Pre GE2025 Tundu Lissu: Bilioni 54 za kununua pikipiki "SSH 2025" zimetoka wapi?

Pre GE2025 Tundu Lissu: Bilioni 54 za kununua pikipiki "SSH 2025" zimetoka wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hebu anza kwa kuwapa hizo mbinu za "kumtwanga huyo Lissu..." Ni hoja zipi hasa unazodhani wanaweza kuzitumia?

Huoni kuwa huyo ambaye wangemkingia kifua kwa hoja hizo ndiye kawaondolea hizo hoja kwa matendo yake yaliyo wazi kwa kila mtu?
Njoo kwenye mada yangu ya CCM ndio chama, upinge niwape somo madogo lakumaluzana na watu kama nyie.

CCM ndio chama
 
Sasa huku unakuja kufanya nini, ku-'recruit'?

Nikiangalia uandishi katika mstari huo mmoja tu, nagaili kama unaweza kunipa somo la aina yoyote ile.
Kazi kwao vijana wa CCM sio shida yangu.

Mie nimeweka tu mada ya uchokozi hakuna alienijaribu.(nikitaka niwape mfano) CCM sio mtu bali chama.

Lengo ilikuwa nikuwafunda kutetea chama na faida zake (kuna watu wa maana wanasoma) hizo mada.

JF ukitaka kwenda kushinda chit-chat na kuongea ujinga ni wewe.

Na ukitaka kuonyesha uwezo wako umesahaulika tu kwa bahati mbaya elewa kuna watu wanakusoma.

Niamini Jukwaa la siasa linapitiwa na watu wazito uwezi amini.

Lengo langu ni kuwapa fursa machawa ambazo sisi wengine tunapewa sema hatuzihitaji.
 
Hebu tuangalie halafu tusaidiane

View attachment 3018313
Bado land cruiser 400 ....kuna mtu au system kuwa compromided hapa...muda utaongea....ndugu zangu wa kiapo wspo tu wanaogipana bila kuchukua hatua.....kuna ile topic ya uzalendo kwa nchi mama iko wapi ? Mnaachia ujinga hadi aibu sasa....tunasubiri tuyaone myda weeeee nakia sana na muda
 
Kazi kwao vijana wa CCM sio shida yangu.

Mie nimeweka tu mada ya uchokozi hakuna alienijaribu.

Lengo ilikuwa nikuwafunda kutetea chama.

JF ukitaka kwenda kushinda chit-chat na kuongea ujinga ni wewe.

Na ukitaka kuonyesha uwezo wako umesahaulika tu kwa bahati mbaya ni wewe.

Niamini Jukwaa la siasa linapitiwa na watu wazito uwezi amini.

Lengo langu ni kuwapa mbinu machawa ambazo sisi wengine tunapewa sema hatuzihitaji.
Mkuu, 'Mayor' haya yako sina hamu nayo kwa sasa (inaniwia rahisi kusema hivyo tu).
"Kuwapa mbinu"? kwa faida ya nani?
Anyway, labda siku nyingine nitakuwa kwenye 'mood' ya kujadili mada ya ajabu namna hiyo, siyo leo.
 
Bado land cruiser 400 ....kuna mtu au system kuwa compromided hapa...muda utaongea....ndugu zangu wa kiapo wspo tu wanaogipana bila kuchukua hatua.....kuna ile topic ya uzalendo kwa nchi mama iko wapi ? Mnaachia ujinga hadi aibu sasa....tunasubiri tuyaone myda weeeee nakia sana na muda
Kuna mtu "kujisahau", au kuwa "reckless" asione zaidi ya anachoona yeye hadi anajikuta kaparamia ukuta.
Huyu amekuwa 'reckless' mno!
 
Mkuu, 'Mayor' haya yako sina hamu nayo kwa sasa (inaniwia rahisi kusema hivyo tu).
"Kuwapa mbinu"? kwa faida ya nani?
Anyway, labda siku nyingine nitakuwa kwenye 'mood' ya kujadili mada ya ajabu namna hiyo, siyo leo.
Wala sikulaumu kwa sababu sina mpango wa nafasi zao; kikubwa ni kuelewa michango yetu ya JF inasomwa na hakina nani.

Kwa michango yangu ya JF kuna wakuu wa nchi wamenitafuta (believe or not) baada ya kuona watu wanaowapa salamu wanawivu; imebidi wahusika wazunguke na kunitafuta kwa namna nyingine.

Kwa sababu ni mara ya pili kutafutwa na vigogo wa nchi. Muhusika wa kwanza alikuwa mlezi Mwigulu wenye chama chao cha CCM kabla ya huyo poyoyo ajashika nafasi nyeti za chama na nchi.

Ndio ujue mie sio wa mchezo mchezo muhusika wa pili ni ex DG wa TISS juzi tu nimepigawa simu huko wapi.

Mjomba ni kwa sababu wengine tuna ndoto zingine tu za maisha; lakini JF inapitiwa na watu wazito sana kwenye nchi.

Ndio maana wengine tunaona tuwape mbinu makada vijana ili waangaliwe.

Hakuna anaejali upuuzi wa Chadema just a bunch of useless people. Kwa makada wa CCM onyesheni uwezo wenu wa kujenga hoja mnasomwa na watu wazito humu wenye nchi.

👏 alamsiki usiichukulie JF poa inapitiwa na watu wazito kwenye hiyo nchi sio mzaha.
 
Njoo kwenye mada yangu ya CCM ndio chama, upinge niwape somo madogo lakumaluzana na watu kama nyie.

CCM ndio chama
Tunaviongozi matahila kweli kweli unagawa picki pick nchi nzima wakati hela ya kugawa pikipiki nchi Zima inaweza kutosha kujenga viwanda vya pikipiki kumi ambavyo vinaweza kuajiri watu elfu kumi. Unajiita kiongozi wa watu huku watu uliopaswa kuwatumikia unawageuza watumwa. Unawanyonya kodi katika kila shughuli halafu unachukuwa hizo kodi kwenda kuwapa wachina kwa kununuwa pikipiki?
 
Hakuna anaejali upuuzi wa Chadeka just a useless bunch.
Naona unanikaribisha ukumbini kwako kiaina, lakini siyo leo, shasema hivyo tayari.
Nimenyanyua hako kamstari kako kamoja kwa mksudi kabisa; lakini usinipange kuwa nipo huko CHADEMA, kama nisivyopenda kukupanga wewe kuwa upo huko kwenye chama kilichooza, lakini bado unakishabikia sijui kwa sababu zipi hasa!

Mara zote siku hizi nasema hivi kuhusu hii CCM yako ilivyo sasa: niko radhi chama chochote kile cha upinzani, kikiweza kuwaondoa hawa wanao tufanya kuwa mateka wao, nitawaunga mkono. CCM kimekuwa ndiyo adui mkubwa wa nchi yetu sasa hivi. Sioni adui mwingine yeyote zaidi ya CCM anayetukabili sasa hivi.
Tendo tu, la kutuzuia tusiwaondoe madarakani kwa njia yoyote ile, ni tendo tosha kabisa la kuwaona hawa kuwa maadui wa nchi yetu

Sasa wewe hapa, unapokuja na kuwabeza CHADEMA, pamoja na mapungufu yao; lakini ndio pekee kwa sasa, angalao wanaoweza kufurukuta na kuwasumbua hawa CCM; halafu wewe unakuja na kujiona ni bora ya kuwa na hao wanaotuteka?

Ndiyo, naelewa wazi kabisa, kwamba huko ndani ya CCM hiyo mbovu, wamo ambao wanaumia kama sisi wengine tulio nje ya hicho chama, lakini hawaezi kufurukuta, na kuleta mageuzi yoyote ndani ya chama chao. Tuwasaidie, kwa njia yoyote ile, hata kama ni kuwatia moyo CHADEMA waweze kulegeza mkono wa hao wabaya waliomo ndani ya CCM na kuwapa nafasi wanaoshindwa kufurukuta huko huko.

Inawezekana kabisa bado sikuelewi unacho maanisha hasa ni nini, kwa maana nakuona kama unajichanganya tu mwenyewe katika maandishi yako juu ya jambo hili.

Utaniwia radhi kwa makosa ya uandishi, kwa sababu nakwenda mbio tu, kwenye majibu kama haya ambayo sina akili tulivu ya kuyajengea hoja.
 
Naona unanikaribisha ukumbini kwako kiaina, lakini siyo leo, shasema hivyo tayari.
Nimenyanyua hako kamstari kako kamoja kwa mksudi kabisa; lakini usinipange kuwa nipo huko CHADEMA, kama nisivyopenda kukupanga wewe kuwa upo huko kwenye chama kilichooza, lakini bado unakishabikia sijui kwa sababu zipi hasa!

Mara zote siku hizi nasema hivi kuhusu hii CCM yako ilivyo sasa: niko radhi chama chochote kile cha upinzani, kikiweza kuwaondoa hawa wanao tufanya kuwa mateka wao, nitawaunga mkono. CCM kimekuwa ndiyo adui mkubwa wa nchi yetu sasa hivi. Sioni adui mwingine yeyote zaidi ya CCM anayetukabili sasa hivi.
Tendo tu, la kutuzuia tusiwaondoe madarakani kwa njia yoyote ile, ni tendo tosha kabisa la kuwaona hawa kuwa maadui wa nchi yetu

Sasa wewe hapa, unapokuja na kuwabeza CHADEMA, pamoja na mapungufu yao; lakini ndio pekee kwa sasa, angalao wanaoweza kufurukuta na kuwasumbua hawa CCM; halafu wewe unakuja na kujiona ni bora ya kuwa na hao wanaotuteka?

Ndiyo, naelewa wazi kabisa, kwamba huko ndani ya CCM hiyo mbovu, wamo ambao wanaumia kama sisi wengine tulio nje ya hicho chama, lakini hawaezi kufurukuta, na kuleta mageuzi yoyote ndani ya chama chao. Tuwasaidie, kwa njia yoyote ile, hata kama ni kuwatia moyo CHADEMA waweze kulegeza mkono wa hao wabaya waliomo ndani ya CCM na kuwapa nafasi wanaoshindwa kufurukuta huko huko.

Inawezekana kabisa bado sikuelewi unacho maanisha hasa ni nini, kwa maana nakuona kama unajichanganya tu mwenyewe katika maandishi yako juu ya jambo hili.

Utaniwia radhi kwa makosa ya uandishi, kwa sababu nakwenda mbio tu, kwenye majibu kama haya ambayo sina akili tulivu ya kuyajengea hoja.
Ndugu CCM chama, uwezi kukifananisha na upuuzi.

Kwa sababu Lissu anazunguks viijijini na kufanya mikutano ya watu mia kwenye kila kijiji na kuropoka aina maana huo upuuzi unainyima usingizi CCM.

Ni upuuzi wa kujitekenya na kukujibu wenyewe CDM

CCM chama, kwa sasa pambana na watete8 wahusika wa chama ain’t got time for that.

Wakizidiws utaona mzik wake, kwenye kichwa chako Lissu ni mtu wa maana unfurahisha kwell.
 
Hela za Ruzuku CCM inapokea mabilioni ya Ruzuku Kila mwezi hizo pesa ni za CCM na pikipiki hizo Mali ya CCM

CCM inatumia vizuri pesa zake nyie Chadema zenu anakula Mbowe
Hela za ccm siyo za Samia
 
Back
Top Bottom