vipi kufanya kazi na wenyeviti wa Kanda ambao wao wanamuunga mkono Mbowe waziwazi?. Au vipi Mbowe akikosea wataweza muwajobisha huko kamati kuu?.
 
Kwani mkuu huoni walioandamana kumuunga mkono Mbowe wakati akichukua form, watu walishachagua upande kwahio kama walichagua acha na wengine wachague. Umejiuliza kama Lissu akishinda ataweza vipi kufanya kazi na wenyeviti wa Kanda ambao wao wanamuunga mkono Mbowe waziwazi?. Au vipi Mbowe akikosea wataweza muwajobisha huko kamati kuu?.


..Nashukuru kwa jibu hili.

..lakini bado najiuliza ni wapi Mbowe amekosea mpaka kusababisha hali ya hewa kuchafuka ndani ya Chadema?

..Au wewe ungekuwa Mbowe ungefanya jambo gani tofauti ili kui-contain hali iliyojitokeza?

..Mbowe ameshafanya press kadhaa lakini sina uhakika kama ameweza kuwashawishi waliomtupa mkono.

Cc Nguruvi3, Fundi Mchundo, Tindo
 
..Nashukuru kwa jibu hili.

..lakini bado najiuliza ni wapi Mbowe amekosea mpaka kusababisha hali ya hewa kuchafuka ndani ya Chadema?

..Au wewe ungekuwa Mbowe ungefanya jambo gani tofauti ili kui-contain hali iliyojitokeza?

..Mbowe ameshafanya press kadhaa lakini sina uhakika kama ameweza kuwashawishi waliomtupa mkono.

Cc Nguruvi3, Fundi Mchundo, Tindo
Baada ya kumsikiliza Lema Jana, kosa kubwa la Mbowe nikutaka kuwasaliti wenzake na kuwatupa nje ya chama, alikua anafanya kuwazunguka lakini bahati mbaya wamemgundua mapema.

Hebu waza kwa nini Mbowe ampigie simu Bob Wangwe agombee Kanda ya Serengeti na amuunge mkono Ili amshinde Heche?.

Heche alikua na kosa gani lakufikiria kumtupa nje ya ulingo wa siasa?.

Mbowe alienda Mbeya akawambia wana Mbeya wakipata hata viti 20 vya uwenyekiti vinatosha, hivi CDM Niyakusema viti 20 vinatosha kweli Mbeya?.

Mimi ningekua Mbowe ningeomba msamaha kwa wenzangu ambao tunasukuma nao gurudumu. Na kuamua kukaa pembeni na kukisaport chama nikiwa mjumbe tu wa kamati kuu.

Hii ingeleta heshima kubwa kwake, kwa sababu haya yote yanayotokea alie yasababisha kwa kiasi kikubwa ni Mbowe mwenyewe.

Ukizingatia pia majira na nyakati za sasa vijana wengi wa miaka ya 90/2000 na watu wa makamo wenye miaka 45 kushuka chini wanahitaji aggressive politics baada yakuona siasa za kiiplomasia zimeshindwa na mtu anaeziweza hizi kwa kiasi kikubwa ni Lissu/Heche/Lema.


Jambo lingine kwenye Press zote Mbowe alizofanya anajitetea tu na kujibu tuhuma anazopewa, hakuna mahala ambapo Mbowe anasema akiogezewa miaka Mingine mitano atafanya nini!.

Hata wafuasi wa Mbowe ukiwauliza Mwenyekiti atafanya nini jipya akipewa miaka migine mitano?.

Jambo gani mwenyekiti ambalo hakufanya miaka 21 iliyopita ambacho anahitaji akitimize sasa?.

Hakuna anaejibu kuanzia Mbowe mwenyewe mpaka wafuasi wake. Kwahio hilo linawapa watu wengi mashaka .

Jambo lingine tujiulize kwa nini Mbowe haonekani kukemea rushwa hadharani kama wafanyavyo wenzake?.

Kwa nini walirekodi kikao cha kamati kuu wakati wanamuhoji Lissu kuhusu tuhuma zake za watu kupewa rushwa, na jambo ambalo lilikua halijawahi kutokea huko nyuma?.

Kwa nini Mbowe hakuwataka Msigwa, Lema, Heche kwenye uongozi wake unaokuja hasa wawe wenyeviti wa Kanda?.

Kwa nini Mbowe alikua radhi kuwapoteza hao wakina msigwa lakini yupo radhi kuwa retain Mdee na wenzake?.

Mwisho wasiku nyakati haziko upande wa mwenyekiti na ushahidi wa mazingira unaonyesha ana agenda nyingine iliyo nyuma ya pazia ambayo nikutomtengenezea Samia mazingira magumu ya siasa.

Mwisho, tunaomba Mwenyekiti apumzike, tusingependa ashindwe kwenye sanduku la kura kwa sababu itaharibu Legacy yake ya Miaka 21.
 
..Nashukuru kwa jibu hili.

..lakini bado najiuliza ni wapi Mbowe amekosea mpaka kusababisha hali ya hewa kuchafuka ndani ya Chadema?

..Au wewe ungekuwa Mbowe ungefanya jambo gani tofauti ili kui-contain hali iliyojitokeza?

..Mbowe ameshafanya press kadhaa lakini sina uhakika kama ameweza kuwashawishi waliomtupa mkono.

Cc Nguruvi3, Fundi Mchundo, Tindo
Mimi sikubaliani na premise ya swali lako kuwa kuna kitu ambacho Mbowe angeweza kufanya ili wanao mpinga wangebalisha msimamo wao.

Mimi naamini kuwa msingi wa haya yote ni Ego za watu walioona kuwa wamedharauliwa na sense of entitlement kuwa kwa nafasi katika chama walistahili nafasi fulani za uongozi. Hao hata angefanya nini wasingerudi nyuma. Solution pekee ilikuwa kukubaliana nao na kujishusha na kuwanyenyekea. Nasema hivi kwa sababu zijao:
1. Huu mpango haukuanza jana. Na ulipewa msukumo zaidi kwenye social media. Platforms ambazo Mbowe hayuko comfortable. Ndio maana watu 3 katika kundi la Lissu ni wanachama wazuri wa platform kama Maria Space. Wanaotamba katika hizo space ni wale wanaoishi nje ambao hawana limitations za bungle au censorship.
2. Uwepo wa Lissu na Lema katika eneo ambalo watu wana uhuru wa kukosoa ulijenga hisia kuwa kuna kitu drastically wrong na muelekeo wa Chadema. Sumu ikaanza kudungwa.
3. Kutowashukuru profusely watu wa diaspora iliwaongezea imani ya kutothaminiwa. Labda Mbowe angeonyesha ku appreciate zaidi mchango wao ingepunguza joto.
4. Baada ya kuaminishwa kuwa yeye ndie tumaini, Lissu na Msigwa wakawa wanamkosoa waziwazi. Shutma za kulamba asali, rushwa n.k. zikatamalaki. Labda Mbowe angekuwa more aggressive katika kuweka rekodi sawa ingesaidia. Nadhani aliogopa kuwa angefanya hivyo angesababisha mpasuko.
5. Lissu alianza kukosoa maridhiano mapema tu. Hapa labda Mbowe angekuwa muwazi zaidi kwa taifa ingesaidia kwa kuonyesha hali halisi.
Kwa sababu hizi, sidhani kama hii hali ingeweza kuepukika. Mbowe akubali tu kuwa viongozi wa wale wanaompinga hawawezi kumkubali. Sasa hivi awekeze kwenye kuhakikisha kuwa CDM haifi. Hilo nina imani ataweza hata kama wakina Lissu wataamua kujitenga.

Amandla...
 
Mimi sikubaliani na premise ya swali lako kuwa kuna kitu ambacho Mbowe angeweza kufanya ili wanao mpinga wangebalisha msimamo wao.

Mimi naamini kuwa msingi wa haya yote ni Ego za watu walioona kuwa wamedharauliwa na sense of entitlement kuwa kwa nafasi katika chama walistahili nafasi fulani za uongozi. Hao hata angefanya nini wasingerudi nyuma. Solution pekee ilikuwa kukubaliana nao na kujishusha na kuwanyenyekea. Nasema hivi kwa sababu zijao:
1. Huu mpango haukuanza jana. Na ulipewa msukumo zaidi kwenye social media. Platforms ambazo Mbowe hayuko comfortable. Ndio maana watu 3 katika kundi la Lissu ni wanachama wazuri wa platform kama Maria Space. Wanaotamba katika hizo space ni wale wanaoishi nje ambao hawana limitations za bungle au censorship.
2. Uwepo wa Lissu na Lema katika eneo ambalo watu wana uhuru wa kukosoa ulijenga hisia kuwa kuna kitu drastically wrong na muelekeo wa Chadema. Sumu ikaanza kudungwa.
3. Kutowashukuru profusely watu wa diaspora iliwaongezea imani ya kutothaminiwa. Labda Mbowe angeonyesha ku appreciate zaidi mchango wao ingepunguza joto.
4. Baada ya kuaminishwa kuwa yeye ndie tumaini, Lissu na Msigwa wakawa wanamkosoa waziwazi. Shutma za kulamba asali, rushwa n.k. zikatamalaki. Labda Mbowe angekuwa more aggressive katika kuweka rekodi sawa ingesaidia. Nadhani aliogopa kuwa angefanya hivyo angesababisha mpasuko.
5. Lissu alianza kukosoa maridhiano mapema tu. Hapa labda Mbowe angekuwa muwazi zaidi kwa taifa ingesaidia kwa kuonyesha hali halisi.
Kwa sababu hizi, sidhani kama hii hali ingeweza kuepukika. Mbowe akubali tu kuwa viongozi wa wale wanaompinga hawawezi kumkubali. Sasa hivi awekeze kwenye kuhakikisha kuwa CDM haifi. Hilo nina imani ataweza hata kama wakina Lissu wataamua kujitenga.

Amandla...

..hii "entitlement" unadhani iko kwa wanaompinga Mbowe tu, au hata upande wa Mwenyekiti nao wana tatizo hilo?

..Heche ambaye alikuwa kwenye timu ya maridhiano anasema wao walitaka Tume huru ya Uchaguzi, Katiba mpya, na Tume ya uchunguzi ya dhuluma zilizotokea.

..Na zaidi Heche anadai aliona ulaghai wa Ccm mapema sana baada ya maridhiano kuanza.
 
..hii "entitlement" unadhani iko kwa wanaompinga Mbowe tu, au hata upande wa Mwenyekiti nao wana tatizo hilo?
Kwa mawazo yangu iko zaidi kwa wanao mpinga Mwenyekiti. K.m. 1. Lissu ameisha tangaza nia ya kugombea nafasi ya urais mapema tu. Ole wake atakayejitokeza kuitaka.
2. Lissu amesema kuwa aliamua kugombea Uenyekiti baada ya Wenje kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti. Inaelekea aliamini nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni yake.
3. Lema amezungumzia juhudi za Mwenyekiti kuwa sideline aliowaita Icons wa Chadema.
4. Msigwa aliondoka baada ya kushindwa uchaguzi kanda ya Nyasa. Kwa maneno ya Lema alidhulumiwa ile nafasi.
5. Lema na Heche wamesema Wenje ndie aliyesababisha yote haya. Inaelekea kwa kudiriki kutaka kugombea kiti cha Makamu Mwenyekiti ambacho kwa mawazo yao kilikuwa cha Lissu.
Sijasikia kutoka upande wa pili mtu akisema waziwazi hiki ni kiti changu. Labda Yericko aliposema Mbowe ni Alpha na Omega wa CDM.

Amandla...
 
Kwa mawazo yangu iko zaidi kwa wanao mpinga Mwenyekiti. K.m. 1. Lissu ameisha tangaza nia ya kugombea nafasi ya urais mapema tu. Ole wake atakayejitokeza kuitaka.
2. Lissu amesema kuwa aliamua kugombea Uenyekiti baada ya Wenje kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti. Inaelekea aliamini nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni yake.
3. Lema amezungumzia juhudi za Mwenyekiti kuwa sideline aliowaita Icons wa Chadema.
4. Msigwa aliondoka baada ya kushindwa uchaguzi kanda ya Nyasa. Kwa maneno ya Lema alidhulumiwa ile nafasi.
5. Lema na Heche wamesema Wenje ndie aliyesababisha yote haya. Inaelekea kwa kudiriki kutaka kugombea kiti cha Makamu Mwenyekiti ambacho kwa mawazo yao kilikuwa cha Lissu.
Sijasikia kutoka upande wa pili mtu akisema waziwazi hiki ni kiti changu. Labda Yericko aliposema Mbowe ni Alpha na Omega wa CDM.

Amandla...
Mbowe hana ushawishi kwa sasa, amepitwa na wakati.
 
Kwa mawazo yangu iko zaidi kwa wanao mpinga Mwenyekiti. K.m. 1. Lissu ameisha tangaza nia ya kugombea nafasi ya urais mapema tu. Ole wake atakayejitokeza kuitaka.
2. Lissu amesema kuwa aliamua kugombea Uenyekiti baada ya Wenje kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti. Inaelekea aliamini nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni yake.
3. Lema amezungumzia juhudi za Mwenyekiti kuwa sideline aliowaita Icons wa Chadema.
4. Msigwa aliondoka baada ya kushindwa uchaguzi kanda ya Nyasa. Kwa maneno ya Lema alidhulumiwa ile nafasi.
5. Lema na Heche wamesema Wenje ndie aliyesababisha yote haya. Inaelekea kwa kudiriki kutaka kugombea kiti cha Makamu Mwenyekiti ambacho kwa mawazo yao kilikuwa cha Lissu.
Sijasikia kutoka upande wa pili mtu akisema waziwazi hiki ni kiti changu. Labda Yericko aliposema Mbowe ni Alpha na Omega wa CDM.

Amandla...

..madai ya Lema yana ukweli, au uongo, kiasi gani?

..Na suala hili lilifika mpaka kwa viongozi wa Dini, sijui kwanini jitihada zao zilishindikana.
 
Anaandika Tundu AM LISSU.

====
" Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA kama wewe unataka au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine wengi nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.

Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari.

"Na mimi rasmi natangaza kumuunga mkono"

Lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi ila wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu.

Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa "

Pia soma
> Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Baada ya Deogratias Mahinyila kutangaza hadharani anamuunga mkono Tundu Lissu huku na yeye akiomba achaguliwe kwenye Uenyekiti wa BAVICHA ili wasaidiane na Lissu na Heche katika Ujenzi wa Chama na Wajumbe wakakubaliana nae na kumchagua kwa kura nyingi,

Sasa ni zamu ya Uenyekiti wa BAWACHA Taifa na tayari Mgombea makini wa nafasi hiyo Ni Celestine Simba ameshatangaza pia kumuunga mkono Tundu Lissu na John Heche.

Hiki ndicho alichokiandika Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ajae baada ya Celestine Simba kutangaza kumuunga mkono yeye na John Heche.

Mungu mwenye Nguvu atasimama awamu hii CHADEMA

Pia soma Uchaguzi 2025 - Spika wa Bunge la Wananchi Selestine Simba atangaza kumuunga mkono Lissu huku akitangaza kugombea Uenyekiti BAWACHA Taifa ili kujenga CHADEMA mpya
Huyu dada ni machine balaa
 
..madai ya Lema yana ukweli, au uongo, kiasi gani?

..Na suala hili lilifika mpaka kwa viongozi wa Dini, sijui kwanini jitihada zao zilishindikana.
Watu wakiacha kuaminiana ni vigumu kuwapatanisha. Hata viongozi wa dini wanaonekana kama wana shabikia upande mmoja.

Kwa upande wangu ninamwamini zaidi Wenje aliposema kulikuwa tayari na mpango wa kuleta mageuzi chini ya uongozi wa Lissu. Mbowe alipogundua ikawa ndio kabisa. Na inawezekana ndio sababu ya kumchukia Msigwa. Inawezekana contacts zake za CCM ( sio siri kuwa Mkuu wa Nchi na wengine wana imani nae zaidi ya Lissu ingawa wanajua ni more formidable. Wanajua atajitahidi sana kushindana kiungwana wakati Lissu ni firebrand na hatabiriki) zilimtahadharisha kuwa anaweza kuwa double agent. Na kuwa anashirikiana na Lissu kumchimba. Baada ya hapo ikawa ni paka na panya. Lissu akawa arrogant na Mbowe akawa evasive. The whole exercise ikawa doomed. Lema was just caught katika crossfires. Amejenga ukaribu na Lissu wakiwa ughaibuni na Mbowe anamuona kama ndugu. Hakuwa na la kufanya.

Mtu pekee aliyecheza kadi zake vizuri ni Heche. Ingawa yuko toes down na Lissu lakini hafichi kuwa anamheshimu sana Mbowe na bado anaona ana umuhimu katika mustakabali wa CDM. Amelaani categorically kitendo cha Msigwa kuhamia CCM ( Lema anamtafutia sababu na Lissu anakwepa kumlani). Na amejaribu kumpa cover Lissu kwenye matamshi yake ambayo ni provocative. K.m. haja rule out mazungumzo. Amekataa kulani kinachoitwa maridhiano. Na ni mtu ana track record ya kuijenga Bavicha. Sitashangaa kama 2030 atagombea uenyekiti. Kwa kweli ameni impress.

Amandla...
 
Back
Top Bottom