min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
SureMungu si Athuman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SureMungu si Athuman
NA nyie makunguni ya chadema ruksa kupewa pikipiki! 😊Unapo ambiwa deni la taifa trioni kadhaa
Inamaana Kila Mtzd alipata fungu wakati wa mkopo?
Hizo pikipiki wamepewa Machawa
Katazame zinayo piga misele hovyo ndio utajuwa Kila Mtzd Zina muhusu
Swali la kijinga kutoka Kwa mtu mjingaSugu kagawa Madera Kwa Bawacha Wote Kanda ya Nyasa hela kapata wapi? 🐼
Hela zinatoka kwenye mgao wa mauzo ya bandari baadhi ya Wamasai
Ndo rais wako sasa , direct au plus serikali ya mseto nyie jichanganye ,yajayo yanafurahishaHuyu jamaa anakusidio muhumu sana kwa manufaa ya nchi nchini, ila hata kaa awe raisi wa nchi hii
Ikiwezekana itakua poa sana mkuu , ila sioni dalili ngoja tusubiri mda ndio mwalimu mzuri.Ndo rais wako sasa , direct au plus serikali ya mseto nyie jichanganye ,yajayo yanafurahisha
Asante kwa TaarifaHela zinatoka kwenye mgao wa mauzo ya bandari baadhi ya Wamasai
Hilo ndo neno ,mda mwalimIkiwezekana itakua poa sana mkuu , ila sioni dalili ngoja tusubiri mda ndio mwalimu mzuri.
Who are you? Are you God? Acha ujinga na akili za kipumbafu. Mungu anaweza fanya chochote wakati wowote kama alivyofanya March 2021!Huyu jamaa anakusidio muhumu sana kwa manufaa ya nchi nchini, ila hata kaa awe raisi wa nchi hii
🤣Swali la kijinga kutoka Kwa mtu mjinga
Wezi wa kura hawawezi kuwa " Watu Wazito"!!Wala sikulaumu kwa sababu sina mpango wa nafasi zao; kikubwa ni kuelewa michango yetu ya JF inasomwa na hakina nani.
Kwa michango yangu ya JF kuna wakuu wa nchi wamenitafuta (believe or not) baada ya kuona watu wanaowapa salamu wanawivu; imebidi wahusika wazunguke na kunitafuta kwa namna nyingine.
Kwa sababu ni mara ya pili kutafutwa na vigogo wa nchi. Muhusika wa kwanza alikuwa mlezi Mwigulu wenye chama chao cha CCM kabla ya huyo poyoyo ajashika nafasi nyeti za chama na nchi.
Ndio ujue mie sio wa mchezo mchezo muhusika wa pili ni ex DG wa TISS juzi tu nimepigawa simu huko wapi.
Mjomba ni kwa sababu wengine tuna ndoto zingine tu za maisha; lakini JF inapitiwa na watu wazito sana kwenye nchi.
Ndio maana wengine tunaona tuwape mbinu makada vijana ili waangaliwe.
Hakuna anaejali upuuzi wa Chadema just a bunch of useless people. Kwa makada wa CCM onyesheni uwezo wenu wa kujenga hoja mnasomwa na watu wazito humu wenye nchi.
👏 alamsiki usiichukulie JF poa inapitiwa na watu wazito kwenye hiyo nchi sio mzaha.
Hizo Hela za Ruzuku za CCM pikipiki za CCM sio za serikalliMagufuli hakuwahi kuwa mfujaji wa hela za nchi bali alikuwa na uchungu nazo.
CCM ni adui mkuu wa hii nchi.Njoo kwenye mada yangu ya CCM ndio chama, upinge niwape somo madogo lakumaluzana na watu kama nyie.
CCM ndio chama
Kwani mtu akisema mambo ya maana Kwa faida ya nchi anataka cheo? Au alishatangaza kugombea 2025, au mnamsemea? Au mwenye mawazo mazuri hatakiwi kusema eti anataka cheo. Acheni propaganda za kiCCMHuyu jamaa anakusidio muhumu sana kwa manufaa ya nchi nchini, ila hata kaa awe raisi wa nchi hii