milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
No Reform! no election!
Hadi 2030 TAL hatapa mbunge hata mmoja!
Tutaambulia,makesi, maandamano, migomo .
Hadi 2030 TAL hatapa mbunge hata mmoja!
Tutaambulia,makesi, maandamano, migomo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii haijakaa vizuri. Makamu Mwenyekiti anampigia debe wazi wazi mmoja wa wagombea? Akiwa Mwenyekiti si ndio itakuwa balaa! Na hawa ambao wametangaza loyalty kwa mgombea, wataweza kweli kum hold accountable akikosea? Sio ishara nzuri.Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA. Kama unataka na wewe, au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.
Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.
Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari. Na mimi namuunga mkono; lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi.
Wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu. Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA.
Pia soma > Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Baada ya Deogratias Mahinyila kutangaza hadharani anamuunga mkono Tundu Lissu huku na yeye akiomba achaguliwe kwenye Uenyekiti wa BAVICHA ili wasaidiane na Lissu na Heche katika Ujenzi wa Chama na Wajumbe wakakubaliana nae na kuchagua kwa kura nyingi,
Sasa ni zamu ya Uenyekiti wa BAWACHA Taifa na tayari Mgombea makini wa nafasi hiyo Ni Celestine Simba ameshatangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na John Heche.
Hiki ndicho alichokiandika Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ajae baada ya Celestine Simba kutangaza kumuunga mkono yeye na John Heche.
Mungu mwenye Nguvu atasimama awamu hii CHADEMA
Kwa hiyo mtu mwenye uhusiano wowote na kiongozi wa chama hatakiwi kugombea nafasi ya uongozi? Au kushika nafasi yoyote ya uongozi?Mbowe hadi kwenye viti maalumu alikuwa ana weka mahawala zake tu
Kumbe! kama ndivyo, alikosea sana.Mbowe hadi kwenye viti maalumu alikuwa ana weka mahawala zake tu
Tuombe MUNGUMTASHANGAA MBOWE ANAVYOCHUKUA UMWENEYKITI NA KUKIHARIBU KABIUSA CHAMA HALAFU ANASTAAFU HAWEZI KUMUACHIA MTU KIRAHISI NAMNA NHIYO CHAMA CHAKE
No Reform! no election!
Hadi 2030 TAL hatapa mbunge hata mmoja!
Tutaambulia,makesi, maandamano, migomo .
ImebumaLisu pia aliweka dada yake tumbo moja kuwa mbunge viti maalum Chadema
Mpango alisema yeye yanga waziwazi na akapewa na kadi kabisa mbele ya kadamnasi me nadhani hakuna tatizo muraaHii haijakaa vizuri. Makamu Mwenyekiti anampigia debe wazi wazi mmoja wa wagombea? Akiwa Mwenyekiti si ndio itakuwa balaa! Na hawa ambao wametangaza loyalty kwa mgombea, wataweza kweli kum hold accountable akikosea? Sio ishara nzuri.
Amandla...
Hii haijakaa vizuri. Makamu Mwenyekiti anampigia debe wazi wazi mmoja wa wagombea? Akiwa Mwenyekiti si ndio itakuwa balaa! Na hawa ambao wametangaza loyalty kwa mgombea, wataweza kweli kum hold accountable akikosea? Sio ishara nzuri.
Amandla...
Sidhani kama kuna mgombea yeyote atadiriki kusema wazi wazi kuwa anamuunga mkono Mbowe. Sasa hivi habari ya mjini ni Lissu. Ukitaka kushinda panda farasi wa Lissu. Chawa wanakaa mkao wa kula...hapa Lissu amekosea, unless hao wagombea wengine wanafanya kampeni za wazi kwa niaba ya Mbowe.
Sidhani kama kuna mgombea yeyote atadiriki kusema wazi wazi kuwa anamuunga mkono Mbowe. Sasa hivi habari ya mjini ni Lissu. Ukitaka kushinda panda farasi wa Lissu. Chawa wanakaa mkao wa kula.
Ninachojiuliza ni kuwa mtu kama huyu atakuwa upande gani pale maslahi ya Bawacha na Chadema yatapotofautiana!
Lakini mimi sishangai maana ana elements za kuwa authoritarian.
Amandla...
Akisema Lissu mimi ni nani wa kupinga?Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA. Kama unataka na wewe, au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.
Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.
Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari. Na mimi namuunga mkono; lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi.
Wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu. Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA.
Pia soma > Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Baada ya Deogratias Mahinyila kutangaza hadharani anamuunga mkono Tundu Lissu huku na yeye akiomba achaguliwe kwenye Uenyekiti wa BAVICHA ili wasaidiane na Lissu na Heche katika Ujenzi wa Chama na Wajumbe wakakubaliana nae na kuchagua kwa kura nyingi,
Sasa ni zamu ya Uenyekiti wa BAWACHA Taifa na tayari Mgombea makini wa nafasi hiyo Ni Celestine Simba ameshatangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na John Heche.
Hiki ndicho alichokiandika Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ajae baada ya Celestine Simba kutangaza kumuunga mkono yeye na John Heche.
Mungu mwenye Nguvu atasimama awamu hii CHADEMA
Sio Ubwela tena😀Ubaya uMbowe
😅😅😅khaaa!Hata sisi Balaza la Punyeto Chadema ( BAPUCHA) tuko na ninja wetu Tundu Lissu
Kama ulisikiliza Hotuba ya Jana ya Mh Lemaz utagundua mambo yalianza kuharibika tangu kitambo...kuna kitu Freeman Mbowe na timu yake wamekikosa, au wamekosea, na kupelekea " "hali ya hewa" ndani ya Chadema kuchafuka kiasi hiki.
Mwisho wa kunukuuNi kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.
Kama ulisikiliza Hotuba ya Jana ya Mh Lemaz utagundua mambo yalianza kuharibika tangu kitambo.
Kaka nina Familia ujue..ukiacha suala la kuharibika kwa mahusiano baina ya Mbowe na watu wake wa karibu, kitu gani kingine kimepelekea hali hii?
Kashamuharibia zamani. Kwa sababu haiwezekani wote wawe wa dini mojaHuyu ameshapita tayari kwa 100%