Pre GE2025 Tundu Lissu: Bilioni 54 za kununua pikipiki "SSH 2025" zimetoka wapi?

Pre GE2025 Tundu Lissu: Bilioni 54 za kununua pikipiki "SSH 2025" zimetoka wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Ushawahi kuagiza gari nje ya nchi?
 
Au ndio zile 200 katika kila kilo ya sukari, au zimetoka kwa wale jamaa wa dubenga, yote yanawezekana.
 
Hivi Mshahara wa Raisi ni shilling ngapi na utamudu pikipiki ngapi? Tuanzie hapo Kwanza...
Kama ni kweli kwamba Raisi huwa anahudumiwa kila kitu na serikali, je huo mshahara wake anautumiaje au kwa mambo gani, pikipiki imo au ? Atupe mchanganuo kwa kweli... ndio njia pekee ya kuwanyamazisha hawa wanao mzodoa. aweke na salary slip yake kwa kweli... numbers don't lie, huwa wanasema akina Sugu Mbilinyi na wenzanie...
 
Au ndio zile 200 katika kila kilo ya sukari, au zimetoka kwa wale jamaa wa dubenga, yote yanawezekana.
Maswali ni mengi kuliko majibu, chura kimya, kabda atoke majini aonye joto na yeye ardhini.
 
Anatengeneza scandal kwenye serikali yake anashindwa kujitetea, mwishowe anaamua kuacha mambo yajiendee yenyewe huku kazi yake kubwa inakuwa ni kuchota sehemu ya hizo pesa anazotuibia na kuzigawa kwa critics wake kuwafunga midomo ili wasimseme.

Samia amefeli.
 
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Ok sawa siyo B 54!! Wewe Kwa hesabu zako umepata shilingi ngapi jumla?
 
Waarabu wamenunua ngorongoro tsh bilioni 27, Bandari zimeuzwa tsh bilioni 200, eneo la madini ya graphite waliouziwa wa Korea kusini wameuziwa bilioni 90 na zote kakunja mfukoni mwake.hizo pesa za pikipiki ni sehemu mdogo tu ya pesa alizouza Nchi.
 
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Ni sahihi watu wasitugawe kwa maslahi yao,lakini sio kweli bei iliyoko mitandaoni ndiyo halisia kwenye soko la ndani.
Boxer moja ni almost 3.5M Kila kitu.
 
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Mi nahangaika kuwaza tu buree, kumbe pikipiki ni laki 7 tu? Tena boxer! naomba uniagizie nakutumia hiyo hela
 
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Ficha ujinga wako nenda dukani wanakouza piki piki ndio uje na bei,hizo online ushaweka kodi hapo? Mambo ya wazi kabisa unataka kutumia nguvu kibao sokoni kwa sasa Bajaj ni 12m na piki piki ni 3m approximately
 
Waarabu wamenunua ngorongoro tsh bilioni 27, Bandari zimeuzwa tsh bilioni 200, eneo la madini ya graphite waliouziwa wa Korea kusini wameuziwa bilioni 90 na zote kakunja mfukoni mwake.hizo pesa za pikipiki ni sehemu mdogo tu ya pesa alizouza Nchi.
Dah..hivi ni kweli hili jambo?
 
Back
Top Bottom