Pre GE2025 Tundu Lissu: BAWACHA kama mnataka fursa za uongozi Bungeni au Udiwani mchagueni Celestine Malley-Simba

Pre GE2025 Tundu Lissu: BAWACHA kama mnataka fursa za uongozi Bungeni au Udiwani mchagueni Celestine Malley-Simba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu JokaKuu,
Hivi unadhani Lissu na Lema hawawasiliani na Msigwa? Hawatembeleani? Msigwa ni mtu aliyehusika sana katika kumfikisha Lissu Nairobi. Itakuwa un realistic na unfair. Lakini baada ya kusema hayo, unamkumbuka yule mwandishi wa habari aliyemwambia Mbowe kuwa alipata document ya kikao cha Kamati Kuu ya CDM kutoka kwa kada mkubwa wa CCM. Mbowe alipombana akakiri kuwa huyo kada ni Msigwa. Mbowe akamuuliza Msigwa ni rafiki wa nani? Kwa hali hiyo kuna uwezekano mkubwa kuwa mmoja wa marafiki wa Msigwa wana share nae document za CDM. Sasa hapo nini ni kibaya zaidi kati ya ku share document za chama na adui wa chama na kumualika Halima katika sherehe ya ufunguzi wa Kanisa?

Amandla...

..Msigwa kuwa na document ya Chadema haimaanishi kwamba ameipata toka kwa Lissu kwasababu tu ni rafiki yake.

..Lakini kama atakuwa amepenyezewa na Lissu basi huo utakuwa ni usaliti dhidi ya Chadema.
 
Hapana. Inabidi tukubali kuwa Mbowe na wenzake ni binadamu kama sisi. Hivi Halima angekuwa mwanae tungemtaka ajitenge nae?

Hata hao ambao wake zao ni sehemu ya Covid-19 tunawaonea tu. Kuwa wamoja katika ndoa sio lazima muwe na mtazamo unao fanana!

James Carville ni strategist mkubwa wa Democrats lakini mke wake ni Republican dam dam. Ndivyo inavyopaswa kuwa.

Amandla...


..kama angekuwa ni mtoto wa Mbowe hapo kungekuwa na ukakasi mkubwa sana.

..Ni sawa na hawa mabwana ambao wake zao wako bungeni.

..Mimi kwa maoni yangu nadhani wangejiuzulu nafasi zao wabaki wanachama wa kawaida.
 
Baada ya kumsikiliza Lema Jana, kosa kubwa la Mbowe nikutaka kuwasaliti wenzake na kuwatupa nje ya chama, alikua anafanya kuwazunguka lakini bahati mbaya wamemgundua mapema.

Hebu waza kwa nini Mbowe ampigie simu Bob Wangwe agombee Kanda ya Serengeti na amuunge mkono Ili amshinde Heche?.

Heche alikua na kosa gani lakufikiria kumtupa nje ya ulingo wa siasa?.

Mbowe alienda Mbeya akawambia wana Mbeya wakipata hata viti 20 vya uwenyekiti vinatosha, hivi CDM Niyakusema viti 20 vinatosha kweli Mbeya?.

Mimi ningekua Mbowe ningeomba msamaha kwa wenzangu ambao tunasukuma nao gurudumu. Na kuamua kukaa pembeni na kukisaport chama nikiwa mjumbe tu wa kamati kuu.

Hii ingeleta heshima kubwa kwake, kwa sababu haya yote yanayotokea alie yasababisha kwa kiasi kikubwa ni Mbowe mwenyewe.

Ukizingatia pia majira na nyakati za sasa vijana wengi wa miaka ya 90/2000 na watu wa makamo wenye miaka 45 kushuka chini wanahitaji aggressive politics baada yakuona siasa za kiiplomasia zimeshindwa na mtu anaeziweza hizi kwa kiasi kikubwa ni Lissu/Heche/Lema.


Jambo lingine kwenye Press zote Mbowe alizofanya anajitetea tu na kujibu tuhuma anazopewa, hakuna mahala ambapo Mbowe anasema akiogezewa miaka Mingine mitano atafanya nini!.

Hata wafuasi wa Mbowe ukiwauliza Mwenyekiti atafanya nini jipya akipewa miaka migine mitano?.

Jambo gani mwenyekiti ambalo hakufanya miaka 21 iliyopita ambacho anahitaji akitimize sasa?.

Hakuna anaejibu kuanzia Mbowe mwenyewe mpaka wafuasi wake. Kwahio hilo linawapa watu wengi mashaka .

Jambo lingine tujiulize kwa nini Mbowe haonekani kukemea rushwa hadharani kama wafanyavyo wenzake?.

Kwa nini walirekodi kikao cha kamati kuu wakati wanamuhoji Lissu kuhusu tuhuma zake za watu kupewa rushwa, na jambo ambalo lilikua halijawahi kutokea huko nyuma?.

Kwa nini Mbowe hakuwataka Msigwa, Lema, Heche kwenye uongozi wake unaokuja hasa wawe wenyeviti wa Kanda?.

Kwa nini Mbowe alikua radhi kuwapoteza hao wakina msigwa lakini yupo radhi kuwa retain Mdee na wenzake?.

Mwisho wasiku nyakati haziko upande wa mwenyekiti na ushahidi wa mazingira unaonyesha ana agenda nyingine iliyo nyuma ya pazia ambayo nikutomtengenezea Samia mazingira magumu ya siasa.

Mwisho, tunaomba Mwenyekiti apumzike, tusingependa ashindwe kwenye sanduku la kura kwa sababu itaharibu Legacy yake ya Miaka 21.
Hekima ni mzee huyu apumzike kwa kweli !
 
..kama angekuwa ni mtoto wa Mbowe hapo kungekuwa na ukakasi mkubwa sana.

..Ni sawa na hawa mabwana ambao wake zao wako bungeni.

..Mimi kwa maoni yangu nadhani wangejiuzulu nafasi zao wabaki wanachama wa kawaida.
Waadhibiwe kwa makosa ya wake zao? Hiyo haitakuwa haki.

Amandla...
 
..Msigwa kuwa na document ya Chadema haimaanishi kwamba ameipata toka kwa Lissu kwasababu tu ni rafiki yake.

..Lakini kama atakuwa amepenyezewa na Lissu basi huo utakuwa ni usaliti dhidi ya Chadema.
Mkuu Joka, lakini pia Samia aliwahi kusema anajua huko CDM hapakaliki walikua na vikao huko Arusha na anawatu wake humo ndani wanaompa taarifa. Je kwa namna alivyozungumza Lema kwa vikao vilivyokua vinaendelea huko Arusha, huoni kama Kuna mamluki ambae alikua anamfikishia taarifa kwa kila kinachojili . Kwa nini mamluki huyo asiwe freeman Mbowe, nimezungumza Hilo kwa mantiki hiyo ya Msigwa na Lissu. Vipi katika upande huo pia?. Maana wenzake wote na Mbowe walionekana kumtilia shaka Mwenyekiti.
 
Anaandika Tundu AM LISSU.

====
" Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA kama wewe unataka au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine wengi nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.

Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari.

"Na mimi rasmi natangaza kumuunga mkono"

Lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi ila wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu.

Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa "

Pia soma
> Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Baada ya Deogratias Mahinyila kutangaza hadharani anamuunga mkono Tundu Lissu huku na yeye akiomba achaguliwe kwenye Uenyekiti wa BAVICHA ili wasaidiane na Lissu na Heche katika Ujenzi wa Chama na Wajumbe wakakubaliana nae na kumchagua kwa kura nyingi,

Sasa ni zamu ya Uenyekiti wa BAWACHA Taifa na tayari Mgombea makini wa nafasi hiyo Ni Celestine Simba ameshatangaza pia kumuunga mkono Tundu Lissu na John Heche.

Hiki ndicho alichokiandika Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ajae baada ya Celestine Simba kutangaza kumuunga mkono yeye na John Heche.

Mungu mwenye Nguvu atasimama awamu hii CHADEMA

Pia soma Uchaguzi 2025 - Spika wa Bunge la Wananchi Selestine Simba atangaza kumuunga mkono Lissu huku akitangaza kugombea Uenyekiti BAWACHA Taifa ili kujenga CHADEMA mpya
BAWACHA fanyeni Kweli
 
Mkuu Joka, lakini pia Samia aliwahi kusema anajua huko CDM hapakaliki walikua na vikao huko Arusha na anawatu wake humo ndani wanaompa taarifa. Je kwa namna alivyozungumza Lema kwa vikao vilivyokua vinaendelea huko Arusha, huoni kama Kuna mamluki ambae alikua anamfikishia taarifa kwa kila kinachojili . Kwa nini mamluki huyo asiwe freeman Mbowe, nimezungumza Hilo kwa mantiki hiyo ya Msigwa na Lissu. Vipi katika upande huo pia?. Maana wenzake wote na Mbowe walionekana kumtilia shaka Mwenyekiti.

..inawezekana ni yeye mwenyewe Mama Abduli anatengeneza mgogoro ndani ya Chadema halafu anakuja kushtakia na kuwachongea kwa wananchi.
 
Anaandika Tundu AM LISSU.

====
" Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA kama wewe unataka au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu.

Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine wengi nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.

Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari.

"Na mimi rasmi natangaza kumuunga mkono"

Lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi ila wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu.

Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa "

Pia soma
> Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Baada ya Deogratias Mahinyila kutangaza hadharani anamuunga mkono Tundu Lissu huku na yeye akiomba achaguliwe kwenye Uenyekiti wa BAVICHA ili wasaidiane na Lissu na Heche katika Ujenzi wa Chama na Wajumbe wakakubaliana nae na kumchagua kwa kura nyingi,

Sasa ni zamu ya Uenyekiti wa BAWACHA Taifa na tayari Mgombea makini wa nafasi hiyo Ni Celestine Simba ameshatangaza pia kumuunga mkono Tundu Lissu na John Heche.

Hiki ndicho alichokiandika Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ajae baada ya Celestine Simba kutangaza kumuunga mkono yeye na John Heche.

Mungu mwenye Nguvu atasimama awamu hii CHADEMA

Pia soma Uchaguzi 2025 - Spika wa Bunge la Wananchi Selestine Simba atangaza kumuunga mkono Lissu huku akitangaza kugombea Uenyekiti BAWACHA Taifa ili kujenga CHADEMA mpya
Huyu dada ni msomi sana
 
N dalili chadema imekomaa. Ukiangalia na kusikiliza uchaguzi wao unavyotrend utaona kabisa hiki chama kinakuja na kumkimbiza mwizi kimya kimya sema tu shida ni vita kunachopigwa na mamluki ndani ya chama baada ya Mbowe kuwa dhaifu
Mbowe siyo mwoga na siyo dhaifu bali ni mtu, mwenye Hekima na NAHODHA hodari na meli yake itatia nanga salama tarehe 21/01/2025.
 
Back
Top Bottom