Pre GE2025 Tundu Lissu: BAWACHA kama mnataka fursa za uongozi Bungeni au Udiwani mchagueni Celestine Malley-Simba

Pre GE2025 Tundu Lissu: BAWACHA kama mnataka fursa za uongozi Bungeni au Udiwani mchagueni Celestine Malley-Simba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA. Kama unataka na wewe, au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.

Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari. Na mimi namuunga mkono; lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi.

Wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu. Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA.

Pia soma > Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Baada ya Deogratias Mahinyila kutangaza hadharani anamuunga mkono Tundu Lissu huku na yeye akiomba achaguliwe kwenye Uenyekiti wa BAVICHA ili wasaidiane na Lissu na Heche katika Ujenzi wa Chama na Wajumbe wakakubaliana nae na kuchagua kwa kura nyingi,

Sasa ni zamu ya Uenyekiti wa BAWACHA Taifa na tayari Mgombea makini wa nafasi hiyo Ni Celestine Simba ameshatangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na John Heche.

Hiki ndicho alichokiandika Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ajae baada ya Celestine Simba kutangaza kumuunga mkono yeye na John Heche.

Mungu mwenye Nguvu atasimama awamu hii CHADEMA
Hii haijakaa vizuri. Makamu Mwenyekiti anampigia debe wazi wazi mmoja wa wagombea? Akiwa Mwenyekiti si ndio itakuwa balaa! Na hawa ambao wametangaza loyalty kwa mgombea, wataweza kweli kum hold accountable akikosea? Sio ishara nzuri.

Amandla...
 
Mbowe hadi kwenye viti maalumu alikuwa ana weka mahawala zake tu
Kwa hiyo mtu mwenye uhusiano wowote na kiongozi wa chama hatakiwi kugombea nafasi ya uongozi? Au kushika nafasi yoyote ya uongozi?

Amandla...
 
No Reform! no election!
Hadi 2030 TAL hatapa mbunge hata mmoja!
Tutaambulia,makesi, maandamano, migomo .

..kwanini Reforms hazifanyiki?

..watu wengi hawajaridhika na jinsi uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyoendeshwa.

..serikali na Ccm walitoa ahadi kwamba awamu hii itaendesha uchaguzi vizuri, lakini kila mtu ameshuhudia madudu ya aibu ktk uchaguzi serikali za mitaa.

..kwa maoni yangu asiyetaka reforms hana nia njema na nchi yetu.
 
Hii haijakaa vizuri. Makamu Mwenyekiti anampigia debe wazi wazi mmoja wa wagombea? Akiwa Mwenyekiti si ndio itakuwa balaa! Na hawa ambao wametangaza loyalty kwa mgombea, wataweza kweli kum hold accountable akikosea? Sio ishara nzuri.

Amandla...
Mpango alisema yeye yanga waziwazi na akapewa na kadi kabisa mbele ya kadamnasi me nadhani hakuna tatizo muraa
 
Hii haijakaa vizuri. Makamu Mwenyekiti anampigia debe wazi wazi mmoja wa wagombea? Akiwa Mwenyekiti si ndio itakuwa balaa! Na hawa ambao wametangaza loyalty kwa mgombea, wataweza kweli kum hold accountable akikosea? Sio ishara nzuri.

Amandla...

..hapa Lissu amekosea, unless hao wagombea wengine wanafanya kampeni za wazi kwa niaba ya Mbowe.
 
..hapa Lissu amekosea, unless hao wagombea wengine wanafanya kampeni za wazi kwa niaba ya Mbowe.
Sidhani kama kuna mgombea yeyote atadiriki kusema wazi wazi kuwa anamuunga mkono Mbowe. Sasa hivi habari ya mjini ni Lissu. Ukitaka kushinda panda farasi wa Lissu. Chawa wanakaa mkao wa kula.
Ninachojiuliza ni kuwa mtu kama huyu atakuwa upande gani pale maslahi ya Bawacha na Chadema yatapotofautiana!
Lakini mimi sishangai maana ana elements za kuwa authoritarian.

Amandla...
 
Sidhani kama kuna mgombea yeyote atadiriki kusema wazi wazi kuwa anamuunga mkono Mbowe. Sasa hivi habari ya mjini ni Lissu. Ukitaka kushinda panda farasi wa Lissu. Chawa wanakaa mkao wa kula.
Ninachojiuliza ni kuwa mtu kama huyu atakuwa upande gani pale maslahi ya Bawacha na Chadema yatapotofautiana!
Lakini mimi sishangai maana ana elements za kuwa authoritarian.

Amandla...

..kuna kitu Freeman Mbowe na timu yake wamekikosa, au wamekosea, na kupelekea " "hali ya hewa" ndani ya Chadema kuchafuka kiasi hiki.
 
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA. Kama unataka na wewe, au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.

Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari. Na mimi namuunga mkono; lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi.

Wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu. Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA.

Pia soma > Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Baada ya Deogratias Mahinyila kutangaza hadharani anamuunga mkono Tundu Lissu huku na yeye akiomba achaguliwe kwenye Uenyekiti wa BAVICHA ili wasaidiane na Lissu na Heche katika Ujenzi wa Chama na Wajumbe wakakubaliana nae na kuchagua kwa kura nyingi,

Sasa ni zamu ya Uenyekiti wa BAWACHA Taifa na tayari Mgombea makini wa nafasi hiyo Ni Celestine Simba ameshatangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na John Heche.

Hiki ndicho alichokiandika Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ajae baada ya Celestine Simba kutangaza kumuunga mkono yeye na John Heche.

Mungu mwenye Nguvu atasimama awamu hii CHADEMA
Akisema Lissu mimi ni nani wa kupinga?
 
Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.
Mwisho wa kunukuu
 
Kama ulisikiliza Hotuba ya Jana ya Mh Lemaz utagundua mambo yalianza kuharibika tangu kitambo.

..ukiacha suala la kuharibika kwa mahusiano baina ya Mbowe na watu wake wa karibu, kitu gani kingine kimepelekea hali hii?
 
Back
Top Bottom